Acha kujifanya mbabe....kuwa mpole tu.CCM na CDM watakavyo malizana kwenye majukwaa ya siasa watajua wenyewe..
Hila humu JF kwa sie ambao tunaelewa Magufuli hakuwa perfect ila dhamira yake ilikuwa njema kwa Tanzania awezi dhalilishwa kamwe. Either the culprit ni CDM au CCM.
Bora Magufuli kuliko (bi tozo + JK) binafsi nipo tayari kunyofolewq kucha kwa kauli hiyo ata pliers zikiwa mbele yangu.
Nenda mahakamani wewe ukamshitaki Tundu Lissu kwa kumsema vibaya marehemu Jpm,bado haki unayo kwa mujibu wa sheria na siyo kutuletea ngojera zako humu.Wewe ndo zwazwa lini ulionyeshwa picha za mauaji hadharani?
Tundulisu kama ana ushahidi uo anao lopoka si angeenda mahakaman
Mimi pia nimeshangaa kituo hicho kuruhusu mtu kueleza maneno ya kushangilia kifo cha mtu aliyewahi kuwa Rais wa nchi kwa kuchaguliwa na sio kwa mapinduzi. Kila mtu ni innocent hadi ithibitishwe na mahakama au tribunal. Sasa inakuwa Clouds wanarusha maneno ya Lissu akieleza kuwa alishangilia kifo cha JPM?Rais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM.
Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali.
Ni vema Tundu Lissu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika.
Mlale Unono!
Wanaodhani hakuna ahueni.....Idd Amin Mwendazake lazima asemwe
Hao clouds wenye walikipata che mtema kuni.Mimi pia nimeshangaa kituo hicho kuruhusu mtu kueleza maneno ya kushangilia kifo cha mtu aliyewahi kuwa Rais wa nchi kwa kuchaguliwa na sio kwa mapinduzi. Kila mtu ni innocent hadi ithibitishwe na mahakama au tribunal. Sasa inakuwa Clouds wanarusha maneno ya Lissu akieleza kuwa alishangilia kifo cha JPM?
Tunatengeneza precedence mbaya sana.
😅😅😅Bwashee naona jana hukunywa dawa zako
Two wrongs do not make a rightHakuna waliouliza walinzi waliokuwa getini siku hiyo walikuwa wakina nani au walienda wapi wakati shambulio linafanyika?
Ni mtihani mkubwa sana.Hivi polisi wanangoja nini kuwachukulia hatua waliotekeleza tukio hilo?
Jamani hawa watu Tundu, CHADEMA & Co ni wataalamu wa kutunga vitu visivyokuwepo. Wenye kumbukumbu tunakumbuka mwaka 2012 walipanga kujilipua bomu kule Arusha na kweli bomu wakalilipua na kufariki mtu asiyekuwa na hatia. Kama ilivyotarajiwa CHADEMA & Co wakasema eti serikali ndio waliopanga lile shambulio la bomu. Mungu bariki Mchungaji Mtikila alikuja very strongly na kuwaeleza umma kuwa ana ushahidi kuwa bomu walilipua CHADEMA wenyewe. Kuanzia pale Mtikila akawa adui mkubwa wa hao jamaa, the Lissu's. Leo Mtikila angekuwa hai angewaumbua pia.Duh
Kwani Yeye Tundu Lisu alikuwa anapinga nchi?
😅😅😅na wewe ni foreigner?Mamlaka ipi? Wote wamoja wana Bosi mmoja, jiulize Ndege yetu iliyoshikwa Uholanzi nini kinaendelea? Nani aliipeleka Uholanzi ili ikamatwe? Fikiria nchi kama Kenya Kanya Airways ishikwe nje ya nchi huo moto wake lkn hii nchi haina mwenyewe, ni foreigners tu!
umejua kutema mashudu sana uko vizuriJamani hawa watu Tundu, CHADEMA & Co ni wataalamu wa kutunga vitu visivyokuwepo. Wenye kumbukumbu tunakumbuka mwaka 2012 walipanga kujilipua bomu kule Arusha na kweli bomu wakalilipua na kufariki mtu asiyekuwa na hatia. Kama ilivyotarajiwa CHADEMA & Co wakasema eti serikali ndio waliopanga lile shambulio la bomu. Mungu bariki Mchungaji Mtikila alikuja very strongly na kuwaeleza umma kuwa ana ushahidi kuwa bomu walilipua CHADEMA wenyewe. Kuanzia pale Mtikila akawa adui mkubwa wa hao jamaa, the Lissu's. Leo Mtikila angekuwa hai angewaumbua pia.
