Tunaomiliki usafiri na kukerwa na ambao tunawabeba lakini hawabebeki

Sure [emoji817] ila ni bora MTU akawa anaeleweka kuw na msaidie mshikaj kwa [emoji817]% kutokan na A B C

Kumbuka ata mimi pia nawez kuwa naptia mengi pia , mimi kimsingi ndio na Majukum makubw kulko yeye labda mengine ya ndan sana
Upendo ni kitu kizuri sana.
Huwezi jua huyo rfk ako anapitia mangapi.
 

Inahusiana ninj
 
Najua lakn pia sijanunua kwaajili ya kutoa lift
Wewe ni mpumbavu kweli, si upaki ufembee au umwambie? Kwani unaendesha gari sababu yake au yako? Kwani ungeenda mwenyewe usige service?
 
Sawa ni binadamu, kama unaona anakukera mbona ni rahisi, kumuonesha msimamo wako, sasa utamlazimishaje kumtoa kwenye msimamo wake!?
Mimi naona unaogopa lawama kitu ambacho sioni kama utakiepuka kwa wanadamu.
Nitumie number yako DM nkutumie ya vocha
 
Najua lakn pia sijanunua kwaajili ya kutoa lift

Uelewa wako ni mdogo sana, try to raise it, anafungua mlango kwa nguvu? Mbona unakuwa kama mtoto wa kike+? Si umweleze, kwa hiyo sisi ndo tunakuomba lift? Au inatuhusu vipi? Anatoa 3000 maana ndo hela angetoa kwa bus, hutaki, usimbebe.
 
USAFIRI WA UMMA HAUPATIKAN MWAKA MZIMA KWAHYO NI MWENDO WA KUKODI PIKPIK TUU KWA BEI HIYO

NA KAMA USAFIRI WA UMAMA UTAKUWEPO KIPND CHA MAFUNO YA0 OCTOBER HV HAD JANUARY NAULI NI 2500/- HADI 3000/- KWENDA

NA ASUBUHI MAGAR YOTE YANATOKA VIJIJI KWENDA KWENYE MAKAZI TULIYOTOKA(MJINI) JIONI YANARUD ,

KIFUPI TUNAENDA NAYO KINYUME
 
80% natumia PIKPK mkuu maximum ya 3500 x 30 =. 100500 , kwa hyo nakuw na oil nishamwaga
 
Sio achangia ufundi yaan atoe specific either 1 of petrol ambayo 3000/- kwa bike kwa gari atleast aweke 7,000

Nauli kule 5000 had 7000 public car huw zinakuw kwa miez 3 kwa mwaka na nauli huw 2500 had 3000 na bado usafir huw kinyume na ratb yetu ya kwenda job

Wakat cc tunatoka kazn yeye yanAkuja kazn wakat tunaend kazn yenyew yanatoka huko tunapofanyia kazi.


Narbu kuw wew kusoma na kuelewa
 
Kwahiyo jamaa aliwalipisha 35,000 kwenye ki IST na Bado akawabeba kama ndizi😂
Huyu jamaa nilichogundua ni limbukeni wa uasafiri.
 
Nachukia sana watu wanaoendekeza unyonyaji kwenye kificho cha kumsema mtu kua "ana roho mbaya" ama "mchoyo".
Kitendo cha huyo mwenzako kudai 10k aliochangia kwenye matangenezo ya 200k ilhali unambeba kila siku zaidi ya 35km+,sio cha kiungwana hafai kusaidika ni mnyonyaji.
Cha msingi mchane kiume mpe terms zako,akikataa temana nae,usafiri ni wako.
 
Kwahiyo jamaa aliwalipisha 35,000 kwenye ki IST na Bado akawabeba kama ndizi😂
Huyu jamaa nilichogundua ni limbukeni wa uasafiri.
Nichikungua ni utoto, mkadilio ni kama ana miaka 25 au 26, pia katika story inaonekana ndio aliye toboa kwenye familia yake.
 
Mtoa mada nimekuelewa sana. Wengi wanaona ukimtendea mtu wema usisubiri shukrani hii ndo imefanya watu wengi wengi washindwe kutoa msaada kwa wengine wenye uhitaji.

Wanasema maisha ya kijamii yana pande mbili. Kutoa na kupokea..kinyume chake pia kupokea na kutoa. Unapotendewa wema siku zote kumbuka kurudisha fadhila . Na fadhila ni pale unapojiongeza kuonyesha umetambua thamani ya yule anayekupa kampani. Kama unampa kampani ya lifti kila siku ni kweli lazima ajiongeze wiki anatoa hata mafuta ya wiki ili kusave. Wengi wanaona mtoa mada anaroho mbaya kwa sababu tunaangalia upande mmoja anampa lift kwa upendo wake.

Ila kama hajiongezi wala usipate shida mwambie usafiri wangu sasa hivi una shida ila naukokota tu hatuwezi kupanda wawili hadi pale nitapoutengeneza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nashukur watu wengine wameshindw kunielew nazan kwakutokuw na experience ndio maan bado wa Tanzania wengi hatujui swala ushirik na hisina , simply kazn kwend na kurud akip boda co chin ya 10,000/- per day ,hakun public transport mara nying naend na pikpk maximum petrol lita1.5 go return anashindw kutoa Tshs 3000 kiroho saf asee binadamu haw n kaz

 
Hakikmkuu
 
Nichikungua ni utoto, mkadilio ni kama ana miaka 25 au 26, pia katika story inaonekana ndio aliye toboa kwenye familia yake.
Huu ndio ukweli maana; Uzi wake unajieleza na majukumu anayojidai kuwa nayo pia yanathibitisha Hilo la yeye kutoboa.
 
Wenge la gari ya kwanza ni balaa[emoji38][emoji38] nilikua nalala huku nacheka..nilinnua nikiwa na umri kama huo, napandisha vioo naongea peke angu tena kwa nguvu "Kwahiyo hii ndio gari yangu" [emoji38][emoji38][emoji38]

[emoji1][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…