House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu

Hapo chacha! inabidi familia yote iwepo kuridhia mauziano hayo; tofauti na hivyo baada ya mwaka anaibuka mwanafamilia kudai kesi zinaanza na mnahamia mahakamani! Bado kuna maswali mengi ya kujiridhisha
 
Apartment 4 zipo ndani ya eneo moja.

Kila apartment ina vyumba 2 kimoja master, jiko, sitting, dinning na public toilet.

Zinajitegemea kwa kila kitu umeme na maji na parking ya kutoshaa wapangaji wanalipa 300,000 kwa mwezi hapa una uhakika wa milioni 1 na laki 2 kila mwezi.

Nyumba zipo Ukonga madafu ..hazipo mbali na barabara kuu..ni umbali wa kutembea tu dakika 5 huhitaji bodaboda

Bei ya kuuzia ni milioni 120 (tsh 120,000,000/=) Tu

Mawasiliano 0677 818283

View attachment 1681723
Zote zina wapangaji tayari, au nikishanunua ndo niwatafute?
 
Apartment 4 zipo ndani ya eneo moja.

Kila apartment ina vyumba 2 kimoja master, jiko, sitting, dinning na public toilet.

Zinajitegemea kwa kila kitu umeme na maji na parking ya kutoshaa wapangaji wanalipa 300,000 kwa mwezi hapa una uhakika wa milioni 1 na laki 2 kila mwezi.

Nyumba zipo Ukonga madafu ..hazipo mbali na barabara kuu..ni umbali wa kutembea tu dakika 5 huhitaji bodaboda

Bei ya kuuzia ni milioni 120 (tsh 120,000,000/=) Tu

Mawasiliano 0677 818283

View attachment 1681723
Ungeaweka hivi, muuzaji amepata uraia wa kudumu Dubai anahama Tanzania kwenda UAE
 
NB:VIDEO YA MUDA KIDOGO BEI IMESHUKA MPAKA MILIONI 180

Mjengo upo Kigamboni gezaulale km 17 kutoka Kigamboni ferry.

Mjengo una vyumba vinne vyote ni master rooms

Eneo lake ni sqm 900 video inaeleza kila kitu

Bei ni milioni 180 tu (180,000,000)

Mawasiliano 0677 818283





 
Ghorofa hili liinapatikana changanyikeni ni km 2 kutoka mlimani city

mjengo huu una vyumba jumla vinne..chini viwili na juu viwili

kuna sitting room ya kibabe,dinning ndio usiseme (ukikaa tu kwenye dinning hata kabla msosi haujafika ushashipa)

jiko store na public toilet ambazo sio za nchi hii

Hiyo finnishing yake ni ya ikulu

mjengo huu una eneo la sqm 350 .. tunatunza matumizi ya rdhi tunajenga kwenda juu kisasa zaidi

BEI NDO USISEME SASA MILIONI 300 TU

HATI IPO HAKUNA LONGOLONGO

maelekezo mengine yote utayapata hapa 0677 818283

146905079_238841974463829_741320461117389259_n.jpg
147064082_238841911130502_4726368959329247184_n.jpg
147103312_238842157797144_6537678121278850159_n.jpg
147129916_238842011130492_9107430349212197296_n.jpg
147149234_238842071130486_1017417747057579900_n.jpg
147159508_238841944463832_6926571080324025759_n.jpg
147169957_238842034463823_6582484973440609055_n.jpg
147213603_238842114463815_6341937005389314088_n.jpg
147273978_238841867797173_6061724342294020991_n.jpg
147348662_238841821130511_2454561709008133011_n.jpg


 
Ongeza picha mkuu...hasa muonekano wa nje...na ukubwa wa eneo....Changanyikeni ni eneo zuri hata kibiashara.
 
dar ela izi, acha niwai kibaruani buguruni kwenye kuuza maji ya kandoro nijifukize na kujikinga na korona uenda kesho yangu ikawa bora zaidi ya leo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mwamba umewaza nn aisee, kwamba umeona mjengo tu nguvu ya kupambana ikaongezeka.
 
Back
Top Bottom