Tunaongea kulingana na mada iliyo mezani. Mada iliyo mezani inamhusu huyo jamaa. Mioyo ya migumu ya kikatili mnaijua nyinyi ila kwetu sisi wengine tunamwona kiongozi mwenye maona aliyemaanisha business. Hakwenda Ikulu kupiga picha, na kazi zake zitaishi muda mrefu sana.
Kama hiyo ndio kumbukumbu uliyonayo kumhusu hiyo nayo ni hoja ya msingi. Mzee atabaki kuwa mtu impactful kwa both detractors and admirers. Na hiyo ni sifa mojawapo ya great men of all times...tukubali kuwa tumegawanyika.
..nyinyi mnaweza ku-focus kwenye miundombinu aliyojenga.
..wengine tunaona miundombinu bila kuheshimu utu wetu na haki zetu ni sawa na kuishi ktk zama za ukoloni.
..Magufuli ametuachia kumbukumbu ya mkoloni mweusi.
Dikteta uchwara atasiginwa Hadi kaburi lipate joto..Ni muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.
Ila kuna uwezekano kwamba wengine wanaomuunga mkono nikwasababu yakumsema huyo ambae hutaki asemweSawa, lakini ikumbukwe kuwa, TAL ni mwanasiasa kwa hiyo anahitaji watu.
Watu hao anaowahitaji TAL kama mtaji wa kisiasa ndio wanaomkubali sana JPM anayesemwa vibaya hadharani. Kwa hiyo, kumsema vibaya JPM ni kupunguza wafuasi wengi sana wa Siasa, lakini pia kumsema vibaya JPM haisaidii chochote kile.
Acha upumbavuNi muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.
KabisaJPM alisema tufundishe watoto wetu historia ya nchi hii. Kuuzungumzia utawala wake ni sehemu ya historia hiyo pia!
Duh hapo kwenye kulitazama ndio kazi ilipo maana halitazamiki kirahisiMtume Muhammad ana wafuasi mabilioni duniani, na kuna binadamu wengi wanamsemea mabaya. Japo hawajawahi kumsikia...
Yesu Kristo ana wafuasi mabilioni duniani na kuna binadamu wengi wanamsema vibaya japo hawajawahi kumjua...
Sembuse Magufuli?
Tusipangiane maisha.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Basi hili nalo ukalitazame
Lenyewe linafikiri linakubalika kuliko Magufuli,.. jinga sana. Kuna siku atapigwa mawe na wananchi badala ya risasi akiendelea kumtukana na kusema uongo kuhusu magufuli.Ni muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilis
Usiwaachie maharamia na mamluki vibaraka wa Tundu Lissu wakukatishe kauli.Ni muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.
dikteta muuajiHayo ya kuteka wasiokusujudia unayajua wewe. Sisi tunachojua ni kwamba Magufuli atabaki kwenye kumbukumbu kama miongoni mwa marais bora kabisa taifa hili liliwahi au litakuja kupata. Lissu amseme au asimseme haiwezi kupunguza au kuongeza chochote kwenye kumbukumbu hiyo.
Jinga kweli, angekuwa mumeo amepigwa risasi 16 unadhani ungeleta huo ujinga wako hapaNi muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.
Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.
Anakubalika sana kuliko hata walio hai.
Nawasilisha.
Yes hata Iddi Amini anasemwa mpaka leoAcha asemwe Ili wengine wajifunze
SureMnatumia nguvu nyingi sana kumtetea, sasa wewe acha amseme vibaya(of course kwa mabaya yake) ndipo tuone huko kukubalika kwake.
Viongozi waliopo ndipo wanapojifunza kuwa ukitenda mabaya daima utakumbukwa kwa mabaya yako hata baada ya kufa, unyama aliowafanyia Watanzania unapaswa kutungiwa kitabu kabisa ili iwe fundisho kwa uzao ujao wa viongozi.
Ukipanda bangi usitegemee kuvuna mahindi, Jiwe anavuna alichopanda.
Yule alikuwa ni zaidi ya shetaniMagufuli hakubaliki na watu wengi kama unavyotaka kutuaminisha. Ushahidi ni namna alivyopora uchaguzi 2019 na 2020. Anayekubalika hawezi kuwa na hofu kiasi kile. Kwa nini alijiprintia fomu moja ya Mgombea urais?
Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app