Tunaomba Serikali ianze kuitambua Masters kwenye mishahara

Tunaomba Serikali ianze kuitambua Masters kwenye mishahara

Unasoma ili uje kulilia mshahara...ujinga mtupu!! Unajua kufanya utafiti lakini umeshindwa kutafiti chakukuingizia pesa unang'ang'ana na kodi za hawa maskini wasio na maji,umeme,dawa nk.
Mlitakiwa muombe kupunguziwa mshahara ili msaidie huduma za jamii ninyi msake kimkakati!!

Hivi hizi akili za kijinga huwa mnatolea wapi?mtumishi anakatwa kodi mshahara wake tena kwa lazima,bado atachangia kodi kama raia wengine.
 
Mkuu andaa hela uende ukasome kwani degree zime add value kwenye performance kwa kiasi kipi mpaka Sasa, we unaumia nini kwani umeombwa ww... tafadharini msije mkaanza uchawi huko makazini kusoma nmeshindwa hamtaki wenzenu waongezewe salary
kwa hiyo we unadhani watu wanaongeza elimu ili tu waongeze kipato makazini ..? Kama ni kweli basi nchi yetu ina safari ndefu ili kupiga hatua kimaendeleo...ikiwa wasomi wenyewe wakuwategemea ni wa mtindo wako.
 
Ninavyojua mimi ukipata masters kwanza unapewa ka 'hongera' kwa kupewa double increment.

Lakini pili, bila kuwa na masters hawezi kupanda cheo cha kiutumishi kufika level ya 'afisa mkuu', utakwama kwenye 'afisa mwandamizi'

Na tatu, kwenye taasisi nyingi za umma hauwezi kupata cheo cha kiuongozi (mfano meneja au mkurugenzi) kama hauna sifa hiyo ya elimu ya uzamili pamoja na sifa nyingine.

Zaidi ya hapo unataka nini?? Kazi nyingi serikalini zinaweza kufanywa na mtu mwenye stashahada au shahada ya kwanza, malipo ni matokeo ya kazi na sio elimu. Elimu inakusaidia kutekeleza majukumu yako.

""malipo ni matokeo ya kazi na sio elimu""

Serikalini malipo ni cheti.

Serikali inaajiri UMESOMA NINI
Private inaajiri UNAJUA NINI.

Mwenye bachelor ya Engineering kumkuta kawa muhasibu private ni kawaida ila serikalini HAIWEZEKANI.

#YNWA
 
Elimu ni udhaifu, nambie nitafute hela sio kusoma. Kama masters yako ndo imekuleta kuanzisha uzi wa huu ili mpandishwe mishahara, basi nasubiri siku mpandishwe mulipwe hata milioni 20 per month. Mkuu hakuna mtumishi alitetajirika na kutambulika akiwa mtumishi wa umma. Subiri kiinua mgongo bro. Na shida yenu ni hizo akili zenu za kukusanya vyeti zinawatesa saa hii. Kuna elimu ya darasani na ya mtaa.
Sawaa....
Ila tuna haki ya kuomba masters zetu zitambulike.
Au TUNAKOSEA??

#YNWA
 
kwa hiyo we unadhani watu wanaongeza elimu ili tu waongeze kipato makazini ..? Kama ni kweli basi nchi yetu ina safari ndefu ili kupiga hatua kimaendeleo...ikiwa wasomi wenyewe wakuwategemea ni wa mtindo wako.
Ndyo nchi inaendeshwa na mipango mikakati ambayo huwa ya miaka 5 au kumi ndo tunamalizia then tunaanza safar nyingne...mf. millennium Development goal 2000 - 2015
 
Jamaa yangu alipiga masters ya HR mzumbe ,matarajio kibao .Matokeo yake akawa anakunja 350,000/= kwa mwezi.Hapo ndipo kipaji chake cha wizi kikaonekana.Mtu unaiba mpaka mzani?Siku anafukuzwa kazi walimkuta anafungua injini ya pikipiki godown.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee daah hatari sanaa
 
Umeona sasa ulivyo kwani ww Ni jinzia gani aisee ? Achana na kufatilia maisha ya Watu kwani hyo 350,000 yake alikuwa anakuja kula kwako, unatabia za hovyo Sana wewe..kwahyo ulikuwa unamuwinda ili ujue anaishije pumbavu we! Tulia na maisha yako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sijaona kosa lake kachangi uhalisia wa mada...shida umecath feelings
 
