Rais Wa Malofa
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 683
- 782
Badala ya kuelezea mipango yake kwamba hiyo pesa ataipata kutoka vyanzo vipi vya mapato, anaongelea kutumia!
Na nyinyi mnashangilia!
Kweli kuongoza chadema ni raha
Magufuli atawaangalia..!Watumishi tuna hali ngumu atuangalie
Gaddafi aliahidi akiwa Rais sio mgombea. Au mkuu hujui tofauti!?Gaddafi aliahidi kutokomeza nyumba z kupanga lakini nae walimkejeli hivi,lakini amekufa akiacha Libya hakuna mtu anaishi nyumba ya kupanga
Gaddafi aliahidi akiwa Rais sio mgombea. Au mkuu hujui tofauti!?
Pesa ipo nyingi hata ile pesa iliyokwenda kujenga chato Airport ingetosha kuongezea humo humo kwenye malipoKulipa kwa wiki, huo ni uongo ulio uchi kabisa!
Mtukufu haangalii watu wengine zaidi ya chato pekeeMagufuli atawaangalia..!
Hakuna literature yoyote inayoonesha kwamba Hitler aliahidi kulipa kisasi. Site it kama unayo.mkuu,nilichokuwa namaanisha ni kwamba katika Dunia ya siasa hakuna jambo linashindikana,unaweza kuona mwanasiasa kaongea utopolo lakini akafanikisha,hata Hitrel alivosema atainua uchumi wa ujerumani na kulipa kisasi kuna watu waliona anaongea upuuzi
Pesa zipo nyingi sana subiria mungu atende wemaMi naifikilia iyo mishahara mara mbili
Hakuna literature yoyote inayoonesha kwamba Hitler aliahidi kulipa kisasi. Site it kama unayo.
Good! Hiyo ndio logical argument.haya mkuu.nipe muda sitaleta tu Vitabu nitaleta video umskie mwenyewe akiongea
Ila kweli..😂Mtukufu haangalii watu wengine zaidi ya chato pekee
Watalipwa kwa week lazima wajifunze kuwa na nidhamu mpya siyo kukariri Nidhamu ya pesa ya nenda rudiMimi nakueleza wazi kuwa hii mishahara inayolipwa kwa mwezi ina makusudio yake kutokana na tabia za nidhamu ya pesa ya kiafrika.
Sisiem ikiangushwa mimi ntakuja kuvua nguo hapa......
inawezekana kabisa mkuu wafanyakazi tz kwani idadi yao ni ngapi? alafu haiwezekani mwalim alipwe laki nne kama mtumishi alafu yupo mtumishi mwingine alipwe ml 5,6 na kuendelea kisa katibu mkuu wa wizara hakuna na nakataa eti kwa kisa watu watadumbukia kwenye umaskini , hakuna watu wapige kazi na walipwe vizuri maana ndo waleta maendeleo na ndo wanao yasimamia
Rais huyo ni Magufuli hivyo ngoja aendelee kutuletea maendeleo! Hatutaki puppet wa wazungu. Lisa sijui Lissu hana msimamo imara zaidi ya kubweka bweka tu. Na uzoefu unaonyesaha kwamba watu wanaobweka dizaini ya tundu lissu si wachapa kazi bali walalamikaji na watafuta sababu za kushindwa kwao (wakwepa majukumu)..chama kuwa na ofisi za kifahari hakuna mahusiano yoyote na kuendesha uchumi wa nchi vizuri.
..ccm imeanza kuwa na maofisi na magari ya kifahari muda mrefu sana, lakini hiyo haina contribution yoyote ktk kubadilisha hali ya maisha ya waTz.
..waTz tunataka kiongozi anayejali watu, atakayeunganisha waTz, asiye mbaguzi, asiye mkatili, na atakayeleta uongozi wa pamoja.
..kaka tulikuwa tunaenda vizuri lakini naona umetumia lugha ngumu kidogo.
..kutokupandisha mishahara kwa Jpm kumesababisha maisha kuwa magumu.
..tunahitaji utawala utakaopandisha mishahara RESPONSIBLY bila kusababisha mfumuko wa bei, na hicho ndicho CDM wanakwenda kutupatia.
..Jpm amekuwa ktk usukani kwa miaka 4 sasa, kama hatuoni uwekezaji uliofanyika ktk utawala wake, then he has to go.
..Tunahitaji kuleta utawala mpya utakachochea uwekezaji wa muda mfupi, wa muda wa kati, na wa muda mrefu.
Mbowe anaumwa miguu atazunguka vipi wakati bado hajapona?