ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Samia ana huruma nyie ni WA kunyoishwa mnajikuraga mna Haki sana kuliko wengine.Tumieni mtutu Nani kawazuia. Mbona Magu katumia akapita zake Sasa hivi anajibu mashtaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia ana huruma nyie ni WA kunyoishwa mnajikuraga mna Haki sana kuliko wengine.Tumieni mtutu Nani kawazuia. Mbona Magu katumia akapita zake Sasa hivi anajibu mashtaka.
We mshenzi huo ukweli wako unaufikisha Kwa Lugha ya kejeli? Hilo lingeachwa life maana mtu asiye na hekima hana maana.Kumtembelea sio Kinga ya kuto kuambiwa ukweli. Akamate wote waliohusika na kuua na kupoteza watu.
Mnalazimishwa na nani? Bila Mbowe Kuna chama hapo? Itakuwa ni kusanyiko la wajinga tuu kama wewe.Lissu sio chawa. Maana sasa hivi tunalazimishana kuwa chawa.
.Shoga moja limeshaolewa huko Ubeligiji lina mume kabisa hilo li lisu ni punga punga, na kengeza wenu ni punga punga, waambie waache kumhadaa mwenyekiti wetu
Amekuja Tanzania akakuta mazingira ya kisiasa yamebadilika sana tofauti na vile nyie misukule yake mlivyokuwa mkimuaminisha.Maneno yote hayo kisa Lissu kasema anaomba wote waliohusika kuua na kutwsa watu wakamatwe?.
Umeandika kwa uchungu mama kakutuma niniTundu Lissu kwa maneno yake mwenyewe na kwa kujiamini alisema Magufuli ndiye aliyeagiza apigwe risasi kwa madai kuwa alikua msaliti bahati nzuri akapona.
Lissu alidai tena aliponea kuuawa mara ya pili baada ya uchaguzi kumalizika na akaokolewa na ubalozi wa Ujerumani.
Rais Samia ambaye ndiye kiongozi pekee aliyemtembelea Tundu Lissu alipokuwa amelazwa Nairobi, alikubali pia kumtembelea Tundu Lissu nchini Ubelgiji alipokuwa katika ziara ya kikazi.
Tundu Lissu baada ya hapo alisema Samia alimlipa stahiki zake za Ubunge na kumwambia atamlipa pia na hela zake za matibabu akikamilisha kupeleka vielelezo.
Ukizingatia nchi ilipokuwa imetoka kabla ya Samia kuwa Rais kitendo cha Samia kukutana na Lissu iliwashtua sana CCM na CHADEMA, kwa kuwa kulikuwa na uadui mkubwa sana.
Rais Samia pamoja na hayo alifanya mengi ambayo yalikuwa kinyume na msimamo wa chama chake kilichokuwa na msimamo mkali dhidi ya Chadema kwa manufaa ya Chadema na nchi kwa ujumla.
Alifuta kesi nyingi zilikuwa zinawakabili kutoka awamu ya 5, kuwakaribisha nchini waliokuwa wamekimbia nje, kuwapa malimbikizo ya ruzuku, kuruhusu kufanya mikutano ya hadhara iliyokuwa imezuiwa, kufungulia vyombo vya habari, na hata kuahidi kufufua mchakato wa katiba mpya, ambao mtangulizi wake alikataa hata kusikia.
Sasa leo nikaona tweet ya Lissu akimkebehi Samia kuwa hajafanya la maana lolote halafu ameweka bango.
Labda pengine Lissu na wanaharakati wengine wa Chadema hawajui kwamba Samia angeweza kuendeleza aina ya utawala wa Magufuli ambao ndio wengi katika CCM wanataka na ila akatumia busara, na sadly wasingekuwa na la kufanya.
Sasa kiongozi akionyesha busara na nyie onyesheni busara, kuna mengi ambayo bado Chadema na Lissu wanaweza kuwa wanadai au hayaendi kwa spidi kama wanavyotaka lakini kukejeli jitihada za Samia ni kuwapa nguvu wahafidhina ndani ya CCM.
Mimi sijasema kaongea kibaya ila tu Lissu ni mbwatukaji na hana hekima hana utulivu.Kaongea kipi kubaya kwenye tweet yake? Mbona Magufuli akijitangaza hadharani Ni kichaa ukachekelea. Tuache unafiki.
Tundu Lissu kwa maneno yake mwenyewe na kwa kujiamini alisema Magufuli ndiye aliyeagiza apigwe risasi kwa madai kuwa alikua msaliti bahati nzuri akapona.
Lissu alidai tena aliponea kuuawa mara ya pili baada ya uchaguzi kumalizika na akaokolewa na ubalozi wa Ujerumani.
Rais Samia ambaye ndiye kiongozi pekee aliyemtembelea Tundu Lissu alipokuwa amelazwa Nairobi, alikubali pia kumtembelea Tundu Lissu nchini Ubelgiji alipokuwa katika ziara ya kikazi.
Tundu Lissu baada ya hapo alisema Samia alimlipa stahiki zake za Ubunge na kumwambia atamlipa pia na hela zake za matibabu akikamilisha kupeleka vielelezo.
Ukizingatia nchi ilipokuwa imetoka kabla ya Samia kuwa Rais kitendo cha Samia kukutana na Lissu iliwashtua sana CCM na CHADEMA, kwa kuwa kulikuwa na uadui mkubwa sana.
Rais Samia pamoja na hayo alifanya mengi ambayo yalikuwa kinyume na msimamo wa chama chake kilichokuwa na msimamo mkali dhidi ya Chadema kwa manufaa ya Chadema na nchi kwa ujumla.
