Tundu Antipas Lissu: Historia na harakati zake katika siasa za Tanzania...

Kuna dalili ya uwendawazimu kwako.
Lissu huwa anaonekana ana akili sana anapoongea na watu wasioelewa chochote BTW lissu leo ni mwanasheria sababu aliwahi kumlilia Kabudi zaidi ya masaa 7 amtoe kwenye nyavu,Kabudi ana huruma sana
 
Kwa sasa sheria ni zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM Taifa na vilevile zidumu fikra za Mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na usalama wa Dsm hakuna jaji wala Mwanasheria yupo juu ya hao wasukuma wawili toka chato na kolomije.
Sahihi kabisaaaa
 
Punguza upungu we mwehu.
Tundulissu msaliti alikuwa ni mjanja kutafuna pesa za wawekezaji, alikuwa ana anzisha zengwe alafu anajifanya kuwatete na domokaya lake walahi
Mwenye Enzi Mungu ni mwaminifu akamzima milele walahi
 
P
Put your heading differently!!!
 
Hakika
 
Kulamba matapishi yake na kutuletea mgombea urais ambaye yupo kwenye list of shame ya Chadema.

Na sasa hivi kuanza kutumia elimu yake aliyosomeshwa kwa kodi za watanzania na kuanza kutetea wezi wa madini ya watanzania

Lisu ni jasiri kwelikweli
Wewe mrembo nijibu hii hoja kipindi hiyo mikataba inasainiwa ilisainiwa chini ya serikali ya chama gani??Waliosaini mikataba walichukuliwa hatua gani??
 
Wengi wa haò wañàòmpìñgà hawàsukumwi hata na siasa Bali wako kaźini. Weñģi hawana hoja bali kejeli, mipasho na matusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…