Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ahusisha kauli ya Rais Magufuli na kupigwa kwake risasi

Mawakala wa shetani mnajaribu kwa njia zote kuhalalisha ushetani wenu.
Damu ya binadamu ikimwagika, no matter ni mkosaji au si mkosaji,lazima aliyeimwaga atapata malipo hapahapa duniani kabla ya moto wa jehanamu (kama akifa hajatubu).
Absolutely true
 

Wewe pepo la mizimu ya kqenyu ulikuwa unatataka madhaifu ya huko nyuma yasipatiwe mwarobaini? Ulitaka nani afanyè hiyo kazi ya kurekibisha makosa ya huko nyuma. Ambacho huwezi kukamusha hata hivyo ni kwamba Lissu katamka hadharani yeye na genge lake walikuwa wasaliti wa Watanzania kwa tamaa zao binafsi. Kwamba hata huko nyuma kutoka kwao bungeni kujidai wanapinga mikataba mibovu tuliyoingizwa nia yao ilikuwa si kupinga kwa maslahi mapana ya wananchi wote bali, bali,bali ni janja tu ya kutafuta nao wawe sehemu ya majadiliano ya hiyo mikataba.
 
Hamna kitu hatari kama "A wounded animal" Kama unabisha kampige Mbogo risasi moja tu ya sikio halafu usubirie mziki wake
Mliyataka wenyewe sasa pambaneni na hali yenu

Lisu ni aina nyingine kabisa ya Mtanzania, hana kona wala unafki
Hakika kaka. uko sawa. mungu hulipa hapa hapa duniani
 
Mkuu, ukiacha hii nimeona comments zako huko juu pia, nahisi una tatizo la comprehension. Maana unapojibu hoja, mtu anaweza akahisi umemquote kimakosa.

Jifunze kusoma ili uelewe usisome ili ujibu.

Rudi kaangalie ulipoitoa hii nilimqoute member flani. JF ni kokokolo kiongozi wote hapa si mangwini. Kama umenielewa yatosha.
 
Umenikumbusha wale wasiojulikana ambao hawatakiwi wajulikane
 
Tundu lisu alifanyiwa unyama unyanyasaji wa kutisha anayo haki ya kulalamika mda wote na watetezi wa CCM hampaswi kumpangia jinsi ya kupeleka ujumbe kwa watanzania
Ujumbe umechelewa, ujumbe sahihi ni kuwapata wale wasijulikana
 
Tunapokuwa katika Vita Kama hivi yaani vya makinikia halafu Kuna mtu anakuwa kinyume huyo Ni adui na adui katika Vita huwa.......
 
Dah
Dah huyu jamaa ni muongo kinyama asee.... Wala magu hajaongea hvyo alivyosema ... Magu hakusema neno they do not deserve to survive....
Nimesikiliza hotuba ya magu ya dakika 47:52 hakuna maneno ambayo lisu anayasema magu aliyaongea
Magu alisema inauma kuwa na wasaliti ila akasema tuwaelimishe kwamba tuko katika vita ya kiuchumi....
Huyu jamaa its true katumwa na hataaibika vibaya sana
Kama mnakumbuka hotuba yake ya dodoma alisema in 5yrs magu kakopa trillioni 40 na usheee and this is a big uwongo pia...
Chadema kumpitisha huyu jamaa mmebugi sana
Boya anadharau kinyama eti maprofesa wa nini nini sijui dah huyu astaili hii nchi kabisaaaa
 
Kwahiyo lisu amekiri kuwa yeye Ni msaliti Ila anauliza taratibu za kumuhukumu msaliti Kama ilivyo eleza wewe mleta mada
 
Rubbish,wewe na Lissu nembwa
 
Hebu tumia akili kudogo tu, ukiwa na mkataba mkononi tayari unatayarishaje mwingine ktk jambo lile Vila kuvunja Wa kwanza? Jijibu mwenyewe, huyu jiwe in mpumbavu anaependa sifa, anataka kupanda ghorofa kwa kuanzia floor ya juu kabisa! At the end nothing. achieved, hakuna, angekua serious angeanza na walio saini mikataba mibovu halafu akatumia weledi kujadiliaba na wachimbaji, sababu hats wao wanajus wanatuibia, ili kuweka mazingira mazuri wange-respond +vely
 
Alichosema Lissu ndiyo ukweli wenyewe kwa asilimia 100.

Na ametoa assignment kwa yeyote anayembishia, aitazame hiyo YouTube ya tarehe 7/09/2017
 
Mlishindwa
Msaliti haitaji kuishi kabisa kwan yeye mwenyewe kuifanya hiyo kaxi ni sawa na muuwaji kabisa. Km kweli yeye ni msaliti kam alivyojiisi hata mm niko tayari kujifunga bomu nife naye ila nchi yangu iwe salama
Mlishindwa Nini kumkamata Kama ji msaliti?
Kwa hiyo serikali siku hizi inatumia magenge ya wahalifu kutoa adhabu?
Huoni Kama Ni hivyo huoni kuwa huo pia Ni uvunjaji wa sheria?
 
Kwahiyo lisu amekiri kuwa yeye Ni msaliti Ila anauliza taratibu za kumuhukumu msaliti Kama ilivyo eleza wewe mleta mada
Kwa tafasiri yako,Mimi nahusisha kauli iliyotolewa na Mtu fulani kuwa msaliti lazima auwawe.je adhabu ya msaliti inatolewa na Mtu sio Mahakama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…