Uchaguzi 2020 Tundu Lissu afanya mdahalo na Waandishi wa habari atoa ufafanuzi kuhusu masuala mbalimbali. Apangua hoja ya kutumika na mabeberu

Huyu angekuwa kiongozi wa nchi kipindi kile cha corona,tungeisoma namba,anaonyesha hawezi kuwa na maamuzi bila backup kutoka nchi za wazungu.huyu hafai hata kidogo.nasikitika tu ndoto yake haitaweza kutimia.
 
Dunia ni kijiji mkuu nchi zinategemeana ndio maana viongozi wako wengi huenda kutibiwa Apolo India hata Dreamliner haikutengenezwa Chato Geita imetoka kwa mabeberu.
Hivi una habari kuwa mpaka inafika 2018, asilimia zaidi ya sabini ya kalamu za kuandikia huko Canada zilikuwa zinatoka nchini China? Hapo sijazungumzia upande wa Marekani. Lakini je hali hiyo inaiondolea Canada uhuru wake na kujitegemea!? Bahati mbaya sitashangaa ukisema usiilinganishe Canada na Tanzania..!!!!
 
Kama anasema atafanya mahusiano na nchi zingine ili kuleta maendeleo kweni sasa hatuna maendeleo kwenye utawala wa JPM?

Huyu ni muhaini tu na mpenda madaraka kwa sifa, MUNGU hawezi kumfanya kua Rais hata siku moja
 

Una Samsung/Iphone ya mabeberu, Server inayokuwezesha kupost ipo Marekani halafu mdomo mrefuuu unajitegemea.
 
Pumba tupu! Mpaka leo hajui kama nchi nyingi Afrika tulipewa uhuru wa kisiasa na kijamii na sio wa kiuchumi! MWAMBIENI HUYO MGONJWA WENU KUNA VITU VYA BURE LAKINI SIO PESA.HATA UKIKUBALI USHOGA UKAPEWA HIZO PESA JUA TAYARI BIASHARA UMEKWISHA IFANYA NA VITA YA SASA INAYOPIGANA DUNIA NI VITA VYA KIUCHUMI( hakuna pesa za bure).
Halafu eti ni mgombea wa urais!!🀣🀣🀣🀣 TL uraisi ni kiatu cha wakubwa hakuna ataethubutu kukuvisha wewe. JPM NEXT LEVEL.




MAGUFULI4LIFE.
 
Pumba tupu! Mpaka leo hajui kama nchi nyingi Afrika tulipewa uhuru wa kisiasa na kijamii na sio wa kiuchumi! MWAMBIENI HUYO MGONJWA WENU KUNA VITU VYA BURE LAKINI SIO PESA.HATA UKIKUBALI USHOGA UKAPEWA HIZO PESA JUA TAYARI BIASHARA UMEKWISHA IFANYA NA VITA YA SASA INAYOPIGANA DUNIA NI VITA VYA KIUCHUMI( hakuna pesa za bure).
Halafu eti ni mgombea wa urais!!🀣🀣🀣🀣 TL uraisi ni kiatu cha wakubwa hakuna ataethubutu kukuvisha wewe. JPM NEXT LEVEL.




MAGUFULI4LIFE.
 
Huo Uwanja utatumika tu na baba na wanawe waliopachikwa akiwa madarakani tu baada ya kustaafu/kustaafishwa hakuna ndege itatua au kuruka hapo litabaki gofu kama lile la Mobutu. Museveni hata Kenyatta wanaotumia Uwanja huo kuja kumwona baba hawatakuja tena hata kama watakuwa bado wako madarakani maana baba atakuwa mchungaji wa ng'ombe. Miaka 50 ijayo wakati Burigi National Park itakuwa na Wanyama wengi kuifanya kivutio kwa watalii, Uwanja wa kimataifa utakuwa machungio ya mifugo ya wajukuu wa baba Rais mstaafu akiwa mita mbili ardhini. Wajao watajiuliza: "Nchi nzima hakukuwa na wenye akili?"
 
