Tundu Lissu aache kumkebehi Rais Samia

Tundu Lissu aache kumkebehi Rais Samia

Kumtembelea sio Kinga ya kuto kuambiwa ukweli. Akamate wote waliohusika na kuua na kupoteza watu.
We mshenzi huo ukweli wako unaufikisha Kwa Lugha ya kejeli? Hilo lingeachwa life maana mtu asiye na hekima hana maana.
 
Shoga moja limeshaolewa huko Ubeligiji lina mume kabisa hilo li lisu ni punga punga, na kengeza wenu ni punga punga, waambie waache kumhadaa mwenyekiti wetu
.
JamiiForums-685019018.jpg
 
Maneno yote hayo kisa Lissu kasema anaomba wote waliohusika kuua na kutwsa watu wakamatwe?.
Amekuja Tanzania akakuta mazingira ya kisiasa yamebadilika sana tofauti na vile nyie misukule yake mlivyokuwa mkimuaminisha.
1) mapokezi yake yalidoda

2) mikutano yake ilidoda yani hakuweza kufikia hata historia ya mikutano ya dr Slaa achilia mbali ile ya mzee wa mafuriko (Lowasa)

3) kila alichoongea kilimuhusu mwenyewe tu na familia yake, kitu kilichosababisha watu wenye akili timamu kutokumsikiliza, maana alikuwa anarudia rudia yale yale aliyokuwa anaongea kila siku

4) katoka nduki kwa aibu ile ile aliyokumbana nayo mwaka 2020 baada ya kuangukia pua kutokana na watu wenye akili zao kukataa kumpigia kura ili asije kuikabidhi nchi yetu kwa wakili Amsterdam na mabeberu wenzake ambao walikuwa washamset kipindi kile anarudi Tanzania kugombea

5) mwaka 2020 kisingizio cha kukimbia ilikuwa ni kudai Magufuli alitaka kumuuwa, mwaka huu amekosa kisingizio ikadaiwa ameenda kumuona dr kwa week 2 lakini sasa ni zaidi ya mwezi na hakuna dalili ya kurudi

Mwl Nyerere alisema mtu akishazoea kula nyama ya mtu hawezi kuacha. Sasa jamaa ameshaonja alivyoonjeshwa huko Ulaya ndio maana hataki tena kutulia nyumbani. Ni mwendo wa kuja kunusa, kuwakebehi watanzania na kutoka nduki kwa sababu zisizokuwa na mshiko.
 
Tundu Lissu kwa maneno yake mwenyewe na kwa kujiamini alisema Magufuli ndiye aliyeagiza apigwe risasi kwa madai kuwa alikua msaliti bahati nzuri akapona.

Lissu alidai tena aliponea kuuawa mara ya pili baada ya uchaguzi kumalizika na akaokolewa na ubalozi wa Ujerumani.

Rais Samia ambaye ndiye kiongozi pekee aliyemtembelea Tundu Lissu alipokuwa amelazwa Nairobi, alikubali pia kumtembelea Tundu Lissu nchini Ubelgiji alipokuwa katika ziara ya kikazi.

Tundu Lissu baada ya hapo alisema Samia alimlipa stahiki zake za Ubunge na kumwambia atamlipa pia na hela zake za matibabu akikamilisha kupeleka vielelezo.

Ukizingatia nchi ilipokuwa imetoka kabla ya Samia kuwa Rais kitendo cha Samia kukutana na Lissu iliwashtua sana CCM na CHADEMA, kwa kuwa kulikuwa na uadui mkubwa sana.

Rais Samia pamoja na hayo alifanya mengi ambayo yalikuwa kinyume na msimamo wa chama chake kilichokuwa na msimamo mkali dhidi ya Chadema kwa manufaa ya Chadema na nchi kwa ujumla.

Alifuta kesi nyingi zilikuwa zinawakabili kutoka awamu ya 5, kuwakaribisha nchini waliokuwa wamekimbia nje, kuwapa malimbikizo ya ruzuku, kuruhusu kufanya mikutano ya hadhara iliyokuwa imezuiwa, kufungulia vyombo vya habari, na hata kuahidi kufufua mchakato wa katiba mpya, ambao mtangulizi wake alikataa hata kusikia.

Sasa leo nikaona tweet ya Lissu akimkebehi Samia kuwa hajafanya la maana lolote halafu ameweka bango.

