Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

Habari,

Mimi ninavyojua Urais ni taassisi, kutuhumiwa kwa JPM ni kutuhumiwa kwa serikali na mamlaka.

Lakini cha kushangaza serikali ipo kimya, mama pia yupo kimya, najiuliza huu ukimya unaashilia nini? au ndio utakekezaji wa masharti ya maridhiano?
Mamlaka inajua inafanya imefanya na nini, imeshachafuka na haitaki kuchafuka tena
 
Sahihi mkuu,
 
Hakuna waliouliza walinzi waliokuwa getini siku hiyo walikuwa wakina nani au walienda wapi wakati shambulio linafanyika?
 
Habari,

Mimi ninavyojua Urais ni taassisi, kutuhumiwa kwa JPM ni kutuhumiwa kwa serikali na mamlaka.

Lakini cha kushangaza serikali ipo kimya, mama pia yupo kimya, najiuliza huu ukimya unaashilia nini? au ndio utakekezaji wa masharti ya maridhiano?

Serekali haina muda wa kuchunguza jambo lililo wazi hivyo.
 
Habari,

Mimi ninavyojua Urais ni taassisi, kutuhumiwa kwa JPM ni kutuhumiwa kwa serikali na mamlaka.

Lakini cha kushangaza serikali ipo kimya, mama pia yupo kimya, najiuliza huu ukimya unaashilia nini? au ndio utakekezaji wa masharti ya maridhiano?
Tuliza akili utakekezaji ndio nini?
Unapanic au na wewe ilikuwa ni mmoja wa wasiojulikana?
 
Ukweli huwa haujifichi.Ni kweli Moja ya makosa ambayo Serikali ya JPM au JPM alifanya kosa ni kutaka Kumuua Lissu.Baadae JPM alikuja kujutia sana Hilo suala lake.Na ndio Moja ya makosa Makubwa serikali yake ilifanya.
 
Habari,

Mimi ninavyojua Urais ni taassisi, kutuhumiwa kwa JPM ni kutuhumiwa kwa serikali na mamlaka.

Lakini cha kushangaza serikali ipo kimya, mama pia yupo kimya, najiuliza huu ukimya unaashilia nini? au ndio utakekezaji wa masharti ya maridhiano?
Acha atoe ya moyoni buana
 
Ukweli huwa haujifichi.Ni kweli Moja ya makosa ambayo Serikali ya JPM au JPM alifanya kosa ni kutaka Kumuua Lissu.Baadae JPM alikuja kujutia sana Hilo suala lake.Na ndio Moja ya makosa Makubwa serikali yake ilifanya.
 
Ukweli huwa haujifichi.Ni kweli Moja ya makosa ambayo Serikali ya JPM au JPM alifanya kosa ni kutaka Kumuua Lissu.Baadae JPM alikuja kujutia sana Hilo suala lake.Na ndio Moja ya makosa Makubwa serikali yake ilifanya.
Umejuaje alijutia hili ?

Tindo Bams
 
Kumbe unajua mlikoiba kura zake dadeki!

Alikampeni nchi nzima akiungwa mkono na mwenyekiti mkaja kumtenda kama Dr Slaa

Mwenyekiti ndio alikuwa mpiga kura pekee? Kupiga kampeni nchi nzima ndio kukubalika? Yaani CDM ingerudia ule ujinga wa kuokota takataka toka CCM kama kwa Lowassa tungewaona ni washenzi wa hali ya juu.
Ukweli huwa haujifichi.Ni kweli Moja ya makosa ambayo Serikali ya JPM au JPM alifanya kosa ni kutaka Kumuua Lissu.Baadae JPM alikuja kujutia sana Hilo suala lake.Na ndio Moja ya makosa Makubwa serikali yake ilifanya.
Alijuta baada ya Lisu kutokufariki. Alijua wazi Lisu ataanika huo uovu wake wazi.
 
Lisu ameendelea kudai kwamba hayati Magufuli aliagiza msaliti hasitahili kuishi na baada ya muda mfupi Lisu akashambuliwa kwa risasi Dodoma, je kumbe Lisu alikuwa anajijua ni msaliti wa nchi?, maana Magufuli hakutaja jina la mtu alitaja msaliti.
Kwa nini Clouds FM hawakumuuliza dereva wake amemficha wapi?

Kwa nini Clouds hawakumuuliza sababu za Acacia kufutwa Tanzania na hawakushitaki MIGA?

Kwa nini Clouds hawakumuuliza kama alipigwa na Magufuli na sasa hivi ni miaka miwili Magufuli hayupo kwa nini uchunguzi haufanyiki sasa hivi?

Nb: watoto wa Mbowe na Lisu wote ni raia wa Marekani.
 
..Lissu amerudia tuhuma hizo kwa miaka 5 sasa na taasisi ya Raisi imeshindwa kutoa majibu kupangua tuhuma hizo.

..Nashauri Raisi Ssh aunde TUME YA UCHUNGUZI ili wahusika waliojaribu kumuua Lissu wajulikane na wafikishwe mahakamani.
Kuunda tume ni kukwepa kuwajibika. Polisi tayari wana data zote hadi picha za cctv (walikiri awali). Aidha wanahusika na ulinzi wa eneo la tukio. Hivyo wana pre- knowledge ya mazingira yaliyopangwa kabla na baada ya tukio. Na lazima walifanya forensic investigation of the crime scene mara baada ya tukio.

Tume ni kwa suala la kisiasa au lisilokuwa na sheria au mfano. Sio hili la direct assassination attempt. Serikali (polisi na DPP) wafanye kazi yao. It’s long overdue. Vinginevyo watulie, waendelee kumsikiliza Lissu kama wanafikiri hiyo ndiyo busara.
 
Sasa ni uhuru wa manyani umeshamiri mama amejipiga risasi mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…