Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nichekKuna Mzee Jana alikua anasaga kunguni kwenye kipindi cha The Big Ajenda StarTv nenda kakiangalie kipindi cha Jana YouTube utaelewa Jambo
Unafikiri Lissu ni mroho kama wewe ambae ukiletewa kitoweo tu unakila?Amalizwe juu kwa juu huyo
Fanya kazi uishi vizuri mbona bongo kama ulaya tuu.Natoka mwenyewe, baba hupigania familia yake ili waishi vizuri
Nyerere Angekuwa na mawazo kama yako tungepata uhuru?Hiyo ndiyo faida yake, anashindwa kuachana na siasa akaishi na familia yake,
Nilidhani unakuja na tafiti kumbe bado ni hisia basi. Population ya Wamasai Kumbuka inaongezeka kitu ambacho ni hatari kwa hifadhi. Kuhamishwa pale na kupewa nyumba,hati ya Ardhi ni jambo jema sana kwa ngudu zetu haoYes. na kama hatufanyi kama Americans solution sio kuwahamisha wamasai kwa excuse ya uhufadhi.
Wamasai kwa namna ya pekee wana Co exist na ecology ya NCA, hakuna endangered spp ambae anawindwa kwa namna yeyote na wamasai, tena wao ndio wenye interests na indigenous knowledge ya conservation ya hizo endangered big mammals.
Kuwaondoa Wamasai haisaidii kabisa ku preserve NCA.. ni hisia za wahifadhi uchwara kuliko sayansi.
Nimekuliza swali rahisi hujibu..Nilidhani unakuja na tafiti kumbe bado ni hisia basi. Population ya Wamasai Kumbuka inaongezeka kitu ambacho ni hatari kwa hifadhi. Kuhamishwa pale na kupewa nyumba,hati ya Ardhi ni jambo jema sana kwa ngudu zetu hao
Aisee nahisi Lowasa alikuwa Sahihi tunahitaji ELIMU SANA...Kwahiyo na yale matusi ulifanya sarcism kamanda? Utafiti tayari umefanyika ndiyo maana Serikali ikafanya uamuzi wa hivyo. Population ya Masai Tz na Kenya ni tofauti,alafu Kenya wanaweza kua na njia tofauti nasio lazma tufanye kama wao.
Mkuu huyo hana facts katumwa kutetea bila wao kumuweka darasani kwanzaNimekuliza swali rahisi hujibu..
Population inaongezeka NCA peke yake? Encroachment ya makazi ipo NCA pekee? Au mbuga zote ? Ukinijibu nitaendelea.. uache kupambania vitu vilivyo nje ya uwezo wako.
Jeshi la Polisi wilaya ya Karatu wameamuru kufungwa kwa ofisi ya Chadema wilaya ya Karatu na kuwakamata watu wengine wakiwemo viongozi wa Chadema wa wilaya hiyo.
1. Joseph Mtui
2. John Malle
3. Fabiola Niima
4. Daniel Mnyampanda
5. Eliya Kibola, Katibu wa Chadema wilaya ya Karatu
6. Valerian Qurama
7. Samwel Welwel, Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Karatu
Una akili ndogo au tuseme fupi usiyejua nini maana ya kesho. Hopeless!!Nilitaka kushangaa wanamuachaje
Huyu maza ni gaidi haswa ila lilikuwa ni suala la muda tu kuonyesha sura yake halisi, amejificha kwenye diniKuna tetesi kuwa Tundu Lissu amekamatwa na Polisi asubuhi hii akiwa hotelini huko Karatu.
Taarifa zaidi kukujia hapahapa jukwaani.
UPDATE:
Waliokamatwa Karatu hadi sasa ni
- Makamu Mwenyekiti CHADEMA Tundu Lissu
- Walinzi wote wa Tundu Lissu
- Katibu wa BAWACHA Catherine Ruge
- Mzee Hashim, Mwenyekiti Wa Baraza La Wazee CHADEMA Taifa
- Suzan Kiwanga na
- Mwandishi wa Jambo TV (Oscar).
Polisi wanaendelea kuwatafuta wengine walio ambatana na Tundu Lissu Wilayani Karatu
View attachment 2744826
====
Leo Septemba 10, 2023 Majira ya saa nne asubuhi Jeshi la Polisi wilaya ya Karatu lilifika Hotel ya Ngorongoro iliyopo Karatu na kuizingira, Polisi hao wakiwa na mitutu ya bunduki pamoja na mabomu. Jeshi hilo liliwaeleza wahudumu wa hotel hiyo kuwa wanataka kujua chumba alicholala Makamu Mwenyekiti wa Chama Bara Mhe. Tundu Lissu wakaelezwa na kwenda kwenye chumba hicho.