Labda pengine Lissu na wanaharakati wengine wa Chadema hawajui kwamba Samia angeweza kuendeleza aina ya utawala wa Magufuli ambao ndio wengi katika CCM wanataka na ila akatumia busara, na sadly wasingekuwa na la kufanya.

Sasa kiongozi akionyesha busara na nyie onyesheni busara, kuna mengi ambayo bado Chadema na Lissu wanaweza kuwa wanadai au hayaendi kwa spidi kama wanavyotaka lakini kukejeli jitihada za Samia ni kuwapa nguvu wahafidhina ndani ya CCM.
Umeandika kwa uchungu mama kakutuma nini
 
Kaongea kipi kubaya kwenye tweet yake? Mbona Magufuli akijitangaza hadharani Ni kichaa ukachekelea. Tuache unafiki.
Mimi sijasema kaongea kibaya ila tu Lissu ni mbwatukaji na hana hekima hana utulivu.
 
Busara haimaanishi watu wasiseme ukweli.

Kama kakiuka makubaliano yenu ya maridhiano mseme siyo kuzunguka mbuyu.
 
Komredi unakuwa msahaulifu sana. Tulikubaliana chini unaandika namba yako ya simu.
Tundu Lissu kwa maneno yake mwenyewe na kwa kujiamini alisema Magufuli ndiye aliyeagiza apigwe risasi kwa madai kuwa alikua msaliti bahati nzuri akapona.

Lissu alidai tena aliponea kuuawa mara ya pili baada ya uchaguzi kumalizika na akaokolewa na ubalozi wa Ujerumani.

Rais Samia ambaye ndiye kiongozi pekee aliyemtembelea Tundu Lissu alipokuwa amelazwa Nairobi, alikubali pia kumtembelea Tundu Lissu nchini Ubelgiji alipokuwa katika ziara ya kikazi.

Tundu Lissu baada ya hapo alisema Samia alimlipa stahiki zake za Ubunge na kumwambia atamlipa pia na hela zake za matibabu akikamilisha kupeleka vielelezo.

Ukizingatia nchi ilipokuwa imetoka kabla ya Samia kuwa Rais kitendo cha Samia kukutana na Lissu iliwashtua sana CCM na CHADEMA, kwa kuwa kulikuwa na uadui mkubwa sana.

Rais Samia pamoja na hayo alifanya mengi ambayo yalikuwa kinyume na msimamo wa chama chake kilichokuwa na msimamo mkali dhidi ya Chadema kwa manufaa ya Chadema na nchi kwa ujumla.

Alifuta kesi nyingi zilikuwa zinawakabili kutoka awamu ya 5, kuwakaribisha nchini waliokuwa wamekimbia nje, kuwapa malimbikizo ya ruzuku, kuruhusu kufanya mikutano ya hadhara iliyokuwa imezuiwa, kufungulia vyombo vya habari, na hata kuahidi kufufua mchakato wa katiba mpya, ambao mtangulizi wake alikataa hata kusikia.

Sasa leo nikaona tweet ya Lissu akimkebehi Samia kuwa hajafanya la maana lolote halafu ameweka bango.

Labda pengine Lissu na wanaharakati wengine wa Chadema hawajui kwamba Samia angeweza kuendeleza aina ya utawala wa Magufuli ambao ndio wengi katika CCM wanataka na ila akatumia busara, na sadly wasingekuwa na la kufanya.

Sasa kiongozi akionyesha busara na nyie onyesheni busara, kuna mengi ambayo bado Chadema na Lissu wanaweza kuwa wanadai au hayaendi kwa spidi kama wanavyotaka lakini kukejeli jitihada za Samia ni kuwapa nguvu wahafidhina ndani ya CCM.
Tundu Lissu kwa maneno yake mwenyewe na kwa kujiamini alisema Magufuli ndiye aliyeagiza apigwe risasi kwa madai kuwa alikua msaliti bahati nzuri akapona.

Lissu alidai tena aliponea kuuawa mara ya pili baada ya uchaguzi kumalizika na akaokolewa na ubalozi wa Ujerumani.

Rais Samia ambaye ndiye kiongozi pekee aliyemtembelea Tundu Lissu alipokuwa amelazwa Nairobi, alikubali pia kumtembelea Tundu Lissu nchini Ubelgiji alipokuwa katika ziara ya kikazi.

