Wewe kwani unatokea mkoa gani mpaka ukariri watu wa Kilimanjaro wapo hivo alafu huko ni boma amna wote chasaka sasa huko sio migombani mangi. Inshort wewe na mwendazake ni same people, mnaisolate tribes, acha tribalism mkuu
 
Nyumba kali mnoo, hapo ata kama kafara kutoa ili niipate naweza kutoa
Usione vyaelea ujue vimeundwa sasa wewe na upumbavu wako unaona vinaelea unadhani ni rahisi. Mganga gani wa sasa hivi atakupa kafara au mbumba ya kujenga huo mjengo, think twice hata hao wana bodi mnao waita free masonic watakukojolesha marinda uwe kwenye ushoga ndio upewe entrance membership.

Enzi hizi waganga wa kukufungulia pesa kwenye ndoo au drooo kila siku wakuta zimejaa nakuambia hawapo MV Bukoba ilipita nao. Wamebaki matapeli yule mganga wa Ginimbi naye chali.
 
Wewe kwani unatokea mkoa gani mpaka ukariri watu wa Kilimanjaro wapo hivo alafu huko ni boma amna wote chasaka sasa huko sio migombani mangi. Inshort wewe na mwendazake ni same people, mnaisolate tribes, acha tribalism mkuu
Mkuu nimesomea shule na nimefanya kazi takribani 5 years. Hapo boma nimekaa Kama miaka 2 , maeneo hapo ya ccm ,Dorcas na kule uzunguni.
Nimeishi Rombo pale njia panda ya mkuu,tarakea na huruma hospital,Moshi mjini ni kule pasua, machame tumejenga Ile health center,Arusha nimeishi kisongo kwenye nyumba za meja mruto Kama unazifahamu.
Hakuna mchaga anayenunua kwenye duka la chasaka sembuse mpaka hiace wanataka kujua mmiliki.
Kusema ukweli mangi Ana Tabia za kikenya jamani tukubali.
Unapajua pe Soweto Moshi Ila ngoja niishir hapo tu
 
Kuwa mpole mkuu...umeeleweka
 
mkuu waganga wa kafara wapo sana, **** mmoja nasikilizia ameenda nchini mali akirudi tu nimeula
 
Mbona kama kweli hivi[emoji16], me sijawai kusikia mtu anaendra kutafuta maisha kilimanjaro.
 
Mbona kama kweli hivi[emoji16], me sijawai kusikia mtu anaendra kutafuta maisha kilimanjaro.
Watasema kuwa tunawachukia Ila sio ivyo.
Penye ukweli usemwe. Kweli jamaa wamesoma yaani kuanzia like Rika la nyerere ,na pia ni watafutaji na mie nikikutana na mangi huwa nafurahia Sana Mana najua ni Kama mmasai na ng'ombe,yaani biashara iko damuni namie naipenda Sana biashara Mana utoto wangu nimekua huku nikiuza dukani na kulala humohumo.
Nikimkuta mtu dukani najua huyu anafanya biashara iko damuni nafurahi Sana Tena hachukii eti unamsumbua.
Sio Kama Hawa wenyeji wa Kanda ya ziwa wanafungua biashara Kama kuiga, ushindani ama sifa tu na yeye aonekane kama Ana uwezo wa kuwa na duka.
Pia wanafanya biashara huku Ana cows Kama 600 huko kijijini na amevuna gunia 10000 za mpunga ,ukimkuta dukani lazima kwanza aongee kilugha wacheke kwanza ndipo anakuuliza unahitaji Nini.

Yaani wanafanya biashara kishibe Sana. Biashara zao ni kubadilisha hela tu. Yaani anachukua sukari kwa v.h shah anakuja kutafuta 500 kwenye mifuko wa kg50 aaliochukulia 130k.

Hii tofauti na wamangi wako committed na hata ulinizingua hakasirikii mteja. Ila ni wabaguzi Sana na wakiona unawazidi wanaumiaje ujue
 
Hii nyumba bado ipo?

Kuna 400M hapa, kama inapendeza tumalize kazi.
 
Vp wameshauza au bado?
 
Mkaruka,
Yaani nyinyi kwa kudharau wenzenu? Unadhani kila Mtz ananunua mtumba? Wengine huwa wananunua mpya jamani.

Yeye ni star mkubwa anao uwezo wa kununua mpya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…