Kwani ww inakuhusu nini si umuache na masters yake ww uendelee nz kuchomelea vyuma... wivu tu umekujaa
Asitusumbue sasa nayeye akae na masters yake!! Vi gpa vidoogo
Hivi hizi akili za kijinga huwa mnatolea wapi?mtumishi anakatwa kodi mshahara wake tena kwa lazima,bado atachangia kodi kama raia wengine.
uU wehu umeutoa wapi? Alosema watumishi hawalipi kodi nani? Acha uzumaridi
 
Kwani ww inakuhusu nini si umuache na masters yake ww uendelee nz kuchomelea vyuma... wivu tu umekujaa
Asitusumbue sasa nayeye akae na masters yake!! Vi gpa vidoogo
Hivi hizi akili za kijinga huwa mnatolea wapi?mtumishi anakatwa kodi mshahara wake tena kwa lazima,bado atachangia kodi kama raia wengine.

Sawaa....
Ila tuna haki ya kuomba masters zetu zitambulike.
Au TUNAKOSEA??

#YNWA
Hukupewa cheti? au mnataka mtambulikaje tuwawekee tatuu "M" usoni? Fanya kazi kwa viwango utatambulika sio vielimu vya kucopy na kupaste. Kama mnamasters ndiposa mbuni miradi... hamkusoma ili kuiongezea mzigo serikali na vi- GPA vyenu duni! Kama una GPA kubwa kafundishe vyuo GPA ndogo kasafishe vyoo!! Mkitokaga kusoma masters mnakuwaga wabishiiii na mnaringa wakati mkoshalo 😳
 
Asitusumbue sasa nayeye akae na masters yake!! Vi gpa vidoogo



Hukupewa cheti? au mnataka mtambulikaje tuwawekee tatuu "M" usoni? Fanya kazi kwa viwango utatambulika sio vielimu vya kucopy na kupaste. Kama mnamasters ndiposa mbuni miradi... hamkusoma ili kuiongezea mzigo serikali na vi- GPA vyenu duni! Kama una GPA kubwa kafundishe vyuo GPA ndogo kasafishe vyoo!! Mkitokaga kusoma masters mnakuwaga wabishiiii na mnaringa wakati mkoshalo 😳

Amen.
Yanga BINGWA

#YNWA
 
Asitusumbue sasa nayeye akae na masters yake!! Vi gpa vidoogo

uU wehu umeutoa wapi? Alosema watumishi hawalipi kodi nani? Acha uzumaridi
Eti GPA ndogo 😄 we rizika na Elimu yako. Wenye kusoma someni Hakuna Elimu isyo na faida.
 
kwa hiyo we unadhani watu wanaongeza elimu ili tu waongeze kipato makazini ..? Kama ni kweli basi nchi yetu ina safari ndefu ili kupiga hatua kimaendeleo...ikiwa wasomi wenyewe wakuwategemea ni wa mtindo wako.
Tanzania kama tuna wasomi basi wapo wasomi wachache sana.

Watu wengi wana vyeti lakini hawana maarifa, fikiria kama mtu X anaweza kumlipa mtu Y ili amfanyie research, hivi huyo unaweza kumuita msomi ?
 
Kwani degree nyingi wanafanya nn...aisee nyny inaonyesha mtaanza uchawi huko makazini mbona mmeumia Sana kwa kipimo gani kinachoonyesha masters hawafanyi kazi
-Mwenye Masters ya magonjwa ya watoto, huyo atatibu watoto Kwa ubora zaidi mwenye Masters ya education atafanya nini Cha ajabu tofauti na mwenye degree?, Elimu zinazokubalika Kwa sana ni CPA ukipata CPA unapandishwa,
-Sehemu ambayo Masters inakubalika ni kama NIMR ambapo wenye Masters wanahesabika Kama Research Officers.
 
-Mwenye Masters ya magonjwa ya watoto, huyo atatibu watoto Kwa ubora zaidi mwenye Masters ya education atafanya nini Cha ajabu tofauti na mwenye degree?, Elimu zinazokubalika Kwa sana ni CPA ukipata CPA unapandishwa,
-Sehemu ambayo Masters inakubalika ni kama NIMR ambapo wenye Masters wanahesabika Kama Research Officers.
Duh!

Kwamba Masters ya Education haina chochote kwenye elimu? Mie sio mwalimu, ila kwa maoni haya uliyotoa inaonesha kuna shida mahala ya namna tunavyoelewa mfumo wa elimu na umuhimu wake!
 
Back
Top Bottom