Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

CCM na CDM watakavyo malizana kwenye majukwaa ya siasa watajua wenyewe..

Hila humu JF kwa sie ambao tunaelewa Magufuli hakuwa perfect ila dhamira yake ilikuwa njema kwa Tanzania awezi dhalilishwa kamwe. Either the culprit ni CDM au CCM.

Bora Magufuli kuliko (bi tozo + JK) binafsi nipo tayari kunyofolewq kucha kwa kauli hiyo ata pliers zikiwa mbele yangu.
Acha kujifanya mbabe....kuwa mpole tu.
 
Wewe ndo zwazwa lini ulionyeshwa picha za mauaji hadharani?
Tundulisu kama ana ushahidi uo anao lopoka si angeenda mahakaman
Nenda mahakamani wewe ukamshitaki Tundu Lissu kwa kumsema vibaya marehemu Jpm,bado haki unayo kwa mujibu wa sheria na siyo kutuletea ngojera zako humu.
 
Rais wa JMT kimsingi ndiye Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, kumkashifu au kumdhulia jambo Rais wa JMT ni kuidharau CCM.

Sera za CCM zinajulikana na ndizo zinazotekelezwa na Serikali.

Ni vema Tundu Lissu pamoja na Kituo kilichorusha Uzushi huo vikahojiwa na vyombo husika.

Mlale Unono!
Mimi pia nimeshangaa kituo hicho kuruhusu mtu kueleza maneno ya kushangilia kifo cha mtu aliyewahi kuwa Rais wa nchi kwa kuchaguliwa na sio kwa mapinduzi. Kila mtu ni innocent hadi ithibitishwe na mahakama au tribunal. Sasa inakuwa Clouds wanarusha maneno ya Lissu akieleza kuwa alishangilia kifo cha JPM?
Tunatengeneza precedence mbaya sana.
 
Mngeenda kwanza nyie wenye ushahidi kwanza sio mnapga porojo na kilema wenu
 
Mimi pia nimeshangaa kituo hicho kuruhusu mtu kueleza maneno ya kushangilia kifo cha mtu aliyewahi kuwa Rais wa nchi kwa kuchaguliwa na sio kwa mapinduzi. Kila mtu ni innocent hadi ithibitishwe na mahakama au tribunal. Sasa inakuwa Clouds wanarusha maneno ya Lissu akieleza kuwa alishangilia kifo cha JPM?
Tunatengeneza precedence mbaya sana.
Hao clouds wenye walikipata che mtema kuni.

Mambo ya Hayati yalikuwa wazi kila mtu anayajua. mnataka kuaminisha nani?
 
Duh

Kwani Yeye Tundu Lisu alikuwa anapinga nchi?
Jamani hawa watu Tundu, CHADEMA & Co ni wataalamu wa kutunga vitu visivyokuwepo. Wenye kumbukumbu tunakumbuka mwaka 2012 walipanga kujilipua bomu kule Arusha na kweli bomu wakalilipua na kufariki mtu asiyekuwa na hatia. Kama ilivyotarajiwa CHADEMA & Co wakasema eti serikali ndio waliopanga lile shambulio la bomu. Mungu bariki Mchungaji Mtikila alikuja very strongly na kuwaeleza umma kuwa ana ushahidi kuwa bomu walilipua CHADEMA wenyewe. Kuanzia pale Mtikila akawa adui mkubwa wa hao jamaa, the Lissu's. Leo Mtikila angekuwa hai angewaumbua pia.
 
Mamlaka ipi? Wote wamoja wana Bosi mmoja, jiulize Ndege yetu iliyoshikwa Uholanzi nini kinaendelea? Nani aliipeleka Uholanzi ili ikamatwe? Fikiria nchi kama Kenya Kanya Airways ishikwe nje ya nchi huo moto wake lkn hii nchi haina mwenyewe, ni foreigners tu!
😅😅😅na wewe ni foreigner?
 
