Pre GE2025 Tundu Lissu: Abdul (mtoto wa Rais Samia) alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu

Pre GE2025 Tundu Lissu: Abdul (mtoto wa Rais Samia) alitaka tukutane kwenye hoteli moja Masaki anihonge, nikamwambia njoo kwangu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
fisiemu watajibu kuhusu huu upuuzi wao,halafu yanahubiri uzalendo wakati ni majizi.Genge hili ipo siku litasambaratika pamoja na kinga ya dola wanayotegemea.
 
Amkamatishe kwa TAKUKURU, vinginevyo itakuwa ni stories za kwenye kahawa
 
Kwa nchi kama South Afrika , hii tuhuma kuna watu wangekua ndani bila kujali cheo cha mtu, kama kweli Abdul alifanya uzembe mkubwa sana , alijamini nini kwenda yeye kama yeye
 
hongo huwa inasababu, daktari akjtibu, hakimu ushinde kesi, polisi uachiwe sasa yeye wamhonge kwa lipi? kama aliona ni hongo nayeye ni wakili kwanini hakutoa taarifa takukuru?
Hao wote uliowataja wanahongwa vijisenti vidogo vidogo ila huyo mwanasiasa hongo yake huwa ni bilioni kadhaa.

Biashara inayolipa hasa Afrika ni siasa maana mwanasiasa akiwa maarufu dau lake ni ghali sana.

Hivi ni kwamba umejitoa akili kujua kwamba Chama fulani hawalali usingizi kwa kuhofia spana za Lissu?
 
Mbona amesema kila kitu? Aliambiwa kuwa asimseme vibaya mama wala sirikali yake. Ilikuwa hongo ya kumfunga mdomo.
Hawa shabiki WA Simba na Yanga hawatakuelewa. Pesa chafu ndio zimebomoa upinzani tangu enzi ya Magufuli. Hakuna jipya Serikali na Chama inatumia NGUVU ya pesa kusambaratisha wapinzani.
 
Wewe acha upumbavu.
Appointment ilikuwa wakutane waongee jambo si appointment ya kupeana pesa ingawa alishaambiwa na mtu wa CHADEMA kuwa ni mshiko unakwenda kutoka.
Sasa angekataa appointment angemchana wapi kuwa hataki pesa chafu?
Lissu si kiongozi mkuu wa chama so akisema kuwa kuna kiongozi ndiye alikuwa mtu kati ni kweli kabisa labda ni chairman wake au kiongozi mwingine wa juu ndani chama chake hivyo anaweza kumweka kikaangoni mbele ya CHAIRMAN.
Huyo kiongozi bila shaka ni yule aliyehamia CCM juzi
Ona unavo adisia kama ulikuepo ? Point ni kua why asitaje wote kama ni kweli
Au wew hutak kumjua huyo chawa alieko chadema
 
"Aliambatana na kiongozi mmoja wa chadema"

Hii nchi usafi upo kwa kiwango cha chini sana, wengi mbele ya cheddar hawana ujanja.
Mkuu afazal umeona hii point
Yaani badala tujadili kama raia wote tumekua wanasiasa
 
Wewe acha upumbavu.
Appointment ilikuwa wakutane waongee jambo si appointment ya kupeana pesa ingawa alishaambiwa na mtu wa CHADEMA kuwa ni mshiko unakwenda kutoka.
Sasa angekataa appointment angemchana wapi kuwa hataki pesa chafu?
Lissu si kiongozi mkuu wa chama so akisema kuwa kuna kiongozi ndiye alikuwa mtu kati ni kweli kabisa labda ni chairman wake au kiongozi mwingine wa juu ndani chama chake hivyo anaweza kumweka kikaangoni mbele ya CHAIRMAN.
Huyo kiongozi bila shaka ni yule aliyehamia CCM juzi
Kama ndie huyo aliehama bhc angemtajaaa moja kwa moja
Huyo atakua mwenyekiti wenu maana ndio mzee wa dili mingi hakuna kiongozi mwingine anaeza mfata lissu zaid ya mwenyekiti na hii ni kutokana na msimamo wa lissu
 
mwanaume unasemaje ulihongwa? yaani wewe sio mtumishi wa umma lumpen tu ulihongwa ili iweje? hawa jamaa vipi? aseme kitu gani walichokuwa wanamshawishi nacho tujue kama kwi ilikuwepo ni ya kuhongwa, eti furushi la hela lilikuwa getini tutaaminije? atuwekee cctv footage
Mkuu ukihoji unaonekana chawa cjui wabongo tukoje kila taarifa mradi ninyakuponda serikali bhc tunaibeba kama ilivo
Hawa hawa ndio walituambia bandari imeuzwa yaan watz akili zetu cjui zikoje
 
Hili analosema Lissu ni sahihi, ccm ni mezi mno halafu wanaamini kwenye siasa kijinga za mazinga ombwe, 90% ya ccm jiba hayana uwezo binafsi wa kuongoza na kutatua kero za taifa, hata kudebate small issues hayawezi.
 
Hili analosema Lissu ni sahihi, ccm ni mezi mno halafu wanaamini kwenye siasa kijinga za mazinga ombwe, 90% ya ccm jiba hayana uwezo binafsi wa kuongoza na kutatua kero za taifa, hata kudebate small issues hayawezi.
CCM huwa wanaiba mali za umma wanakuja huhonga
 
Hili analosema Lissu ni sahihi, ccm ni mezi mno halafu wanaamini kwenye siasa kijinga za mazinga ombwe, 90% ya ccm jiba hayana uwezo binafsi wa kuongoza na kutatua kero za taifa, hata kudebate small issues hayawezi.
CCM huwa wanaiba mali za umma wanakuja huhonga
 
Back
Top Bottom