Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Na hajawahi kushindwaMungu wetu ni Mwema sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hajawahi kushindwaMungu wetu ni Mwema sana
Tuombe Mungu sana ili jambo letu litimie ifikapo 28.10.2020 la tokomeza ccmMajinga sana.Hivi kumuita mtu msaliti ni kwamba mlikuwa mna mawazo yanayoelekeana au the same missions to accomplish.Sasa lini Lissu aliwahi kuwa pamoja na vibaka wa CCM?Unamuitaje mtu kuwa amekusaliti wakati hamjawahi kufanana kimsimamo,kichama,kimuono hata maisha tu?The bunch of "green flies" is a catastrophe to the nation itself![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Angalia kwanza jina analotumia.NAWATAFUNA.Ina maana anameza vitu au vitu huingia ndio anavitafuna na kuvimeza.Maana yangu:Kuna kinachoingia na kinachoingiziwa/kiingizwa!Ndiyo umuelewe ni kiingiziwa anatafuna/anameza.🤣🤣🤣🤣🤣Wewe umewacha lini?
AminaAna haki ya kumshukuru Mungu kwa kweli.
Wapo waliotaka afe lakini Mungu akabatilisha makusudi ya waovu waliyoyafanya kwa Siri.
Kwa kushindwa kumuua Tundu Lisu ni kiashiria kuwa baadhi ya watu ni failure by nature, hawana nguvu ya Mungu ndani yao.
Nimekusoma kiongozi, hatusumbui tena maana tushajua shughuli zake tayariAngalia kwanza jina analotumia.NAWATAFUNA.Ina maana anameza vitu au vitu huingia ndio anavitafuna na kuvimeza.Maana yangu:Kuna kinachoingia na kinachoingiziwa/kiingizwa!Ndiyo umuelewe ni kiingiziwa anatafuna/anameza.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Najiuliza , walio ratibu na wale waliobeba bunduki na kumpiga lissu wanajisikiaje muda huu..
Maana nijuavyo roho ya binadamu huongea sana pale inapo jutia kukosea.
Kupanga kumwua binadamu mwenzio sio kitu kidogo..
Labda kama hao nao walisha uawa..View attachment 1533003
Asante kwa ujumbe murua, haki ita tendeka tu wananchi wanajua ukweli sasa na akina nani wanahusika.View attachment 1532875View attachment 1532878
Mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeo (Chadema), Tundu Antiphas Lissu, leo Jumatatu, Agosti 10, 2020 amefanya Misa ya Shukrani kwenye kanisa la Mtakatifu Rita wa Kashia lililopo Ikungi, jimboni kwake Singida Mashariki.
Kwenye Misa hiyo iliyoongozwa na Paroko Laurent Bahale, Mheshimiwa Lissu amewashukuru Watanzania kwa kumuombea alipokuwa mgonjwa mpaka sasa alipopona kabisa.
“Nichukue fursa hii kuwashukuru Watanzania wote kwa dini zao kwa kuniombea wakati nilipokuwa mahututi, nilipopata nafuu mpaka nilipopona kabisa"
“Mungu wetu ni wa ajabu. Amesikia sala zenu na leo nipo nanyi mzima wa afya tayari kutekeleza kazi iliyosalia. Niliumizwa sana ndugu zangu. Wiki mbili za mwanzo baada ya kushambuliwa nilipata maumivu makali ambayo sikuwahi kuhadithiwa. Mwili ulikuwa unawaka moto. Naahidi sitampitisha mtu yeyote kwenye maumivu yale niliyoyapata hata kama atakuwa amenikosea kwa kiwango gani” alisema Mheshimiwa Lissu
Kwenye Misa hiyo, mheshimiwa Lissu aliongozana na mgombea mwenza, Mheshimiwa Salum Mwalim ambao juzi Jumamosi, Agosti 8 walichukua fomu ya kugombea Urais kupitia Chadema.
Imetolewa leo Jumatatu, Agosti 10, 2020
View attachment 1532999View attachment 1532998
Muazime dela lako lile unalochomekaga kwenye chupi🤣🤣🤣🤣hivi hana nguo nyingine za kuvaa.
anavaa madela nayeye???Muazime dela lako lile unalochomekaga kwenye chupi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona akili zako nyembamba kama tishu ya chooni?Haujui hata kuchambua mambo?Ok.Muazime na gagulo lako.🤣🤣🤣🤣🤣anavaa madela nayeye???
anavaa magagulo siku hizi[emoji38][emoji38]Mbona akili zako nyembamba kama tishu ya chooni?Haujui hata kuchambua mambo?Ok.Muazime na gagulo lako.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
August 10 2020Ni kauli ya Tundu Lissu leo 10.08.2020 baada ya kushiriki Misa ya shukrani, Kanisani Ikungi, Singida.
Hakika inauzunisha na inatia moyo na nguvu mpya ya kupambania haki zetuAugust 10 2020
Ikungi, Singida
Tanzania
IBADA YA SHUKURANI IKUNGI SINGIDA
Source : CHADEMA MEDIA TV
Wacha ubaguzi wewe lumumba, kwa cdm kwetu kila mtu anahaki ya kushiriki anapo ona panamfaaHuyo mgombea mwenza si ni muislam jamani