Tundu Lissu aingia Ngorongoro na kupokelewa kwa kishindo

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , Makamu mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amewasili Ngorongoro ambako anatarajiwa kuwasha moto wa Ukombozi na kukata minyororo ya Utumwa waliyofungwa Wamasai.

Your browser is not able to display this video.

Nakala : Maulid Kitenge

Angalizo : Usiondoke JF kuna mambo mazito mno yanakuja .
 
Eti nimemsikia wanasema wanaenda kuzungumza na Rais wao 😂😂😂😂

Nimecheka maana wamenikumbusha Rais wa mioyo yenu Lowasa 🤣🤣🤣🤣

You are everywhere and you know everything.
U gallivant day and night.
Support CCM here defend them there.
Throw insults at people for no reason....
You no get work or are you this JOBLESS?
 
Moderator pandisha video hizi, Haya ni mapokezi ya mpigania uhuru aisee.

Ee Mwenyezi Mungu mbariki, mlinde, na umnyanyue Tundu Lissu kiinuo kikubwa na umlinde dhidi ya hila zote mbaya dhidi yake.

Eee Mwenyezi Mungu tuondolee duluma na ubabaishaji katika nchi yetu
Aaaamin

Your browser is not able to display this video.
 
Ubarikiwe sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…