Nilidhani unakuja na tafiti kumbe bado ni hisia basi. Population ya Wamasai Kumbuka inaongezeka kitu ambacho ni hatari kwa hifadhi. Kuhamishwa pale na kupewa nyumba,hati ya Ardhi ni jambo jema sana kwa ngudu zetu hao
 
Nilidhani unakuja na tafiti kumbe bado ni hisia basi. Population ya Wamasai Kumbuka inaongezeka kitu ambacho ni hatari kwa hifadhi. Kuhamishwa pale na kupewa nyumba,hati ya Ardhi ni jambo jema sana kwa ngudu zetu hao
Nimekuliza swali rahisi hujibu..
Population inaongezeka NCA peke yake? Encroachment ya makazi ipo NCA pekee? Au mbuga zote ? Ukinijibu nitaendelea.. uache kupambania vitu vilivyo nje ya uwezo wako.
 
Kwahiyo na yale matusi ulifanya sarcism kamanda? Utafiti tayari umefanyika ndiyo maana Serikali ikafanya uamuzi wa hivyo. Population ya Masai Tz na Kenya ni tofauti,alafu Kenya wanaweza kua na njia tofauti nasio lazma tufanye kama wao.
Aisee nahisi Lowasa alikuwa Sahihi tunahitaji ELIMU SANA...
cha kwanza sijakutukana Cha kabisa...
Cha pili kama uliweza kuleta Evidence inaonyesha hiyo Tafiti,I will be gratifull sana Maana me nakupa Facts Tu...

Kusema kwamba Population ya Masai ilin kenya na Tanzania ni Tofauti nakubaliana na wewe kabisa ila kwa mlengo upi.? Sikiliza ...

Kenya kuna eneo Dogo sana wanalokaa wamasai Tofauti ma Tanzania ambao eneo ni kubwa cha ajabu ni kwamba Pamoja ya kuwa na eneo Dogo Masai wa kenya Wako Half a milion yaani zaidi ya laki tano huku Tanzania ikiwa na wamasai kwa Takwimu waliotaja Juzi walisema zaid ya Laki mbili ikiwa ni Pungufu kwa kenya kwa Watu laki Tatu....

Ramani Ifuatayo inaonyesha Mgawanyiko wa Eneo la wamasai kwa Tanzania na Kenya

Kama utaangalia Ramanin utagundua Sehemu kubwa ya eneo La wamasai lipo Tanzania Japo kuna idadi ndogo sana ya Masai na Kenya kuna eneo dogo ila kuna idadi kubwa sana ya masai...

Sasa ikiwa kenya eneo ni hilo Na wanaishi wamasai zaidi ya laki tano (500,000s) huku tanzania. Eneo likiwa ni kubwa na walikuwa wanaishi wamasai only 200,000..
Unafikiri Rais wa Kenya Hakuona kuna haja ya enviromental RESERVATION ...

I THINK KAMA KUNA MTU ALIYUROGA BASI NAONA SASA NI ULE MUDA AFANYE ZINGUO MAANA TUNATESEKA SANA MAANA HATA UKWELI KWETU HATUUONI....NI KAMA TUMEFUMBWA MACHO

Some sources
 
Nimekuliza swali rahisi hujibu..
Population inaongezeka NCA peke yake? Encroachment ya makazi ipo NCA pekee? Au mbuga zote ? Ukinijibu nitaendelea.. uache kupambania vitu vilivyo nje ya uwezo wako.
Mkuu huyo hana facts katumwa kutetea bila wao kumuweka darasani kwanza
 

UCHAMBUZI YA YANAYOENDELEA MKOANI ARUSHA LOLIONDO, NGORONGORO NA ARUSHA

Mfumo wa kiubaguzi wa serikali ya CCM hauna tofauti na mfumo wa kibaguzi uliokuwepo nchini Afrika Kusini kabla ya kubomolewa mwaka 1994 .

Vitendo vya serikali ya kikaburu ya CCM kuwaandama wapinzani kwa kuwakamata, kuwasweka rumande, kufunga ofisi za vyama vya upinzani, kuzuia vyombo vya habari kufanya kazi kwa uhuru, kuzuia mikutano mbinu hizi hazitofautiana na vyombo vya dola vya enzi ya kikaburu ya wachache Afrika ya Kusini kutumia vyombo vya dola kukandamiza wengine.