Baada ya purukushani ya Jeshi la Polisi na walinzi wa Mhe. Lissu, Jeshi hilo lilingia kwa nguvu katika chumba alichofikia Mhe. Lissu na kuondoka nae bila kueleza wanaenda nae wapi.
Baadae wengine waliokamatwa na Jeshi hilo ni Mhe. Susan Kiwanga, Mjumbe wa Kamati Kuu, Mhe. Catherine Ruge Katibu Bawacha Taifa, Mhe. Twaha Mwaipaya, walinzi wa Mhe. Lissu pamoja na watu wengine.
Tunaendelea kufuatilia kinachoendelea Karatu.
View attachment 2744848
Samwel Welwel
===
Jeshi la Polisi wilaya ya Karatu wameamuru kufungwa kwa ofisi ya Chadema wilaya ya Karatu na kuwakamata watu wengine wakiwemo viongozi wa Chadema wa wilaya hiyo.
1. Joseph Mtui
2. John Malle
3. Fabiola Niima
4. Daniel Mnyampanda
5. Eliya Kibola, Katibu wa Chadema wilaya ya Karatu
6. Valerian Qurama
7. Samwel Welwel, Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Karatu
Umesema kweli haswaKwenye nchi za watu weusi inataka moyo wa chuma kutetea raia wake ambao kimsingi hata hawaelewi haki zao na faida ya mwanaharakati kama tundu lissu, freeman Aikaeli, John pambalu, twaha mwaipaya na wengine wengi.. Itafika wakati mapinduzi yafanywe na wachache tu tukitegemea watanzania waandamane kudai haki hapo hatutaweza
Kifuatacho ni Chama kuandaa mbinu kabambe za kukabiliana na ccm pasipo nguvu ya umma maana umma wenyewe hawana meno ndio maana serikali inajitafunia nchi inavyotaka.. Tundu lissu inabidi ajuwe kuwa hao anaowatetea ndohaohao wakishapewa ardhi ya ngorongoro watamshukuru Samia Kwa kuwaacha waendelee kuishi ndani ya hifadhi kuliko lissu aliepambana kuwatetea
AsanteKwenye nchi za watu weusi inataka moyo wa chuma kutetea raia wake ambao kimsingi hata hawaelewi haki zao na faida ya mwanaharakati kama tundu lissu, freeman Aikaeli, John pambalu, twaha mwaipaya na wengine wengi.. Itafika wakati mapinduzi yafanywe na wachache tu tukitegemea watanzania waandamane kudai haki hapo hatutaweza
Kifuatacho ni Chama kuandaa mbinu kabambe za kukabiliana na ccm pasipo nguvu ya umma maana umma wenyewe hawana meno ndio maana serikali inajitafunia nchi inavyotaka.. Tundu lissu inabidi ajuwe kuwa hao anaowatetea ndohaohao wakishapewa ardhi ya ngorongoro watamshukuru Samia Kwa kuwaacha waendelee kuishi ndani ya hifadhi kuliko lissu aliepambana kuwatetea
Uko sahihi.Hii nchi bila kukiwasha hakutotokea mageuzi .
Jeiwii hii ya Mkunda?? Au nyingineJeiwii mbona mnatazama tu huu uonevu kwa raia wema wa nchi hii,wanaotetea wenzao dhidi ya ukandamizwaji wanaofanyiwa. Tena hawavunji Sheria za nchi ila polisi ndio wanaokiuka katiba na Sheria. Tunawaomba JWTZ mtusaidie raia wa nchi hii. Tumechoka kunyanyaswa ndani ya nchi yetu. Maadui sio lazima watoke nje ya mipaka ya nchi yetu! Tumegundua maadui wabaya zaidi wapo ndani ya mipaka. Kweli Bora wakoloni wazungu warudi kututawala kuliko kutawaliwa na hawa viongozi wanaotunyanyasa na kuharibu nchi kiasi hiki. Ee Mwenyezi Mungu tusaidie.
Ndio umeandika nini mama mkwe?Kawaite tec wasome waraka wakuipangia serekali tuna mabaraza mawili tu tec na binge ndiowanaisimamia serekali au unaongeza latatu nachadema?