Mungu mwenyewe aliamua kutenda maajabu ili watesi waaibike.Kwanini polisi hawachungjzi au kutaka kujua ni nani aliotoa amli ya kuwaondoa walinzi katika makazi ya viongozi wa serikali eneo ambalo Lissu alishambuliwa??
Na kwanini alizuia matibabu yake ambyo yapo kisheria?
Hata ajali ya Chacha Wangwe na mchungaji Mtikila zinafananaJamani hawa watu Tundu, CHADEMA & Co ni wataalamu wa kutunga vitu visivyokuwepo. Wenye kumbukumbu tunakumbuka mwaka 2012 walipanga kujilipua bomu kule Arusha na kweli bomu wakalilipua na kufariki mtu asiyekuwa na hatia. Kama ilivyotarajiwa CHADEMA & Co wakasema eti serikali ndio waliopanga lile shambulio la bomu. Mungu bariki Mchungaji Mtikila alikuja very strongly na kuwaeleza umma kuwa ana ushahidi kuwa bomu walilipua CHADEMA wenyewe. Kuanzia pale Mtikila akawa adui mkubwa wa hao jamaa, the Lissu's. Leo Mtikila angekuwa hai angewaumbua pia.
CCM na CDM watakavyo malizana kwenye majukwaa ya siasa watajua wenyewe..
Hila humu JF kwa sie ambao tunaelewa Magufuli hakuwa perfect ila dhamira yake ilikuwa njema kwa Tanzania awezi dhalilishwa kamwe. Either the culprit ni CDM au CCM.
Bora Magufuli kuliko (bi tozo + JK) binafsi nipo tayari kunyofolewq kucha kwa kauli hiyo ata pliers zikiwa mbele yangu.
Kutomhuaisha Magufuli na shambulio la Lissu ni kumkosea Mungu. Tena utubu mapema.
Nilichofurahi ni Tundu Lissu kulieleza kwa wazi hili jambo manake Sukuma gang walikuwa wakijifanya spin-masters eti ni mivutano ya wao kwa wao kugombea madaraka, wale watetezi wa Jiwe hebu mfungulieni Lissu mashtaka kwa kumzushia mungu-mtu wenu.Kwenye mahojiano na kipindi cha Clouds 360 Lissu amesema aliyetoa mari, masaa mawili kabla hajapigwa risasi alisema kulikua na mtu anahutubia na kwenye hotuba yake alikuwa anapokea ripoti ya Bunge ya madini ya Almasi na Tanzanite, moja ya mambo aliyoyasema kwenye hotuba hiyo ni;
"Wale wanaopinga nchi wakati tupo kwenye vita ya kiuchumi nyie wanajeshi mnajua huwa wanafanywaje, hawastahili kuishi."
Ambapo masaa mawili baadae Lissu alishambuliwa Dodoma, akisema bayana kuwa anayemuongelea ni Hayati John Pombe Magufuli, ambapo hata baada ya tukio hilo Rais Magufuli hakuwahi kusema chochote juu ya shambulio hilo.
View attachment 2504783
Jiwe na chawa wake Bashite.Kwani kabla ya hayo mahojiano ya Lisu nani alikua anatajwa kuhusika na hilo tukio?
Victim anajua kilichotokea, polisi hawako tayari kuiaibisha serikali. Haya maneno aliyoyasema Lissu ni eye opener kwa wale waliokuwa wakijifanya kulitetea lile shetani, ndiyo ameshachafuliwa legacy(Mwendakuzimu) sasa wale wanaotaka kuilinda wamfungulie mashtaka Lissu.No exhibit,kukosekana kwa hilo hatuwezi kumuhukumu mtu kwa kuhisia...