jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Kinachonirudishaga nyuma kwa Tundu Lisu ni kitendo chake cha kuungana na Acacia na kusema tutashitakiwa MIGA
Mbona tumejiona Prof Mruma akiliabisha taifa kupitia kesi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachonirudishaga nyuma kwa Tundu Lisu ni kitendo chake cha kuungana na Acacia na kusema tutashitakiwa MIGA
Eti kapokelewa wakati inaonekana kabisa wanataka kumchapa na fimbo. Hakuna wakumzidi Dkt SamiaKuwa wa kwanza kufahamu kwamba , Makamu mwenyekiti wa Chadema , Tundu Lissu amewasili Ngorongoro ambako anatarajiwa kuwasha moto wa Ukombozi na kukata minyororo ya Utumwa waliyofungwa Wamasai .
View attachment 2743175
Nakala : Maulid Kitenge
Angalizo : Usiondoke JF kuna mambo mazito mno yanakuja .
You are everywhere and you know everything.
U gallivant day and night.
Support CCM here defend them there.
Throw insults at people for no reason....
You no get work or are you this JOBLESS?
Huwa anapenda tu kuandika neno MIGA humkumbusha "migambo" wenzie.Kwahiyo hatujashtakiwa mkuu?
Unajitoa ufahamu au akili?
Acha kupotosha. Hapo sio Ngorongoro. Hizo picha ni za Monduli. Unapata faida gani kudanganya umma?
Karibu sanaWe jamaa uwasilishaji wako huwa na uelewa sana eti morani wamepagawa[emoji28][emoji28]
Hata ukiona gwaride la askari wakionesha singe upande wako utaanza kujiliza na kudhani watakuchoma machoni.Eti kapokelewa wakati inaonekana kabisa wanataka kumchapa na fimbo. Hakuna wakumzidi Dkt Samia
Lissu ameacha historia Nchi hii ya Kutetea wanachi kokote anakoenda ni MshindiModerator pandisha video hizi, Haya ni mapokezi ya mpigania uhuru aisee.
Ee Mwenyezi Mungu mbariki, mlinde, na umnyanyue Tundu Lissu kiinuo kikubwa na umlinde dhidi ya hila zote mbaya dhidi yake.
Eee Mwenyezi Mungu tuondolee duluma na ubabaishaji katika nchi yetu
Aaaamin
View attachment 2743163
Usipende kuropoka kaa kimya mtoto weweHata ukiona gwaride la askari wakionesha singe upande wako utaanza kujiliza na kudhani watakuchoma machoni.
Muda mwingine mnajitakiaga kudharauliwa sasa wewe na hiki ni kingereza au kilugha cha kwenu ?You are everywhere and you know everything.
U gallivant day and night.
Support CCM here defend them there.
Throw insults at people for no reason....
You no get work or are you this JOBLESS?
Kila aandikaye kwa uono wako unamchukulia mtoto chawa wewe?Usipende kuropoka kaa kimya mtoto wewe
Asanteni sana OLOLOSOKWANHuyu mwamba hizi online tv yake itakufa kifo kama cha media za Musiba tuu..
Anapost upumbavu mpaka mwenyewe huko aliko anaona haya...
Alichopost[emoji116]
View attachment 2743162
Uhalisia[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2743191
View attachment 2743192
View attachment 2743184
View attachment 2743185
View attachment 2743186
Lissu is a victorModerator pandisha video hizi, Haya ni mapokezi ya mpigania uhuru aisee.
Ee Mwenyezi Mungu mbariki, mlinde, na umnyanyue Tundu Lissu kiinuo kikubwa na umlinde dhidi ya hila zote mbaya dhidi yake.
Eee Mwenyezi Mungu tuondolee duluma na ubabaishaji katika nchi yetu
Aaaamin
View attachment 2743163
Ila kuuza bandari ni sawa?Kinachonirudishaga nyuma kwa Tundu Lisu ni kitendo chake cha kuungana na Acacia na kusema tutashitakiwa MIGA
Waache waendelee kukaza Fuvu......Chadema ni mpango wa mungu
Kumbe mnafuatilia[emoji16]Acha kupotosha. Hapo sio Ngorongoro. Hizo picha ni za Monduli. Unapata faida gani kudanganya umma?
Mzee wa MIGA umerudi??Kinachonirudishaga nyuma kwa Tundu Lisu ni kitendo chake cha kuungana na Acacia na kusema tutashitakiwa MIGA