NTWA MWIKEMO
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 734
- 366
Papeti,Ndugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter
View attachment 1478123
Zitajaa mpaka zitamwagikaNdugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter
View attachment 1478123
Ni maandaliziAsiwe na haraka angoje ateuliwe kwanza
Chadema kungekua na Demokrasia, Mbowe asingekua mwenye kiti mpaka leo.Ninachokijua ni chadema Kuna demokrasia nzr kuliko ccm yenge domokrasia maana ni magufuri ndo mwenye kusema Nani agombee na Nani hapana
Magufuri uenyekiti aligombea na naan ndani ya ccmChadema kungekua na Demokrasia, Mbowe asingekua mwenye kiti mpaka leo.
Hapo kuna Domo crasia tu, kama asemavyo mchangiaji mmoja hapo juu.
Kitu kipiChadema watoke wazi waseme kama hiki kitu ni sahihi au kuna ujanja nachoelewa kuna mchakato wa ndani halafu akishapitishwa na chama ndio wanapeleka barua tume ya uchaguzi
Nitachangia kila mwezi mpaka uchaguzi umalizike.Umeshachangia?
Sasa mbona kauli yako haina demokrasia ndani yake.Hujalazimushwa mkuu.. ni kwa watanzania wapenda demokrasia
Makufuli amemfuta uanacha Membe ili asipate mshindani ndani ya chama chake, hiyo ndio demokrasia eti? Kitimoto we.Sema wapenda Domo krasia
Makufuli amemfuta uanacha Membe ili asipate mshindani ndani ya chama chake, hiyo ndio demokrasia eti? Kitimoto we.Chadema kungekua na Demokrasia, Mbowe asingekua mwenye kiti mpaka leo.
Hapo kuna Domo crasia tu, kama asemavyo mchangiaji mmoja hapo juu.
Ndo maana ya demokrasia, ni hiyari...ukilazimisha sio demokrasia tena..au hujaelewa?Sasa mbona kauli yako haina demokrasia ndani yake.
Maana hata asiyetaka kuchangia ni demokrasia na anayetaka ni demokrasia.
Kama kweli unaihubiri demokrasia...
Kwenye kuchangia...
Wapo watakapinga...wapo watakaokubali na wapo ambao hawajui wakatae au wakubali.
Anasaka vipi pesa wakati chama bado hakijampitisha kuwa mgombea uraisNdugu na marafiki zangu mnaoniunga mkono kwenye safari hii ndefu na ngumu. Kazi hii inahitaji mikono na nguvu ya kila mmoja wenu. Hivyo nawaomba mnisaidie kwa kila mmoja kwa nafasi yake. Tafadhali tuma mchango wako kwenye namba zilizowekwa kwenye tangazo hili tu. Nawashukuru sana-Tundu Lissu on twitter
View attachment 1478123
Kama kichaa na yesu wa chatto ameweza kwnn Lissu ashindwe?Wonders shall never end,huyu naye akili zake zinamtuma kabisa kuwa anaweza kuwa rais wa JMT.
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Wala hujielewi kwanza hajafutwa uwanachama pili alionywa kwa Jambo jengine kabisaMakufuli amemfuta uanacha Membe ili asipate mshindani ndani ya chama chake, hiyo ndio demokrasia eti? Kitimoto we.
Nani kaandika neno kulazimisha..Ndo maana ya demokrasia, ni hiyari...ukilazimisha sio demokrasia tena..au hujaelewa?
Soma comment no.2 itakupa majibu.Usiwe kama mchawi.Anasaka vipi pesa wakati chama bado hakijampitisha kuwa mgombea urais
Asije akajimwambafy kama mwenzake Dr Slaa halafu mwisho wa siku Mbowe anampa nafasi Membe kugombea urais
Acha uongo ww...unabishana na polepole (chakubanga)?Wala hujielewi kwanza hajafutwa uwanachama pili alionywa kwa Jambo jengine kabisa