Ndugu nafasi ya uraisi inataka kiongozi mwenye vision ya kuwatoa watu sehemu moja kwenda nyingine.
Sasa kutokana na limited resources za Tanzania mtu anaetoa ahadi ya kufanya kila kitu he is not serious na wala hajui serikali inavyoendeshwa.
Hivi wewe kwa akili zako timamu unaweza badili mfumo kutoka unitary system to federal over night? Think that in terms of the planning required to recruit, training, having different experts on matters of economy, taxation, health (technocrats wa kila jimbo) kuna hao viongozi wenye vision za kuongoza hayo majimbo, were will there first budgets za kila jimbo come from?
In short ata ingepigwa kura ya maoni watu wakachagua serikali ya majimbo planning and implementation inaweza chukua miaka mitano. Yeye anakwambia akishinda tu kutakuwa na serikali ya majimbo wewe kweli unaona huyo mtu anafahamu utekelezaji wa mambo anayoongea au anaropoka tu.
Shabiki yeyote wa Lissu udhani kama anaelewa how the world revolve ni kushabikia ujinga tu.