Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

Acha kujitoa ufahamu kwa kutetea upumbavu, kiwango cha akili zako ni zero kabisa.
Those stupid killers(wasiojulikana) wanamlinda nani zaidi ya wale wanaowaamrisha na kuwaelekeza watu wa kuwaua, kuwateka, kuwatesa au kuwapora mali. They're nothing but stupid brainless murderers.
 
Tundu lisu na hao chadema ni wajinga tu,muda wote wamekalia magu magu,hakuna jingne la kuongea.
 
Al least someone from CCM has posted a sensible post.
 
Mwezi mchanga huyo [emoji16] hana faida yeyote kwenye nchi yetu
 
Wewe ndio mjinga unayedanganyika kirahisi

Huyo Lisu hajawahi kupinga chochote zaidi ya kuongoza Mapokezi ya Lowasa 2015

Zitto Kabwe ndio alikuwa mkosoaji wa Serikali ya Magufuli
Bora ungekaa kimya kuliko kuzidi kuonyesha ufala wako
 
Si hilo peke yake bali hilo ni moja kati ya circumstantial evidences zinazomuangukia Mwendakuzimu.
-Kuzuia party members kwenda kumuona hospitali.
-Kuzuia watu kumuombea.
-Katazo la uvaaji wa T-shirts za 'Get well soon Lissu'.
-Kutokuwepo walinzi(polisi na G4 security guards) katika eneo linalolindwa 24/7 ---- Hapa obvious wahusika na ratiba za ulinzi wanapaswa kujua nani aliamuru kwa kipindi kile cha shambulio pasiwepo na ulinzi.
-Aliyeweza kung'oa CCTV cameras baada ya lile shambulio si mhalifu wa kawaida bali ni watu wanaojua hakuna mtu wa kuwazuia wala chombo cha kuwashitaki.
-Severs huwa zinahifadhi footages zinazorekodiwa na CCTV cameras je ziko wapi, ni kampuni gani ya ulinzi iliyofunga hizo cameras kwani lazima kwenye ofisi zao hizo footages zipo/zilikuwepo.

Haya yote bila mtu mwenye mamlaka makubwa katika nchi yasingewezekana.
 

CCM ilimteua bwana Cyprian Majura Musiba kuwa mbwatukaji, aliambiwa ajifiche kwa kutumia kilemba cha uanaharakati
 
Hahahahaha ko yeye ndo aliharbu mahakaman kwasababu ndo aluetengeneza Katiba na hata kama angeenda mahakaman yenye haki huo ni ushahidi wakumfunga mtu?
Jamaa anaamin conspiracy theory sana uyo
Japokuwa nimepata shida kuelewa ulichokiandika lakini ni kama unajichanganya.

1. Pamoja na kuwa na katiba yenye mapungufu makubwa Kwanza aliikanyaga katiba hiyo hata yale machache mazuri yeye aliyaharibu.

2. Majaji na mahakama zetu zilitishwa zikatishika na kupokea maelekezo ya kila aina kutoka juu, haki na uhai vikawa chini ya miliki ya Jiwe lile, nani angethubutu kupeleka shitaka lolote dhidi ya serikali yake na SIYO SERIKALI YA JAMHURI YA TANZANIA maana yeye alidai siku zote kuwa ilikuwa ni serikali yake.

3. Je umesahau kesi za Kabendera, na wengine wengi walioaichiwa kwa kulazimishwa kutoa fedha nyingi.
 
Tundu lisu na hao chadema ni wajinga tu,muda wote wamekalia magu magu,hakuna jingne la kuongea.
Yako mengi wanayoongelea na huyo Mwendakuzimu ni one of the topic, hakuna mwenye kinga dhidi ya kuongelewa. Muovu ataongelewa kwa maovu yake na mwema ataongelewa kwa mema yake, this includes Mwendakuzimu.
 
Lisu ameendelea kudai kwamba hayati Magufuli aliagiza msaliti hasitahili kuishi na baada ya muda mfupi Lisu akashambuliwa kwa risasi Dodoma, je kumbe Lisu alikuwa anajijua ni msaliti wa nchi?, maana Magufuli hakutaja jina la mtu alitaja msaliti.
Kwa nini Clouds FM hawakumuuliza dereva wake amemficha wapi?

Kwa nini Clouds hawakumuuliza sababu za Acacia kufutwa Tanzania na hawakushitaki MIGA?

Kwa nini Clouds hawakumuuliza kama alipigwa na Magufuli na sasa hivi ni miaka miwili Magufuli hayupo kwa nini uchunguzi haufanyiki sasa hivi?

Nb: watoto wa Mbowe na Lisu wote ni raia wa Marekani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…