House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu
Huna hoja zaidi ya viroja vya kutafuta mteja wa 400m JF. Ni sawa na kuulizia
Kitimoto rosti jela.
NB: 400m cash usawa huu jela hii hapa.
Kumbuka jf ipo dunia nzima pia dayaspora wengi hii ndio sosi yao kubwa ya habari
 
Nyumba ipo kinyerezi mwisho
Ina vyumba 4 vyote master
dinning,sitting room,jiko na public toilet + chumba cha mlinzi pembeni
Eneo lina sqm 1000
nyumba ina hati miliki mkononi
bei ni MILIONI 250 (250,000,000) TU....WAHI MAPEMA

Mawasiliano call/sms/whatsapp
0677 818283



 
Nyumba ipo kinyerezi mwisho
Ina vyumba 4 vyote master
dinning,sitting room,jiko na public toilet + chumba cha mlinzi pembeni
Eneo lina sqm 1000
nyumba ina hati miliki mkononi
bei ni MILIONI 250 (250,000,000) TU....WAHI MAPEMA

Mawasiliano call/sms/whatsapp
0677 818283


View attachment 1675656
Weka picha za ndani na nje
 
Nyumba nzuri, kila la kheri kwa muuzaji na mnunuaji.

Kiwanja cha ukubwa huo kinapatikana kwa pesa ngapi maeneo hayo siku hizi?
 
Mkuu subiri ninase hela next week kama kitakwepo nitakuchek
Nimevutia na mazingira yake kwa ujumla
By the way its affordable price
 
Mjengo standard ila top ni 150M kwa mazingira mjengo ulipo!

Hio 250M tunanunuaga nyumba za Sinza au K.Nyama
 
Nyumba ina vyumba vitatu vikubwa kimoja master
Pia ina nyumba nyingine ndogo ya chumba na sebule + fremu ya biashara
Eneo la kiwanja ni 20 kwa 20 (sqm 400)
Nyumba ipo km 1.5 kutoka Morogoro road
BEI NI MILIONI 70 TU......Wahi sasa
🏃
🏃
🏃
🏃

Mawasiliano call/sms/whatsapp 0677 818283

137628941_109773404404646_5803147333601918060_n.jpg
137613075_109773407737979_1195396377572166362_n.jpg
138347720_109773421071311_372202893034114859_n.jpg
137539148_109773417737978_80533041797490118_n.jpg
138272857_109773427737977_7880332687210787750_n.jpg
138252570_109773414404645_7006070087258259358_n.jpg
NB:Kama unahitaji kuuza au kununua nyumba ndani ya Dar es salaam usisite kuwasiliana nasi

Mawasiliano call/sms/whatsapp 0677 818283
 
Back
Top Bottom