House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu
Dah
kuna namna yani, majumba mengi ya matajiri ya aina hio yakuwaga haunted. Unaeza shangaa tu unakula makofi usiku hulali [emoji16]

Inawezekana maana unakuta katika utafutaji wanafuga sana majini. Kuna kipindi nilisafiri kwenda marangu mbele kidogo tu ya daraja pale kama unaelekea hospitalini kuna nyumba nilioneshwa kama kighorofa fulani hivi inasemekana hakuna anaekaa humo ndani yeyote anaeingia humo anapigwa ngumi za mbavu usiku kucha [emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa nyumba hii jinsi ilivyo na eneo iliyopo napata mashaka sana kwa bei hiyo ya 450M ilitakiwa iwe juu kiasi....
 
Inawezekana maana unakuta katika utafutaji wanafuga sana majini. Kuna kipindi nilisafiri kwenda marangu mbele kidogo tu ya daraja pale kama unaelekea hospitalini kuna nyumba nilioneshwa kama kighorofa fulani hivi inasemekana hakuna anaekaa humo ndani yeyote anaeingia humo anapigwa ngumi za mbavu usiku kucha [emoji23][emoji23][emoji23]

Kwa nyumba hii jinsi ilivyo na eneo iliyopo napata mashaka sana kwa bei hiyo ya 450M ilitakiwa iwe juu kiasi....
Eeh lazma uchanganye akili, yani upewe nyumba kubwa na ndogo ya zawadi kwa 450M? Na kumbuka hapo huenda 100M kweny hio hela huenda ni dalali kajiongezea sifuri mbele.
 
Eeh lazma uchanganye akili, yani upewe nyumba kubwa na ndogo ya zawadi kwa 450M? Na kumbuka hapo huenda 100M kweny hio hela huenda ni dalali kajiongezea sifuri mbele.

Hahha madalali wabongo ndio zao hizo inabidi uwazoe pia usione nyumba imependeza tu ila nyuma ya pazia kuna siri kubwa mno, hasahasa hayo maeneo ya kishua kuna uchafu mwingi sana katika nyumba hizo...
 
JAMANI NAOMBA NIKAZIE HAPO..... MMILIKI WA HII NYUMBA NA NDIO ANAYEUZA NYUMBA YAKE..... NI MCHUNGAJI JAMNAI........HAYO MAKOFI NA MAJINI HAYANA NAFASI NDANI YA MYUMBA YA MCHUNGAJI..........

Mkuu unaishi zama gani wewe hujui kuna baadhi ya wachungaji ni feki na uwezo wao wamewezeshwa na hao wanaowapa hizo pesa...
 
Apartment 4 zipo ndani ya eneo moja.

Kila apartment ina vyumba 2 kimoja master, jiko, sitting, dinning na public toilet.

Zinajitegemea kwa kila kitu umeme na maji na parking ya kutoshaa wapangaji wanalipa 300,000 kwa mwezi hapa una uhakika wa milioni 1 na laki 2 kila mwezi.

Nyumba zipo Ukonga madafu ..hazipo mbali na barabara kuu..ni umbali wa kutembea tu dakika 5 huhitaji bodaboda

Bei ya kuuzia ni milioni 120 (tsh 120,000,000/=) Tu

Mawasiliano 0677 818283


 
Kweli anashida kubwa kuhitaji 120m si mchezo, nyumba ni nzuri na inaendana na uhalisia wa bei,
 
Apartment 4 zipo ndani ya eneo moja.

Kila apartment ina vyumba 2 kimoja master, jiko, sitting, dinning na public toilet.

Zinajitegemea kwa kila kitu umeme na maji na parking ya kutoshaa wapangaji wanalipa 300,000 kwa mwezi hapa una uhakika wa milioni 1 na laki 2 kila mwezi.

Nyumba zipo Ukonga madafu ..hazipo mbali na barabara kuu..ni umbali wa kutembea tu dakika 5 huhitaji bodaboda

Bei ya kuuzia ni milioni 120 (tsh 120,000,000/=) Tu

Mawasiliano 0677 818283

View attachment 1681723
Bei nzuri sana nahisi hata iko chini ya bei ya kujengea. Namshauri mwenye nia ya kununua aanzie kwa mwenyekiti wa mtaa kujiridhisha kama muuza ndiye mmiliki kweli, pili ajiridhishe hati haitakopea pesa
 
Back
Top Bottom