Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

Tundu Lissu adai Hayati Magufuli ndiye aliyeagiza shambulio la kupigwa risasi dhidi yake Dodoma

Duh

Kwani Yeye Tundu Lisu alikuwa anapinga nchi?
Ulikuwepo nchini wakati wa utawala wa dikteta Magufuli?

Yeye ndiye alikuwa nchi. Yeye ndiye alikuwa katiba. Yeye alikuwa bunge, yeye alikuwa mahakama.

Kwa hiyo kumpinga yeye ilikuwa unapinga nchi. Lisu alikuwa anampinga dikteta Magufuli kuzuia exports za concentrates bila ya kufuata sheria.
 
JPM hakusema lolote kwani hakutaka kuingilia mambo ya ndani ya Chadema
Siku zote muuaji husutwa na dhamira yake mwenyewe. Hakuweza kuelewa kabisa ni kwa vipi ameshindwa kukamilisha mauji kama alivyokuwa amepanga.

Akabakia kila wakati kusema anaomba aombewe! Yaanj watu wamwombee yeye muuaji badala ya kywaombea aliokuwa anawatesa!!
 
Kwani ni kweli Lissu alikuwa msaliti katika mapambano ya serikali kuhusu Rasilimali zake na wakoloni?

Maana kweli ninachojua! Nchi yoyote huwa iko kinyume kabisa na wasaliti na huwa wanapelekewa moto kweli!
Muuaji alipelekewa moto toka Mbinguni. Lisu ambaye alitakiwa kufa kwa maelekezo ya dikteta, akashuhudia msiba wa aliyetaka kumwua.

Lisu, daima simama katika haki, tembea katika haki, uishi katika haki. Maana ni kwa kupitia wewe, ukuu wa Mungu uliweza kudhihirika hata mbele ya maibilisi.

Mungu wetu, tunakuomba daima ulilinde Taifa letu na watu wake. Mashetani hata wakija, wasiweke makao katika Taifa hili, bali uwaondoshe kwa kadiri ya hekima yako Bwana. Tunaomba faraja kwaajili ya familia ya Ben Sanane, Aziry, Kanguye na wote walioondoshwa katika Ulimwengu huu kwa agizo la mtawala dhalimu.
 
Ulikuwepo nchini wakati wa utawala wa dikteta Magufuli?

Yeye ndiye alikuwa nchi. Yeye ndiye alikuwa katiba. Yeye alikuwa bunge, yeye alikuwa mahakama.

Kwa hiyo kumpinga yeye ilikuwa unapinga nchi. Lisu alikuwa anampinga dikteta Magufuli kuzuia exports za concentrates bila ya kufuata sheria.
Labda nikukumbushe

Jaji mkuu anateuliwa na Rais wa JMT

Spika wa Bunge anapendekezwa na CC ya CCM ambayo Rais wa JMT ndiye Mwenyekiti wake na vikao vyake hufanyikia Ikulu

CDF anateuliwa na Rais wa JMT

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi anateuliwa na Rais wa JMT

Msajili wa Vyama vya Siasa anateuliwa na Rais

Kwa kifupi Katiba ndio inampa Udikteta Rais

Usidanganywe na chochote kwa Tanzania Rais ndio Nchi yenyewe!
 
Muuaji alipelekewa moto toka Mbinguni. Lisu ambaye alitakiwa kufa kwa maelekezo ya dikteta, akashuhudia msiba wa aliyetaka kumwua.

Lisu, daima simama katika haki, tembea katika haki, uishi katika haki. Maana ni kwa kupitia wewe, ukuu wa Mungu uliweza kudhihirika hata mbele ya maibilisi.

Mungu wetu, tunakuomba daima ulilinde Taifa letu na watu wake. Mashetani hata wakija, wasiweke makao katika Taifa hili, bali uwaondoshe kwa kadiri ya hekima yako Bwana. Tunaomba faraja kwaajili ya familia ya Ben Sanane, Aziry, Kanguye na wote walioondoshwa katika Ulimwengu huu kwa agizo la mtawala dhalimu.
Mungu anawapenda sana wenye dhambi ili waifikilie toba!

Maana hata wewe unaibilisi wako na ndiyo maana unadhambi unazozificha machoni pa watu lakini kwa Mungu huna uwezo wa kuzificha
 
Usiwe unakunywa mbege mchana

Tundu Lisu kajielezea wasifu wake wakati wa awamu ya 5
Endelea kunywa mbege mchana:

Screenshot_20230203-135343.jpg


Itakuwa habari mbaya sana kwa chawa.
 
Kwani Lissu anasemaje kuhusu Magu kumwona kuwa alikuwa anakinzana na maslahi ya nchi, yeye alikuwa anasimamia upande gani?
 
Kwenye mahojiano na kipindi cha Clouds 360 Lissu amesema aliyetoa mari, masaa mawili kabla hajapigwa risasi alisema kulikua na mtu anahutubia na kwenye hotuba yake alikuwa anapokea ripoti ya Bunge ya madini ya Almasi na Tanzanite, moja ya mambo aliyoyasema kwenye hotuba hiyo ni;

"Wale wanaopinga nchi wakati tupo kwenye vita ya kiuchumi nyie wanajeshi mnajua huwa tunafanyaje, hawastahili kuishi."

Ambapo masaa mawili baadae Lissu alishambuliwa Dodoma, akisema bayana kuwa anayemuongelea ni Hayati John Pombe Magufuli, ambapo hata baada ya tukio hilo Rais Magufuli hakuwahi kusema chochote juu ya shambulio hilo.

View attachment 2504783
Mbona kila mtanzania anajua na liko wazi we unashangaa au unauliza swali?
 
Hivi polisi wanangoja nini kuwachukulia hatua waliotekeleza tukio hilo?
Kwahiyo wewe unafkiri wale waliotekeleza tukio hilo ni watu tu wa hovyohovyo au vijana wakuni waliokolea ujinga, bangi na pombe kali vichwani mwao?!

Wewe hata ukiwajua unaweza kuwahukumu?!

Wao ndo wanajua hata usalama wa maisha yako nchini kwa taarifa yako kama hujui... na wanayajua mengi ambayo huyajui na ukiyajua utabaki mdomo wazi kwenye dimbwi la mawazo.
 
Kwahiyo wewe unafkiri wale waliotelekeza tukio hilo ni watu tu wa hovyohovyo au vijana wakuni waliokolea ujinga, bangi na pombe vichwani mwao?! Wewe hata ukiwajua unaweza kuwahukumu?! Wao ndo wanajua hata usalama wa maisha yako nchini kwa taarifa yako kama hujui... na wanayajua mengi ambayo huyajui na ukiyajua utabaki mdomo wazi kwenye dimbwi la mawazo.

Ni watu wa hovyo na wahalifu waliotekeleza kitendo hicho.
Acha kujitoa akili na nakwambia siku zao zinahesabiwa
 
Back
Top Bottom