Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana nitanunua mwenyewe.Tafuta wa kununulia
Cc. TRAHapana nitanunua mwenyewe.
Dalali unawaza commission yako 150m ya bureeeembu tuoneshe hiyo ya mjerumani ya milioni 400
Huna hoja zaidi ya viroja vya kutafuta mteja wa 400m JF. Ni sawa na kuuliziaUsikimbie mada mkuu... Jibu hoja yakoo
Sure...ikichelewa kupata mteja ndani ya mwezi ni yangu hiiBei nzuri.
Jamiiforum imevamiwa... nikajua ni mtaalamu wa majengo... Uwasaidie wanunuzi kujua nyumba za kichina na za mjerumani..Huna hoja zaidi ya viroja vya kutafuta mteja wa 400m JF. Ni sawa na kuulizia c
Kitimoto rosti jela...
Bro bangi sio nzuri, au umelogwa huko makazi mapya?Huna hoja zaidi ya viroja vya kutafuta mteja wa 400m JF. Ni sawa na kuulizia c
Kitimoto rosti jela.
Huna hoja zaidi ya viroja vya kutafuta mteja wa 400m JF. Ni sawa na kuulizia c
Kitimoto rosti jela.
Kupangisha kwa 600,000 mwaka utapata 7,200,000 na kununua kwa 150 m ni Almost 10 m kwa mwaka which is gross lossApartment ina vyumba 3 vya kulala
Ipo floor ya pili ya jengo
Fully furnished... Ndani iko vzuri sana
Ipo mtaa wa msimbazi
BEI NI MILIONI 150 TU.. WAHI SASA
Unaweza kupangisha kwa mwezi ukapata 600,000
Mawasiliano 0677 818283
View attachment 1672945View attachment 1672946View attachment 1672947View attachment 1672944
View attachment 1672944View attachment 1672946View attachment 1672947View attachment 1672949View attachment 1672949
Usisahau na mbagalaHapo unanunua eneo.
Kuna maeneo hapa Dar, unaweza kupata Apartment kama hiyo kwa 50mil.
Na baada ya 20 years maeneo hayo yakawa kama Kariakoo.
Moja ya maeneo mazuri kununua apartments ni Tandika.
Hiyo ni kariakoo in 20 years.
Kila kitu kinapatikana Tandika kwa bei ya Kariakoo, na wateja wengi kutoka mikoa ya kusini huishia Tandika.
Tatizo ni miundombinu, na uongozi mbovu usiojua kutega uchumi katika maeneo yao. That's a treasure cove, ila kwa sababu zisizo na maana viongozi wa manispaa wanajenga barabara kijichi na kuacha kwa makusudi kabisa kile kipande cha Sudan kuelekea Majaribio.
Ukiuliza watu wanakwambia eti kule ni watu wa CUF.
Very sad.
Ukipaona utapajua so dalali anaweza kukosa chake. [emoji3][emoji3][emoji3]Nje pakoje
Bila kusahau huwezi kulala mchana hata kama nimgonjwa. Usiku honi za magari mpaka kunakucha.Parking nje ndo mtihani wa Kariakoo (city centre) pia malezi ya watoto huko Ni changamoto nyingine
Acha dharau mkuu humu sio wote saizi yetu na hata connection pia za hao wa million 400 tunaweza wapa wengine wasingejuaHuna hoja zaidi ya viroja vya kutafuta mteja wa 400m JF. Ni sawa na kuulizia
Kitimoto rosti jela.
NB: 400m cash usawa huu jela hii hapa.
Hamna hata wa 150m wote uchumi wa Kati mixer na wanyongeAcha dharau mkuu humu sio wote saizi yetu na hata connection pia za hao wa million 400 tunaweza wapa wengine wasingejua