God Fearing Person
JF-Expert Member
- Apr 5, 2020
- 767
- 2,570
Mbona wanatoboa Hadi miaka bila kutongozwa Hadi wanakimbilia kwa Manabii wewe sijui upo nchi gani!?Mwanamke akitaka kuwekwa ni dk sifuri tu, unataka kuniambia mwanamke anaweza pitisha siku bila kutongozwa?
Atakua yupo somalia [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hajui hiloMbona wanatoboa Hadi miaka bila kutongozwa Hadi wanakimbilia kwa Manabii wewe sijui upo nchi gani!?
The statements you mentioned are never true. Celibacy inaside effects kwa mwamwanaume na kwa mwanamke, ukiacha social side effects ambayo hii hutokea kama hujafanya sex kwamuda mrefu bila kuridhia na sikwamba ulitaka mwenyewe. Kuna side effects kwenye medical side. Ikiwemo hormonal imbalances kwa wanawake, kinga kushuka mwilini, maumivu ya period kupanda, matatizo ya moyo kwasababu hormone za mwanamke kwakiasi chake huathiri moyo na kwa mwanaume ni tezi dume kwakiasi kikubwa, stress and anxiety pamoja na kushuka confidence kwasana. Kuna kuacha kwalengo maalumu na unamuda wake ila kuacha pasipo lengo au kwa muda maalumu kutakuletea shida kubwa mno. Hormone za kike na kiume zinaeffect kubwa sana kwenye ubongo na moyo.Maisha bila sex ni raha sana.No worries. Halafu maskini tu ndo hupagawa na sex. Team Sologamy na asexual gonga thanks. [emoji3059][emoji7][emoji847]
Jinsia yako plzMbona wanatoboa Hadi miaka bila kutongozwa Hadi wanakimbilia kwa Manabii wewe sijui upo nchi gani!?
Mbona unatutishaThe statements you mentioned are never true. Celibacy inaside effects kwa mwamwanaume na kwa mwanamke, ukiacha social side effects ambayo hii hutokea kama hujafanya sex kwamuda mrefu bila kuridhia na sikwamba ulitaka mwenyewe. Kuna side effects kwenye medical side. Ikiwemo hormonal imbalances kwa wanawake, kinga kushuka mwilini, maumivu ya period kupanda, matatizo ya moyo kwasababu hormone za mwanamke kwakiasi chake huathiri moyo na kwa mwanaume ni tezi dume kwakiasi kikubwa, stress and anxiety pamoja na kushuka confidence kwasana. Kuna kuacha kwalengo maalumu na unamuda wake ila kuacha pasipo lengo au kwa muda maalumu kutakuletea shida kubwa mno. Hormone za kike na kiume zinaeffect kubwa sana kwenye ubongo na moyo.
Subirini kuzeeka harakaTupooooo 👏👏👏👏 hongera kwetu...
Wasikukatishe tamaa Mkuu, Mungu akitupa uhai na mwaka 2023 kama kawa hakuna kufanya.😎
Ninyi ndio wale mkipewa k sekunde sifuri tayariInawezekana tena unakaa hata miaka sema inabidi uwe na nidhamu kubwa sana ili kutoboa mwaka baada ya hapo unaweza kukaa bila shida
Nataka mlile kwa macho tu ERoni 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu, kweli hulitendei haki hilo shape la kibantu, lakini pia hututendei haki sie wapenda mashepu ya kibantu🤣
Sex desire starts in the brain and then works it's way down. So if you find yourself in a situation where you no longer have sexual desíre, then you must be suffering from depressionIt depends. But Sometimes we find ourselves in situations where sex does not matter any more.
Watu wanamna hiyo siku wakipata huwa wanafululiza Sana hata Kama akimwaga ni rahisi kuunganisha mpaka hamu imuishe anaweza kukesha siku nzima au hata wiki energy yao si ya kitoto. Kukaa mda mrefu namna hiyo inafaa uoe mke ambae nae Kakaa mda mrefu.Ninyi ndio wale mkipewa k sekunde sifuri tayari
Mimi ni MshuaJinsia yako plz
Watu wa namba hiyo ndio wanakuwa mashoga mwisho wa siku. Tumhurumie tuUnapata faida gn au una matatizo ya sirini?
Mwanume timamu hawezi leta hii mada hapa maana ataonekana mjinga.
Au kua na hasira kwa vitu visivyo vya msingiUwe unanunua ata bitches mzee ili rungu lipate greasy sio mwaka unaisha LIMEJAA kutu....SIKUPATII PICHA YAAN UTAKUWA UNAPENDA SANA KUCHECHEKA OVYO
Wewe una siku ngapi tangu haujafanya? Maana Nina imani hata wiki mbili hazijafika. [emoji28]Depal sijaona comment yako hapa
Kabisa na HASIRA au kuchekacheka ovyo kumbe minyege imejaaA
Au kua na hasira kwa vitu visivyo vya msingi
Mkuu, unapitisha wiki bila kutongozwa?Atakua yupo somalia [emoji1787][emoji1787][emoji1787] hajui hilo