Usitulishe mameno tunao utaratibu wetu kichama.Bwana Lisu alimaarufu kibaraka kwenye Kampeni zake ukiachilia mbali kuchafua wagombea wenzake pamoja na Rais ila mojawapo ya ajenda yake kuu aliyowapigia fix Wajumbe wa Chadema ni kwamba kama hakuna Katiba Mpya na Tume Huru hakutakuwa na uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2025.
Sasa sisi Wajumbe tuliompa kura tunasubiria Kwa hamu.kubwa kuona kama atasimama kama.mgombea Urais Kwa Katiba hii hij na Tume hii hii au atatumiza ahadi yake ya kuvuruga uchaguzi?
Tuko palee tunasubiria Kwa hamu na gamu
View: https://www.instagram.com/p/DFHlY86RWrU/?igsh=MTZhcXk3N3F0NmpuNA==
Fix zimeanza 😆😆Usitulishe mameno tunao utaratibu wetu kichama.
Akitulize kweliKitulize basi, Lissu ana mashine za kazi
Kama tulivoweza kuwafix wote mlioletwa kwa mkopo kwa ajili ya kampeniFix zimeanza 😆😆
Wanapata hasara hapa ni wale waliowaamini ,sisi tunatambua hakuna jipya matafanya maana hamjatokewa Jupiter mlikuwepo.Kama tulivoweza kuwafix wote mlioletwa kwa mkopo kwa ajili ya kampeni
Andika tusi moja la kwangu hapa nakulipa 100,000 kila tusi. Tatizo hutaki haki itendeke.Wewe nyumbu huna hoja si ndio mda wote unaropoka matusi hapa?
Hayo uliyoyaeleza unadhani mtu wa akili kama Lisu atayafanyaje wakati hana akili za kutafuta pesa? Umewahi ona watu ma Imla wakaleta maisha Bora? Mfano Magufuli alistawisha Ajira, biashara na Kilimo wapi?
Bora kama angalao maneno yanabadilika hatimaye,wakumbushe akina TlaaatlaahWanapata hasara hapa ni wale waliowaamini ,sisi tunatambua hakuna jipya matafanya maana hamjatokewa Jupiter mlikuwepo.
Niwakumbushe nini?Bora kama angalao maneno yanabadilika hatimaye,wakumbushe akina Tlaaatlaah
Umedandia hoja niliyokuwa najadiliana na nyumbu FulaniAndika tusi moja la kwangu hapa nakulipa 100,000 kila tusi. Tatizo hutaki haki itendeke.
Hatukufanikisha kazi iliyotuleta/tuliyopewaNiwakumbushe nini?
Lissu kushinda uwenyekiti wa CHADEMA.Ipi hiyo?
Huna hoja ,Lissu kushinda uwenyekiti wa CHADEMA.
Kibaraka ni huyo bibi wa kizanzibari anayeuza raslimali za Tanganyika kwa waarabuBwana Lisu alimaarufu kibaraka kwenye Kampeni zake ukiachilia mbali kuchafua wagombea wenzake pamoja na Rais ila mojawapo ya ajenda yake kuu aliyowapigia fix Wajumbe wa Chadema ni kwamba kama hakuna Katiba Mpya na Tume Huru hakutakuwa na uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2025.
Sasa sisi Wajumbe tuliompa kura tunasubiria Kwa hamu.kubwa kuona kama atasimama kama.mgombea Urais Kwa Katiba hii hij na Tume hii hii au atatumiza ahadi yake ya kuvuruga uchaguzi?
Tuko palee tunasubiria Kwa hamu na gamu
View: https://www.instagram.com/p/DFHlY86RWrU/?igsh=MTZhcXk3N3F0NmpuNA==
Amuza Rasilimali zipi hizo wewe nyumbu?Kibaraka ni huyo bibi wa kizanzibari anayeuza raslimali za Tanganyika kwa waarabu
Unatapatapa sana, relaxBwana Lisu alimaarufu kibaraka kwenye Kampeni zake ukiachilia mbali kuchafua wagombea wenzake pamoja na Rais ila mojawapo ya ajenda yake kuu aliyowapigia fix Wajumbe wa Chadema ni kwamba kama hakuna Katiba Mpya na Tume Huru hakutakuwa na uchaguzi Mkuu mwaka huu wa 2025.
Sasa sisi Wajumbe tuliompa kura tunasubiria Kwa hamu.kubwa kuona kama atasimama kama.mgombea Urais Kwa Katiba hii hij na Tume hii hii au atatumiza ahadi yake ya kuvuruga uchaguzi?
Tuko palee tunasubiria Kwa hamu na gamu
View: https://www.instagram.com/p/DFHlY86RWrU/?igsh=MTZhcXk3N3F0NmpuNA==
Hivi nyie machawa huwa mnapeleka wapi akili zenu? Unaweza kuta zipo kwenye mabox hapo lumumba zimefungiwa.Amuza Rasilimali zipi hizo wewe nyumbu?
Ocky. NotedUmedandia hoja niliyokuwa najadiliana na nyumbu Fulani
Sawa na asante kwa ushauri.Huna hoja ,
Acha ujuaji alafu ujuiAmuza Rasilimali zipi hizo wewe nyumbu?
Toa kupunguani.wako.,watu wanaomdolewa.kisa kutunza hifadhi unaleta uzushi ?Sawa na asante kwa ushauri.
Acha ujuaji alafu ujui
Kawaondoa wamasai kwenye makazi yao kisa wajomba zake
Dp world ndio katoa zawadi kwa wajomba zake
Nakadhalika.
Sawa ila soon itanyesha alafu tutajua wapi panavuja.Toa kupunguani.wako.,watu wanaomdolewa.kisa kutunza hifadhi unaleta uzushi ?
DP World amefanya nini si ni mwekezaji kama wengine au wewe unaona.ni.nani?
Tatizo ni kuwa Waarabu au? Wangekuwa ni wale mabwana zenu Wabelgiji kusingekuwa na shida maana hapo bandarini wapo pia Adani ya India siwasikii.makelel yenu ya kipumbavu