Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo hatujashtakiwa mkuu?Kinachonirudishaga nyuma kwa Tundu Lisu ni kitendo chake cha kuungana na Acacia na kusema tutashitakiwa MIGA
Kitenge wachana naye huyo kashakula mafao yake tayari.Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , Makamu mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu amewasili Ngorongoro ambako anatarajiwa kuwasha moto wa Ukombozi na kukata minyororo ya Utumwa waliyofungwa Wamasai .
View attachment 2743175
Nakala : Maulid Kitenge
Angalizo : Usiondoke JF kuna mambo mazito mno yanakuja .
Rais wa mioyo yenu alikuwa JiweEti nimemsikia wanasema wanaenda kuzungumza na Rais wao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka maana wamenikumbusha Rais wa mioyo yenu Lowasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Rais wa Moyo wangu ni SamiaRais wa mioyo yenu alikuwa Jiwe
Wewe akili zako ni za kifukara sana .Kinachonirudishaga nyuma kwa Tundu Lisu ni kitendo chake cha kuungana na Acacia na kusema tutashitakiwa MIGA
Asee Leo corridor zitakuwa bussy sana.
Kwani machawa wanachakusema hapo?Mkuu jitahidi kujikita kwenye mada
Swahili Villa Online TV I Washington D.CNiko hapa Swahili Villa Online TV nimejiunga na Dr.Nhigula kwa uchambuzi.
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , Makamu mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu amewasili Ngorongoro ambako anatarajiwa kuwasha moto wa Ukombozi na kukata minyororo ya Utumwa waliyofungwa Wamasai .
View attachment 2743175
Nakala : Maulid Kitenge
Angalizo : Usiondoke JF kuna mambo mazito mno yanakuja .
Kalaghabao.....acha sindano ziwaingie😁😁😁😁Acha kupotosha. Hapo sio Ngorongoro. Hizo picha ni za Monduli. Unapata faida gani kudanganya umma?
Nyie ndiyo mnajiita CHAWA!!!Rais wa Moyo wangu ni Samia
Ololosokwan hiyo jombaa kavae Kanga ...KITENGE hakikutoshi....Acha kupotosha. Hapo sio Ngorongoro. Hizo picha ni za Monduli. Unapata faida gani kudanganya umma?
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , Makamu mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu amewasili Ngorongoro ambako anatarajiwa kuwasha moto wa Ukombozi na kukata minyororo ya Utumwa waliyofungwa Wamasai .
View attachment 2743175
Nakala : Maulid Kitenge
Angalizo : Usiondoke JF kuna mambo mazito mno yanakuja .
Mimi siitwi Chawa,wewe Rais wa Moyo wako ni nani?Nyie ndiyo mnajiita CHAWA!!!