Tunaomlaumu Tundu Lissu hebu basi tuvae viatu vyake

Hivi viatu ni vizito kwakweli. Mungu ana maana yake ya kutomchukua Lissu katika shambulio lile la kikatili.
 
Pole yake sana... tatizo anashupaza sana shingo kupingana na mamlaka...
 
Fikria alifanya nn hadi yakampata hayo,mara nyingi hizo zinawapata wahaini
 
Rest easy
1. Godfrey Luena,
2. Leopold Lwabaje
3. Akwilina Akwilini Bafta
4. Daniel John


Tunawakumbuka:
1. Azory Gwanda
2. Simon Kanguye
3. Ben Saanane
Ndio nini hiki sasa!?
 
Mkuu johnthebaptist:

Unafananishaje UHAI wa MTU na Mali.

Chukua Sekunde chache na ujaribu kutafakari kipi bora kwako au Kwa Familia yako, ROHO au MALI?
Mungu mkubwa. Malipo ni hapa hapa. Waljyemdhamiria afe hakufa na bado anadunda. Yule aliyeagiza kupigwa risasi kwa TL, kesha R.I.P!
 
You're an idiot
 
Rest easy
1. Godfrey Luena,
2. Leopold Lwabaje
3. Akwilina Akwilini Bafta
4. Daniel John
5. Alphonce Mawazo


Tunawakumbuka:
1. Azory Gwanda
2. Simon Kanguye
3. Ben Saanane

Hebu kawambie ndugu wa hao hapo juu waonyeshe upendo kwa kupoteza ndugu zao katika mazingira tatanishi na wengine kuuwawa kikatili uone kama watakuelewa.
 
Hivi unajua kuwa
1) makinikia hivi tunavyozungumza yanasafirishwa kwenda nje kuchebjuliwa kama ilivyokuwa
2) kile kishika uchumba cha $ 300m hatujalipwa chote hadi leo 3) katika kampuni ya twiga iliyoanzishwa kwa ubia na Barric tuna hisa ya 16% tu
4) mkataba kati yetu na Barric waukuidhinishwa na bunge.
Kati ya Lissu na wale wanaomwita msaliti nani katudanganya?
 
Tundu Lisu alivuna alichopanda na ataendelela kuvuna anachopanda sasa!!
Yuko "salama" mikononi mwa mabeberu kama jinsi mbuzi anavyojiona yuko salama kwenye banda la mfugaji. Siku ya sikukuu ikifika na mfugaji anahitaji kitoweo ndipo mbuzi atakapogundua kuwa kumbe aliingia mkenge!!
Hata Osama bin Laden kuna wakati alikuwa anajiona salama sana katika mikono ya mabeberu!! Kilichotokea wote mnakifahamu!! Ni suala la muda tu!!
 
Huyu Tundu nazani hayupo sawa upstair.
Tufanye hayo yote ulioandika hapo ni kweli. Je kashfa na matusu ndio vinaponya majeraha yake? Huyu hafai hata kuwa balozi wa nyumba kumi.
Anachuki na visasi kupita kiasi.
 
Tundu Lissu hafai kuwa Rais wa JMT. Mimi siyo CCM wala CHADEMA, yaani sina chama. Lakini sina trust na Lisu kabisa kwa usalama wa Taifa letu.
Wewe ni taga Kama mataga mengine tu acha kujificha kwenye shamba la karanga nyang'au wewe
 
Hapo hasira haiwezi isha hususani unaponusa nusa harufu ya wale waliokushambulia ama aliyetuma au aliyeshindwa kutumia mamlaka yake kuwakamata washambuliaji. Wakati mwingine moyo utatamani kusamehe ila unapokumbuka tu yaliyokukuta, moyo unajaa chuki na hasira.
Kama kuna miamba imekosa tu fao la kujitoa imefura kinoma na inapiga tu k vant na mbuzi choma kana kwamba inaishi dunia nyingine kabisa. Imezima radio na tv masikani ili isisikie kelele zozote tangu uvumi kuthibitiswa sembuse antipass
 
bosi unaongea kiyesuyesu kwenye jambo la bullet.
 
Mbona Billicanas ilivunjwa lakini Mbowe haongei ujinga ujinga kama huyo Tundu Lisu?
We Mpuuzi mmekuwa Kama Lishetani lilipoambiwa na Mungu mguse Ayubu Ila roho yake amna mamlaka nayo. Ndicho kilichowatokea kwa Lisu.mbowe mmegusa Mali amjagusa mwili Ila kwa Lisu ilikuwa mwili wake. Pole mataga omba Sasa kwa Mungu uguse roho yake.
 
Reactions: BAK
bosi unaongea kiyesuyesu kwenye jambo la bullet.
Mkuu, kuendelea kushikilia Maumivu ya Jana ukasahau kesho yako yenye ubora kuliko ya Jana, ni kujiumiza mwenyewe

Naendelea kusisitiza kuwa, Lissu ndiye mbaya kuliko maadui zake, Kwani Naamini kama Ukikaa na Lissu kwenye chumba kimoja ama kijiweni, itokee umesema mambo mazuri aliyoyafanya JPM Hayati, anaweza kukunyonga utadhani kuna kosa hapo!!!

Naamini ndipo alipofikia huyu jamaa, na Kwa kweli, tunampa pole, lakini hiyo pole iendane na ukweli anaoujua yeye moyoni mwake, Kwa nini alimiminiwa lisasi peke yake na Kwa nini asiwe mwingine??

Kwa nini adhabu ya Mh huyo iwe ni Risasi za moto?? Hayo anajua yeye na waliofanya uovu huo
 
Unataka kufananisha uhai wa mtu na bilicana? Aliyenyimwa mamilioni yake ya matibabu na kisha kunyang’anywa ubunge kidikteta? Akili za wapi hizi Bwashee!? 😳😳😳
Mbona Billicanas ilivunjwa lakini Mbowe haongei ujinga ujinga kama huyo Tundu Lisu?
 
Duh..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…