Ungejua Pacemaker ni nini na ya nini na nani anayo usingeandika ujinga unaothibitisha ujinga wako. Pacemaker haitengenezwi Chato!
 
Ubeberu aliukaribisha Lissu ?!. Mmeambiwa tangu Mkapa (RIP) akiwa hai. Nani walioingia mikataba ya kishenzi inayoiumiza nchi ?! Ni Lissu ?.

Wafuasi wa Ccm na watawala mmetiwa upofu wa kutaka kurusha lawama hata kwa mambo yalioanzia ndani mwenu .
 
Jamaa anajenga hoja, lkn kwenye ubeberu hajajibu vizuri
Ninyi mbuzi wa lumumba ndo mnahitaji mabeberu ndo maana mnajua jibu zuri kuhusu mabeberu lakini ingefaa zaidi kama ungewashauri waandishi wa Habari waende Dodoma wakamhoji mwenzenu mpate jibu halisi. Neno beberu lilitumika sana wakati TANU inatafuta Uhuru lakini liliachwa kabisa baada ya kupata Uhuru limekuja kuibuliwa tena upya na nguvu zaidi na Awamu ya Tano kwa sababu hawana jipya. Hata matumizi ya wasanii kwenye mikutano ya kisiasa lumumba wamefufua baada ya TANU kuwapumzisha sasanii wakina Makongoro baada ya Uhuru pamoja na zile nyimbo za kisiasa CCM wamezirudisha maana hawana mapya. Mapinduzi ya Chama cha Mapinduzi ndo hayo tunaendelea nyuma!
 
Ubeberu aliukaribisha Lissu ?!. Mmeambiwa tangu Mkapa (RIP) akiwa hai. Nani walioingia mikataba ya kishenzi inayoiumiza nchi ?! Ni Lissu ?.

Wafuasi wa Ccm na watawala mmetiwa upofu wa kutaka kurusha lawama hata kwa mambo yalioanzia ndani mwenu .
Ningekuwa beberu, baada ya miaka takriban 30 ya utajiri wa kuvuna mali za watanzania, ningefanya kila ninachoweza kuwasaidia walioniruhusu waendelee kuwepo. Nina uzoefu nao, wamenisainia mikataba inayoninufaisha, wametunga sheria kuifanya siri na wameendelea kuulinda mshikamano wetu kila ulipokuwa questioned. Kwa nini nihatarishe huu urafiki, miongo mitatu ya neema na uzoefu niliojijengea jinsi ya kula na kipofu huyu, na badala yake niruhusu aje shetani nisiyemjua? Shetani ambaye ameonyesha historia ya kutokuwa upande wangu?

Hata kama ni propaganda, iwe na mantiki.
 
Niyeye Lissu ni Rais wetu wa awamu ya6
✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽πŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽
 
Tundu Lissu ana akili sana. Natamani niwe namsikiliza saa zoote. Hakika nanufaika sana kumsikiliza huyu Mheshimiwa. Narudia rudia tu kusikiliza hata maongezi yake ya kipindi cha nyuma, sichoki.
 

Interest of the party not you personally. Rest of what you wrote, you miss me with that, it's an insult on both our intelligence. Sheria zinapita kwa hati ya dharura kitu ambacho sijawahi kuona kabla ya awamu hii, kwa kuungwa mkono na asilimia 100 ya chama (Kati ya mamia ya wabunge hakuna hata 1 anayewaza tofauti ) halafu ndani ya mwaka inabadilishwa pengine kwa presha ya wahisani. Kama sio failure ya chama kufanya kazi yake, acquiescing to the whims of one one man, ina maana hawa wabunge hawakuona hayo mapungufu hadi mhisani akawaonyesha? Hiding behind empty rhetoric of due process is played out, Nyerere alishtakiwa kwa uchochezi, Mandela alifungwa, huku due process ikifuatwa. Hata hivyo, taratibu zisipofuatwa kwenye procurement za serikali haya mahaba ya kufuata taratibu yanaendaga wapi?
I know you are smarter than you present, it's only fair you accord your readers' intelligence the same level of respect.
 
Aisee . . . . ngoja nipite kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…