Afrika ya Kusini, Ubaguzi wa kimfumo ulianza enzi ya ukoloni: mwishoni mwa karne ya 19 na mwanzoni mwa karne ya 20, serikali ya kikoloni ya Uingereza iliweka upya vikundi vya rangi kwa kisingizio cha kukabiliana na milipuko ya magonjwa katika vitongoji vilivyojaa watu. Eneo ambalo sasa linajulikana kama Soweto lilikaliwa na watu weusi na watu wengine wasio weupe ambao walihamishwa baada ya kuzuka kwa tauni ya bubonic katikati mwa Johannesburg. Utengano wa mapema ulirasimishwa na kuimarishwa na sheria za kikoloni kama vile Sheria ya Ardhi ya Wenyeji ya 1913, ambayo ilihifadhi karibu asilimia 90 ya ardhi nchini Afrika Kusini kwa ajili ya watu weupe walio wachache. Katika miongo iliyofuata, ambapo Afrika Kusini ikawa jamhuri huru, msururu wa sheria za kupitisha na kufurika zilizuia haki za watu wasio wazungu. Wakati wa Enzi ya Ubaguzi wa rangi, kuanzia 1948 hadi 1994, chama tawala cha Nationalist Party, kilichotawaliwa na Waafrika wazungu, kilipitisha sheria za upotoshaji, utengano wa kisheria wa kitaasisi, kurasimisha kategoria za rangi na vizuizi vya harakati, na kupachika ubaguzi wa rangi katika mazingira. Majiji yaliwekwa “kwa ajili ya wazungu pekee,” na miji midogo ikawa, kwa kweli, utaratibu wa kuwaweka wafanyakazi wasio wazungu. Sera kama hizo ziliharakisha ukuaji wa vitongoji tofauti nchini kote kwa viwango vyote - kutoka miji kama Cape Town na Johannesburg hadi vijiji vidogo zaidi. Soma zaidi source : South Africa after Apartheid: From Township to Town

Serikali ya CCM nayo imekopi kwa miaka mingi sera, mifumo na siasa za kibaguzi za kikoloni.

Kitendo na maamuzi ya vyombo vya dola kwa maagizo ya serikali ya CCM Tanzania kufanya maeneo fulani ya nchi kuwa yatengwe (no go zone), kuhamisha watu kwa nguvu, kufunga huduma za kijamii kama afya, elimu pia kuhamisha ofisi za serikali kutoka Loliondo ns Ngorongoro na kuzihamisha sehemu nyingine ili watu wateseke na kulazimika kuhama au kuishi kwa mateso wakibaki.

Na pia maeneo hayo ambayo serikali imeamua kutenda ubaguzi na kuyatenga kuzuia watu wengine kuingia kuongea nao au kufanya mikutano ni aina ya ubaguzi wa kikaburu wa iliyokuwa Afrika ya Kusini ilivyotawaliwa na wachache kwa kutumia nguvu kubwa ya dola vibaya.

Yanayotokea sasa na kuendelea Ngorongoro na maeneo mengine ya Tanzania yaliyo karibu au kupakana na mbuga au hifadhi kama Tarime, Serengeti, Geita, aKagera migodini n.k ni kiashiria kuwa CCM sasa ipo katika mikono ya wachache wabaguzi walafi wa Mali na maliasili na tutegemee pia suala la bandari kupewa wageni kama DP World litatekelezwa kwa nguvu zote kama inavyoendelea katika Ngorongoro Loliondo.

Hivyo watanzania ni wakati wa kuamka na kutambua kuwa ukiona wenzio wananyolewa basi kama hatutachukua hatua za kupinga na kupiga kelele basi tutie maji nywele zetu kusubiri kupunyuliwa kwa nguvu na sera hizi mbovu za CCM popote pale tulipo Tanganyika na Zanzibar.
 
Huyu maza ni gaidi haswa ila lilikuwa ni suala la muda tu kuonyesha sura yake halisi, amejificha kwenye dini
 
Umesema kweli haswa
 
Asante
Ila jifunze kuandika MAJINA ya watu kwa herufi husika.
 
Jeiwii hii ya Mkunda?? Au nyingine
 
Kawaite tec wasome waraka wakuipangia serekali tuna mabaraza mawili tu tec na binge ndiowanaisimamia serekali au unaongeza latatu nachadema?
Ndio umeandika nini mama mkwe?
 
Jamani Yanga wanaenda lini Rwanda waniombee namba ya mtutsi mmoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…