Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Kichwa cha habari chahusika
Tunasubiri kauli ya taasisi na jumuiya za Kiislamu tanzania kupinga dhulma ya Israel dhidi ya ndugu zetu Wapalestina ikiwemo mauaji ya Viongozi wao Yahya Sinwar, Hassan nasrallah na Ismael hanniyeh
Ndugu zetu hao wameishi kwa mateso na manyanyaso makubwa Kwa miaka mingi lakini hawajakata tamaa huku bado wanaendelea kupigania haki zao.
Ni muda muafaka kusikia kauli kutoka kwa jumuiya husika hapa tanzania
Karibuni mtoe maoni
Kichwa cha habari chahusika
Tunasubiri kauli ya taasisi na jumuiya za Kiislamu tanzania kupinga dhulma ya Israel dhidi ya ndugu zetu Wapalestina ikiwemo mauaji ya Viongozi wao Yahya Sinwar, Hassan nasrallah na Ismael hanniyeh
Ndugu zetu hao wameishi kwa mateso na manyanyaso makubwa Kwa miaka mingi lakini hawajakata tamaa huku bado wanaendelea kupigania haki zao.
Ni muda muafaka kusikia kauli kutoka kwa jumuiya husika hapa tanzania
Karibuni mtoe maoni