Magari ya Biashara

Senior Member
Joined
Sep 16, 2019
Posts
183
Reaction score
578
Nyumba ipo Mbezi beach upande wa chini
Ina vyumba vitatu kimoja master
Jiko, sebule, dinning na public toilet
Ina eneo lenye ukubwa wa sqm 1000
Hati miliki mkononi
Wahi sasa BEI ni milioni 200 Tu
Mawasiliano 0677 818283


Mawasiliano 0677 818283


Mawasiliano 0677 818283

Mawasiliano 0677 818283

Mawasiliano 0677 818283


Mawasiliano 0677 818283


 
Apartment ina vyumba 3 vya kulala
Ipo floor ya pili ya jengo
Fully furnished... Ndani iko vzuri sana
Ipo mtaa wa msimbazi
BEI NI MILIONI 150 TU.. WAHI SASA

Unaweza kupangisha kwa mwezi ukapata 600,000

Mawasiliano 0677 818283



 

Payback period in term of Year.
 
Hapo unanunua eneo.

Kuna maeneo hapa Dar, unaweza kupata Apartment kama hiyo kwa 50mil.
Na baada ya 20 years maeneo hayo yakawa kama Kariakoo.
Moja ya maeneo mazuri kununua apartments ni Tandika.
Hiyo ni kariakoo in 20 years.

Kila kitu kinapatikana Tandika kwa bei ya Kariakoo, na wateja wengi kutoka mikoa ya kusini huishia Tandika.
Tatizo ni miundombinu, na uongozi mbovu usiojua kutega uchumi katika maeneo yao. That's a treasure cove, ila kwa sababu zisizo na maana viongozi wa manispaa wanajenga barabara kijichi na kuacha kwa makusudi kabisa kile kipande cha Sudan kuelekea Majaribio.

Ukiuliza watu wanakwambia eti kule ni watu wa CUF.
Very sad.
 
Parking nje ndo mtihani wa Kariakoo (city centre) pia malezi ya watoto huko Ni changamoto nyingine
 
Mkuu hata Mbagala kwa sasa sio pa kupaacha ni eneo la thamani mno pale Zakhem mpaka Kokoto biashara tupu kwa sasa zaidi ya 90% ya mahitaji yanapatikana mbagala kwa bei nafuu sawa au zaidi kidogo na k/koo.
 
NYUMBA 2 KWA PAMOJA ZINAUZWA....Mbezi beach

Ina vyumba 5 vitatu vya nyumba kubwa na vyote ni master na viwili vya nyumba ndogo (servant quarter)

Barabara ya lami mpaka mlangoni....(ipo barabarani kabisaa)

Nyumba ipo Mbezi beach.... INA HATI MILIKI

Eneo la kiwanja ni sqm 900

Umbali ni mita 700 kutoka Bagamoyo road.. na ni barabara ya lami mpaka unafika kwenye mjengo huo

BEI NI MILIONI 450 TU...


0677 818283
Kama unahitaji kuuza au kununua nyumba hapa jijini dar es salaam usisite kuwasiliana nasi

0677 818283​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…