Jamani hawa watu Tundu, CHADEMA & Co ni wataalamu wa kutunga vitu visivyokuwepo. Wenye kumbukumbu tunakumbuka mwaka 2012 walipanga kujilipua bomu kule Arusha na kweli bomu wakalilipua na kufariki mtu asiyekuwa na hatia. Kama ilivyotarajiwa CHADEMA & Co wakasema eti serikali ndio waliopanga lile shambulio la bomu. Mungu bariki Mchungaji Mtikila alikuja very strongly na kuwaeleza umma kuwa ana ushahidi kuwa bomu walilipua CHADEMA wenyewe. Kuanzia pale Mtikila akawa adui mkubwa wa hao jamaa, the Lissu's. Leo Mtikila angekuwa hai angewaumbua pia.
umejua kutema mashudu sana uko vizuri
 
Kwanini polisi hawachungjzi au kutaka kujua ni nani aliotoa amli ya kuwaondoa walinzi katika makazi ya viongozi wa serikali eneo ambalo Lissu alishambuliwa??
Na kwanini alizuia matibabu yake ambyo yapo kisheria?
Mungu mwenyewe aliamua kutenda maajabu ili watesi waaibike.
 
Jamani hawa watu Tundu, CHADEMA & Co ni wataalamu wa kutunga vitu visivyokuwepo. Wenye kumbukumbu tunakumbuka mwaka 2012 walipanga kujilipua bomu kule Arusha na kweli bomu wakalilipua na kufariki mtu asiyekuwa na hatia. Kama ilivyotarajiwa CHADEMA & Co wakasema eti serikali ndio waliopanga lile shambulio la bomu. Mungu bariki Mchungaji Mtikila alikuja very strongly na kuwaeleza umma kuwa ana ushahidi kuwa bomu walilipua CHADEMA wenyewe. Kuanzia pale Mtikila akawa adui mkubwa wa hao jamaa, the Lissu's. Leo Mtikila angekuwa hai angewaumbua pia.
Hata ajali ya Chacha Wangwe na mchungaji Mtikila zinafanana
 
The road to hell is paved with good intentions.
CCM na CDM watakavyo malizana kwenye majukwaa ya siasa watajua wenyewe..

Hila humu JF kwa sie ambao tunaelewa Magufuli hakuwa perfect ila dhamira yake ilikuwa njema kwa Tanzania awezi dhalilishwa kamwe. Either the culprit ni CDM au CCM.

Bora Magufuli kuliko (bi tozo + JK) binafsi nipo tayari kunyofolewq kucha kwa kauli hiyo ata pliers zikiwa mbele yangu.
 
Kwenye mahojiano na kipindi cha Clouds 360 Lissu amesema aliyetoa mari, masaa mawili kabla hajapigwa risasi alisema kulikua na mtu anahutubia na kwenye hotuba yake alikuwa anapokea ripoti ya Bunge ya madini ya Almasi na Tanzanite, moja ya mambo aliyoyasema kwenye hotuba hiyo ni;

"Wale wanaopinga nchi wakati tupo kwenye vita ya kiuchumi nyie wanajeshi mnajua huwa wanafanywaje, hawastahili kuishi."

Ambapo masaa mawili baadae Lissu alishambuliwa Dodoma, akisema bayana kuwa anayemuongelea ni Hayati John Pombe Magufuli, ambapo hata baada ya tukio hilo Rais Magufuli hakuwahi kusema chochote juu ya shambulio hilo.

View attachment 2504783
Nilichofurahi ni Tundu Lissu kulieleza kwa wazi hili jambo manake Sukuma gang walikuwa wakijifanya spin-masters eti ni mivutano ya wao kwa wao kugombea madaraka, wale watetezi wa Jiwe hebu mfungulieni Lissu mashtaka kwa kumzushia mungu-mtu wenu.
Legacy legacy legacy legacy................
 
akili ya kisukumagang bwana..!! Kwahiyo Magufuli hakutaka kumuua Tundu Lissu? Ndio maana mauaji ya albinos na Vikongwe hayaishi huko Usukumani!
 
No exhibit,kukosekana kwa hilo hatuwezi kumuhukumu mtu kwa kuhisia...
Victim anajua kilichotokea, polisi hawako tayari kuiaibisha serikali. Haya maneno aliyoyasema Lissu ni eye opener kwa wale waliokuwa wakijifanya kulitetea lile shetani, ndiyo ameshachafuliwa legacy(Mwendakuzimu) sasa wale wanaotaka kuilinda wamfungulie mashtaka Lissu.
 
Back
Top Bottom