Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humu hamna mnunuaji. Hapa stori tuAcha dharau mkuu humu sio wote saizi yetu na hata connection pia za hao wa million 400 tunaweza wapa wengine wasingejua
Buku aitoe wapiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vip boss[emoji38] hauna buku hapo????[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hahahaaa alafu komenti ya mwanzoni kabisa et chukua 80m mkuu 😆😆😆😆 nmecheka bc tu hii n jfBuku aitoe wapiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa alafu komenti ya mwanzoni kabisa et chukua 80m mkuu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] nmecheka bc tu hii n jf
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu unamauzi sana.Huna hoja zaidi ya viroja vya kutafuta mteja wa 400m JF. Ni sawa na kuulizia
Kitimoto rosti jela.
NB: 400m cash usawa huu jela hii hapa.
Kumbuka jf ipo dunia nzima pia dayaspora wengi hii ndio sosi yao kubwa ya habariHuna hoja zaidi ya viroja vya kutafuta mteja wa 400m JF. Ni sawa na kuulizia
Kitimoto rosti jela.
NB: 400m cash usawa huu jela hii hapa.
Weka picha za ndani na njeNyumba ipo kinyerezi mwisho
Ina vyumba 4 vyote master
dinning,sitting room,jiko na public toilet + chumba cha mlinzi pembeni
Eneo lina sqm 1000
nyumba ina hati miliki mkononi
bei ni MILIONI 250 (250,000,000) TU....WAHI MAPEMA
Mawasiliano call/sms/whatsapp
0677 818283
View attachment 1675656