Alifuta kesi nyingi zilikuwa zinawakabili kutoka awamu ya 5, kuwakaribisha nchini waliokuwa wamekimbia nje, kuwapa malimbikizo ya ruzuku, kuruhusu kufanya mikutano ya hadhara iliyokuwa imezuiwa, kufungulia vyombo vya habari, na hata kuahidi kufufua mchakato wa katiba mpya, ambao mtangulizi wake alikataa hata kusikia.
Sasa leo nikaona tweet ya Lissu akimkebehi Samia kuwa hajafanya la maana lolote halafu ameweka bango.
Labda pengine Lissu na wanaharakati wengine wa Chadema hawajui kwamba Samia angeweza kuendeleza aina ya utawala wa Magufuli ambao ndio wengi katika CCM wanataka na ila akatumia busara, na sadly wasingekuwa na la kufanya.
Sasa kiongozi akionyesha busara na nyie onyesheni busara, kuna mengi ambayo bado Chadema na Lissu wanaweza kuwa wanadai au hayaendi kwa spidi kama wanavyotaka lakini kukejeli jitihada za Samia ni kuwapa nguvu wahafidhina ndani ya CCM.
Tundu Lissu kwa maneno yake mwenyewe na kwa kujiamini alisema Magufuli ndiye aliyeagiza apigwe risasi kwa madai kuwa alikua msaliti bahati nzuri akapona.
Lissu alidai tena aliponea kuuawa mara ya pili baada ya uchaguzi kumalizika na akaokolewa na ubalozi wa Ujerumani.
Rais Samia ambaye ndiye kiongozi pekee aliyemtembelea Tundu Lissu alipokuwa amelazwa Nairobi, alikubali pia kumtembelea Tundu Lissu nchini Ubelgiji alipokuwa katika ziara ya kikazi.
Tundu Lissu baada ya hapo alisema Samia alimlipa stahiki zake za Ubunge na kumwambia atamlipa pia na hela zake za matibabu akikamilisha kupeleka vielelezo.
Ukizingatia nchi ilipokuwa imetoka kabla ya Samia kuwa Rais kitendo cha Samia kukutana na Lissu iliwashtua sana CCM na CHADEMA, kwa kuwa kulikuwa na uadui mkubwa sana.
Rais Samia pamoja na hayo alifanya mengi ambayo yalikuwa kinyume na msimamo wa chama chake kilichokuwa na msimamo mkali dhidi ya Chadema kwa manufaa ya Chadema na nchi kwa ujumla.
Alifuta kesi nyingi zilikuwa zinawakabili kutoka awamu ya 5, kuwakaribisha nchini waliokuwa wamekimbia nje, kuwapa malimbikizo ya ruzuku, kuruhusu kufanya mikutano ya hadhara iliyokuwa imezuiwa, kufungulia vyombo vya habari, na hata kuahidi kufufua mchakato wa katiba mpya, ambao mtangulizi wake alikataa hata kusikia.
Sasa leo nikaona tweet ya Lissu akimkebehi Samia kuwa hajafanya la maana lolote halafu ameweka bango.
Labda pengine Lissu na wanaharakati wengine wa Chadema hawajui kwamba Samia angeweza kuendeleza aina ya utawala wa Magufuli ambao ndio wengi katika CCM wanataka na ila akatumia busara, na sadly wasingekuwa na la kufanya.
Sasa kiongozi akionyesha busara na nyie onyesheni busara, kuna mengi ambayo bado Chadema na Lissu wanaweza kuwa wanadai au hayaendi kwa spidi kama wanavyotaka lakini kukejeli jitihada za Samia ni kuwapa nguvu wahafidhina ndani ya CCM.
😂Lema ameshawambia wasivae boksa watinge chupi tayari Kwa chupi upande
Kwani hao viongozi wa chama chako huwa mnawasema wanapokosea? Hiyo tabia haijaanza awamu ya tano tu.
Wengi wenye kukosoa hayo mambo si wanachadema ni ccm au wengineo ila chadema wao huwa wanatetea chama chao kwenye hayo mambo, sema mara zote nakwambia chadema haipo hivyo unavyojiaminisha au unavyotaka kutuaminisha.Kila siku tunasema hapa CDM wajenge ofisi yenye hadhi ya chama hicho, na Mbowe muda wake wa kuendelea kuwa mwenyekiti umeisha. Suala la Lowassa kupewa nafasi ya ugombea wa CDM tuko wazi kabisa kuwa haikuwa sahihi. Sasa unataka tuseme kipi Labda? Hiyo tabia ilikuwa wazi na kwa kiburi kikubwa kwenye awamu ya tano.
Wengi wenye kukosoa hayo mambo si wanachadema ni ccm au wengineo ila chadema wao huwa wanatetea chama chao kwenye hayo mambo, sema mara zote nakwambia chadema haipo hivyo unavyojiaminisha au unavyotaka kutuaminisha.
Wewe mwenyewe ukihoji sana unajikuta unaitwa sukuma gang.
Mpo wachache(kama sio peke yako) ndio maana nikasema wengi wenye kuhoji hayo masuala ni wana ccm na chadema huwa wanatetea chama chao na kumtetea Mbowe.Kwa hiyo mimi nahoji hayo kwakuwa ni CCM?
Kama CCM mliokua mkitetea udhalimu wa maguMpo wachache(kama sio peke yako) ndio maana nikasema wengi wenye kuhoji hayo masuala ni wana ccm na chadema huwa wanatetea chama chao na kumtetea Mbowe.
Kwahiyo unakiri ccm na chadema ni walewale tu?Kama CCM mliokua mkitetea udhalimu wa magu