Tundu Lissu baada ya hapo alisema Samia alimlipa stahiki zake za Ubunge na kumwambia atamlipa pia na hela zake za matibabu akikamilisha kupeleka vielelezo.

Ukizingatia nchi ilipokuwa imetoka kabla ya Samia kuwa Rais kitendo cha Samia kukutana na Lissu iliwashtua sana CCM na CHADEMA, kwa kuwa kulikuwa na uadui mkubwa sana.

Rais Samia pamoja na hayo alifanya mengi ambayo yalikuwa kinyume na msimamo wa chama chake kilichokuwa na msimamo mkali dhidi ya Chadema kwa manufaa ya Chadema na nchi kwa ujumla.

Alifuta kesi nyingi zilikuwa zinawakabili kutoka awamu ya 5, kuwakaribisha nchini waliokuwa wamekimbia nje, kuwapa malimbikizo ya ruzuku, kuruhusu kufanya mikutano ya hadhara iliyokuwa imezuiwa, kufungulia vyombo vya habari, na hata kuahidi kufufua mchakato wa katiba mpya, ambao mtangulizi wake alikataa hata kusikia.

Sasa leo nikaona tweet ya Lissu akimkebehi Samia kuwa hajafanya la maana lolote halafu ameweka bango.

Labda pengine Lissu na wanaharakati wengine wa Chadema hawajui kwamba Samia angeweza kuendeleza aina ya utawala wa Magufuli ambao ndio wengi katika CCM wanataka na ila akatumia busara, na sadly wasingekuwa na la kufanya.

Sasa kiongozi akionyesha busara na nyie onyesheni busara, kuna mengi ambayo bado Chadema na Lissu wanaweza kuwa wanadai au hayaendi kwa spidi kama wanavyotaka lakini kukejeli jitihada za Samia ni kuwapa nguvu wahafidhina ndani ya CCM.
 
Kwani hao viongozi wa chama chako huwa mnawasema wanapokosea? Hiyo tabia haijaanza awamu ya tano tu.

Kila siku tunasema hapa CDM wajenge ofisi yenye hadhi ya chama hicho, na Mbowe muda wake wa kuendelea kuwa mwenyekiti umeisha. Suala la Lowassa kupewa nafasi ya ugombea wa CDM tuko wazi kabisa kuwa haikuwa sahihi. Sasa unataka tuseme kipi Labda? Hiyo tabia ilikuwa wazi na kwa kiburi kikubwa kwenye awamu ya tano.
 
Kila siku tunasema hapa CDM wajenge ofisi yenye hadhi ya chama hicho, na Mbowe muda wake wa kuendelea kuwa mwenyekiti umeisha. Suala la Lowassa kupewa nafasi ya ugombea wa CDM tuko wazi kabisa kuwa haikuwa sahihi. Sasa unataka tuseme kipi Labda? Hiyo tabia ilikuwa wazi na kwa kiburi kikubwa kwenye awamu ya tano.
Wengi wenye kukosoa hayo mambo si wanachadema ni ccm au wengineo ila chadema wao huwa wanatetea chama chao kwenye hayo mambo, sema mara zote nakwambia chadema haipo hivyo unavyojiaminisha au unavyotaka kutuaminisha.

Wewe mwenyewe ukihoji sana unajikuta unaitwa sukuma gang.
 
Wengi wenye kukosoa hayo mambo si wanachadema ni ccm au wengineo ila chadema wao huwa wanatetea chama chao kwenye hayo mambo, sema mara zote nakwambia chadema haipo hivyo unavyojiaminisha au unavyotaka kutuaminisha.

Wewe mwenyewe ukihoji sana unajikuta unaitwa sukuma gang.

Kwa hiyo mimi nahoji hayo kwakuwa ni CCM?
 
Kwa hiyo mimi nahoji hayo kwakuwa ni CCM?
Mpo wachache(kama sio peke yako) ndio maana nikasema wengi wenye kuhoji hayo masuala ni wana ccm na chadema huwa wanatetea chama chao na kumtetea Mbowe.
 
Mpo wachache(kama sio peke yako) ndio maana nikasema wengi wenye kuhoji hayo masuala ni wana ccm na chadema huwa wanatetea chama chao na kumtetea Mbowe.
Kama CCM mliokua mkitetea udhalimu wa magu
 
Back
Top Bottom