Tundu Lissu aache kumsema vibaya Hayati Magufuli

Tundu Lissu aache kumsema vibaya Hayati Magufuli

Tunaongea kulingana na mada iliyo mezani. Mada iliyo mezani inamhusu huyo jamaa. Mioyo ya migumu ya kikatili mnaijua nyinyi ila kwetu sisi wengine tunamwona kiongozi mwenye maona aliyemaanisha business. Hakwenda Ikulu kupiga picha, na kazi zake zitaishi muda mrefu sana.

..tukubali kuwa tumegawanyika.

..nyinyi mnaweza ku-focus kwenye miundombinu aliyojenga.

..wengine tunaona miundombinu bila kuheshimu utu wetu na haki zetu ni sawa na kuishi ktk zama za ukoloni.

..Magufuli ametuachia kumbukumbu ya mkoloni mweusi.
 
..tukubali kuwa tumegawanyika.

..nyinyi mnaweza ku-focus kwenye miundombinu aliyojenga.

..wengine tunaona miundombinu bila kuheshimu utu wetu na haki zetu ni sawa na kuishi ktk zama za ukoloni.

..Magufuli ametuachia kumbukumbu ya mkoloni mweusi.
Kama hiyo ndio kumbukumbu uliyonayo kumhusu hiyo nayo ni hoja ya msingi. Mzee atabaki kuwa mtu impactful kwa both detractors and admirers. Na hiyo ni sifa mojawapo ya great men of all times.
 
Mwache ateme nyingi zake. Lakini si mtaji wa kisiasa sasa.
Akitaka uponyaji wa ndani amsamehe tu. Hawezi badili historia.
 
Ni muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.

Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.

Anakubalika sana kuliko hata walio hai.

Nawasilisha.
Dikteta uchwara atasiginwa Hadi kaburi lipate joto..

Kuzimu Jehanamu,Duniani huku ananangwa Hadi vizazi viishe.
 

Hujawahi kuwa mzima halafu ghafla ukajikuta kilema wewe, ungekaa kimya.
 
Sawa, lakini ikumbukwe kuwa, TAL ni mwanasiasa kwa hiyo anahitaji watu.

Watu hao anaowahitaji TAL kama mtaji wa kisiasa ndio wanaomkubali sana JPM anayesemwa vibaya hadharani. Kwa hiyo, kumsema vibaya JPM ni kupunguza wafuasi wengi sana wa Siasa, lakini pia kumsema vibaya JPM haisaidii chochote kile.
Ila kuna uwezekano kwamba wengine wanaomuunga mkono nikwasababu yakumsema huyo ambae hutaki asemwe
 
Hiyo technique ya lissu ya kutafuta huruma kwa watu kwa kumtukana JPM itampeleka shimoni na hana mda mrefu kwenye siasa.

Maana watanzania wengi saizi ndo wanamkumbuka JPM kwa mambo ambayo aliyatetea na kuyaweka sawa. Mchele usingefika 4000 sasa ye lissu kila anapofungua mdomo topic ni JPM. Anajimaliza
 
Ni muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.

Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.

Anakubalika sana kuliko hata walio hai.

Nawasilisha.
Acha upumbavu
 
Mtume Muhammad ana wafuasi mabilioni duniani, na kuna binadamu wengi wanamsemea mabaya. Japo hawajawahi kumsikia...

Yesu Kristo ana wafuasi mabilioni duniani na kuna binadamu wengi wanamsema vibaya japo hawajawahi kumjua...

Sembuse Magufuli?

Tusipangiane maisha.

Au nasema uongo ndugu zangu?

Basi hili nalo ukalitazame
Duh hapo kwenye kulitazama ndio kazi ilipo maana halitazamiki kirahisi
 
Ni muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.

Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.

Anakubalika sana kuliko hata walio hai.

Nawasilis
Lenyewe linafikiri linakubalika kuliko Magufuli,.. jinga sana. Kuna siku atapigwa mawe na wananchi badala ya risasi akiendelea kumtukana na kusema uongo kuhusu magufuli.
 
Ni muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.

Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.

Anakubalika sana kuliko hata walio hai.

Nawasilisha.
Usiwaachie maharamia na mamluki vibaraka wa Tundu Lissu wakukatishe kauli.
Kazi Tu
 
Hainishangazi kuona Mamluki na Vibaraka wa Tundu Lissu na mihemeko.
Kinachonishangaza ni wao kupindisha kwamba, wanaowakemea mamluki hao kwa utumiaji wao wa lugha za uhasama, lugha za kubeza kejeli na za kunyanyasa dhidi ya Mfu wanageuka na kudai 'anatetewa kwa nguvu' wakati wao ndio wanatumia nguvu na siajabu mamilioni ya Dollar kuhakikisha wanendelea kuwanyonya Watanzania na Waafrika kwa Ujumla. Wanafanya hivyo uwasujudie, uwapigie magoti, yaani wanataka uwe mnyenyekevu kupindukia... kwani yaliyowakuta, yaliyowakuta ni mtu aliyesema, wait a minute, mtuache tupumue...Ule ni ujasiri ule ndio Uzalendo, Nchi kwanza Magufuli aliwaweza aliwanyima Billioni za Mahela. Mirija ilikaba kisawasawa. Wamezusha mengi na wataendelea kuzusha na kupotosha....

....Hilo hapana.....Magulification must go on.

Aluta Continua.
 
Hayo ya kuteka wasiokusujudia unayajua wewe. Sisi tunachojua ni kwamba Magufuli atabaki kwenye kumbukumbu kama miongoni mwa marais bora kabisa taifa hili liliwahi au litakuja kupata. Lissu amseme au asimseme haiwezi kupunguza au kuongeza chochote kwenye kumbukumbu hiyo.
dikteta muuaji
 
Ni muhimu sana tena sana kwa Tundu Lissu kuepuka kumsema vibaya Hayati John Magufuli katika mikutano yake.

Ikumbukwe kuwa, pamoja na mapungufu machache aliyokuwa nayo kama ilivyo kwa binadamu yeyote, Hayati Magufuli ana watu wengi sana wanaomkubali mpaka sasa.

Anakubalika sana kuliko hata walio hai.

Nawasilisha.
Jinga kweli, angekuwa mumeo amepigwa risasi 16 unadhani ungeleta huo ujinga wako hapa
 
Mnatumia nguvu nyingi sana kumtetea, sasa wewe acha amseme vibaya(of course kwa mabaya yake) ndipo tuone huko kukubalika kwake.
Viongozi waliopo ndipo wanapojifunza kuwa ukitenda mabaya daima utakumbukwa kwa mabaya yako hata baada ya kufa, unyama aliowafanyia Watanzania unapaswa kutungiwa kitabu kabisa ili iwe fundisho kwa uzao ujao wa viongozi.
Ukipanda bangi usitegemee kuvuna mahindi, Jiwe anavuna alichopanda.
Sure
 
Hivi unaweza kumsema vizuri muuaji wako kweli?
Jamani tuache kuandika upumbavu kama huu!
Mtu husemwa kwa mazuri au ubaya wake aliofanya hivyo msilazimishe shetani kuwa malaika!
 
Back
Top Bottom