Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una bwebwe kakaJumba la kizamani sema mi nimependa tu kiwanja maeneo hayo, chukua 300 kama ina maongezi... nitaivunja nijenge mpya.
Nico mapesaNna 400 nchek pm
Sure...ikichelewa kupata mteja ndani ya mwezi ni yangu hii
Hii nyumba toka mwaka jana mwezi wa 8 kama skosei iko sokoni haiuzikiMkuu mbona bei rahisi wakati zile za Masamaki zilikuwa kama hii ila 600M-900M?
Hamna majini kweli humo???
kuna namna yani, majumba mengi ya matajiri ya aina hio yakuwaga haunted. Unaeza shangaa tu unakula makofi usiku hulali 😁Hii nyumba toka mwaka jana mwezi wa 8 kama skosei iko sokoni haiuziki
Usifananishe hadhi ya masaki na mbezi bichi.. acha matusi aseeeMkuu mbona bei rahisi wakati zile za Masamaki zilikuwa kama hii ila 600M-900M?
Hamna majini kweli humo???
Ndio maana mkinunua hizi nyumba mnatuita makuhani, tunakuja kuziweka wakfu kwanza 😃😃Dah
kuna namna yani, majumba mengi ya matajiri ya aina hio yakuwaga haunted. Unaeza shangaa tu unakula makofi usiku hulali 😁
hilo sikuling'amuaUsifananishe hadhi ya masaki na mbezi bichi.. acha matusi aseee
Siku ingine usiikosea adabu masaki aseee 😃😃😃😃😃hilo sikuling'amua
Usije ukaniulia kijana banaFanya chap Dia wangu 😛😛😛, ndo mana nakulove