Wewe umesikiliza upande mmoja na unatoa hukumu. Lissu ni mwana siasa na kama kweli angweza kuweka mtego zaidi ya huu sababu alikuwa anajuwa kitakachotokea hakuweza hata ku record maongezi maana huwezi kumshutumu mtu tu kwa kauli ukija kupelekwa mahakamani ok thibitisha? Kwanini akatae kumtaja wa Chadema, wewe ukiona mpaka watu wanakuja na mtu wa chama chako kutaka kukuhonga basi ujuwe wanajuwa udhaifu wako kuwa umeshawahi kupokea.Huyu Mtoto anayetembea na Mabulungutu kayatoa wapi?!
LISSU kamsamehe huyo dogo sasa nawe nakushauri mwambie huyo dogo aende mahakamani kwa kuchafuliwa usimpangie LISSU cha kufanya akikosewa, mbona amewasamehe waliotaka kumtoa roho sembuse kumpa rushwa?hongo huwa inasababu, daktari akjtibu, hakimu ushinde kesi, polisi uachiwe sasa yeye wamhonge kwa lipi? kama aliona ni hongo nayeye ni wakili kwanini hakutoa taarifa takukuru?
Mshana Jr umeumbukaMakamu mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akizungumza kwenye kipindi cha Medani za Siasa, Star TV, leo Agosti 17, 2024, amesema Mtoto wa Rais Samia aliyemtaja kwa jina la Abdul alitaka kumhonga pesa Novemba 2023.
Tundu Lissu amesema Abdul hakutaja kiwango cha pesa, na alitaka aende usiku kwenye mojawapo ya hoteli zilizopo Masaki ili apatiwe pesa hizo lakini alikataa, akasema aje nyumbani kwake Tegeta. Lissu amesema Abdul alitumia watu wa chama chake kumfikishia ujumbe huo.
Amefafanua zaidi kuwa kijana huyo alikuja nyumbani kwake, na baada ya kutaka kumpa pesa alizikataa akasema anataka kupewa pesa zenye risiti, siyo hizo za gizani. Kwenye mazungumzo hayo walikuwepo watu wanne, na walinzi wa Abdul wakiwepo nje ya nyumba yake.
Kwa mujibu wake, yeye alizikataa pesa hizo na kumwambia aende akamwambie Rais amlipe stahiki zake kwa mujibu wa sheria na siyo kumhonga, na alimpatia nyaraka zote zinazohusiana na madai yake.
Baada ya hapo hawakuwahi tena kuwasiliana.
Lissu amekataa kumtaja kiongozi wa CHADEMA aliyeambatana na Abdul.
Pia soma
Hahahahaha nimekumbuka enzi za hela kuwekwa ktk mfuko wa sandalusiHuyu Mtoto anayetembea na Mabulungutu kayatoa wapi?!
Hahahahaha, na huyo wa chama chake walioenda nae kwa lisu itakua ni mtu anayemmudu Lisu ,ama aliwahi kufanya nae ishu km hy...mtu na mtuwe..wakaenda na mtueWewe umesikiliza upande mmoja na unatoa hukumu. Lissu ni mwana siasa na kama kweli angweza kuweka mtego zaidi ya huu sababu alikuwa anajuwa kitakachotokea hakuweza hata ku record maongezi maana huwezi kumshutumu mtu tu kwa kauli ukija kupelekwa mahakamani ok thibitisha? Kwanini akatae kumtaja wa Chadema, wewe ukiona mpaka watu wanakuja na mtu wa chama chako kutaka kukuhonga basi ujuwe wanajuwa udhaifu wako kuwa umeshawahi kupokea.
Wanajichotea watakavyo kodi na tozo zetuHuyu Mtoto anayetembea na Mabulungutu kayatoa wapi?!
Mbona swali lako ni la kipuuzi sana kama hauna kichwa aisee!?hongo huwa inasababu, daktari akjtibu, hakimu ushinde kesi, polisi uachiwe sasa yeye wamhonge kwa lipi? kama aliona ni hongo nayeye ni wakili kwanini hakutoa taarifa takukuru?
TISS kazi Bure kabisa,wapi bize na uchawa...na wee mkuchika upo tuHuyu Mtoto anayetembea na Mabulungutu kayatoa wapi?!
Huyu Mtoto anayetembea na Mabulungutu kayatoa wapi?!
Wewe acha upumbavu.Bhc atakua mnafiki kwann asimtaje na wa chama chake tujue ni kweli?
Alaf kama alikua hazitaki kwann amuambie amletee kwake?
Siasa mchezo mchafu
Ulikuwa beki tatu wake nini huko Ubelgiji? Hapo hata chai hujanywa unasema Lissu aliishi kwa kuunga unga πTundu hakuhongwa na hakukuwa na fedha za kumhonga. Hizo ni drama tu. Tundu alivyo na shida ya hela kwa maisha anayoishi kwa kuunga unga huko Belgium asingeweza kukataa hela kama zingekuwapo.
Rubbish! Kweli chadema chama kubwa. Mnabwabwaja all day and night. Na wala hakuna mtu wa Chadema anabwabwaja kuhusu CCM! JitafakariMfukuzeni basi Lissu kama mnaweza muone. Mbowe apumzike kwa heshina na Lissu aambiwe arudishe fomu ya makamu acnukue ya m/kiti. Makamu achukue Heche au Lema. Mnyika amesusa ukatibu kwa sababu Mbowe anafuja pesa za chama huku anaona, Mnyika ni smart hataki kusema tu. Mrema aondoke pale au kama anaweza agombee na yeye vyeo ndani ya chama vya kupigiwa kura. Mkimfukuza Lissu atawataja washenga wa Abdul ndani ya chama Kwa umma.. Na Sijui kwa nini hakumwambia Msigwa au CCM wamemkataza Msigwa kwa kuwa nae kapokea pesa zao?
Most likely huyo kiongozi wa CHADEMA anaweza kuwa Msigw.Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu akizungumza kwenye kipindi cha Medani za Siasa, Star TV, leo Agosti 17, 2024, amesema Mtoto wa Rais Samia aliyemtaja kwa jina la Abdul alitaka kumhonga pesa Novemba 2023.
Tundu Lissu amesema Abdul hakutaja kiwango cha pesa, na alitaka aende usiku kwenye mojawapo ya hoteli zilizopo Masaki ili apatiwe pesa hizo lakini alikataa, akasema aje nyumbani kwake Tegeta. Lissu amesema Abdul alitumia watu wa chama chake kumfikishia ujumbe huo.
Amefafanua zaidi kuwa kijana huyo alikuja nyumbani kwake, na baada ya kutaka kumpa pesa alizikataa akasema anataka kupewa pesa zenye risiti, siyo hizo za gizani. Kwenye mazungumzo hayo walikuwepo watu wanne, na walinzi wa Abdul wakiwepo nje ya nyumba yake.
Kwa mujibu wake, yeye alizikataa pesa hizo na kumwambia aende akamwambie Rais amlipe stahiki zake kwa mujibu wa sheria na siyo kumhonga, na alimpatia nyaraka zote zinazohusiana na madai yake.
Baada ya hapo hawakuwahi tena kuwasiliana.
Lissu amekataa kumtaja kiongozi wa CHADEMA aliyeambatana na Abdul.
Pia soma