Wakamatwe na washughulikiwe kisawasawa wasituharibie amani yetu washinzi hawa wengine hawakawii kukimbilia ubalozi kikiwaka na kusindikizwa hadi airport kwenda ughaibuni. Siwapendi watu kama hawa.
 
Katika hali ambayo sasa ni dhahiri kwamba ni kuvuka Mstari Mwekundu , Jeshi la Polisi limeamuru kufungwa kwa ofisi za Chadema Karatu .

Pamoja na hilo Polisi wameendelea kukamata watu hovyo kwa maelekezo ya ccm .

Bali tunachotaka kukumbusha ni kwamba Kazi ya Polisi ni ajira ya muda mfupi tu , na tunaweza kuthibitisha yaliyowakuta Polisi wakubwa sana kuliko huyo RPC wa Arusha .

Omari Mahita aliyekuwa IGP katili zaidi kuliko yeyote Tangu kuundwa kwa Jeshi la Polisi Tanzania , baada ya kustaafu tu ALIKAMATWA NA KUBURUZWA MAHAKAMANI KWA KESI YA AIBU YA KUBAKA HOUSE GIRL WAKE MWENYEWE NA KISHA KUMJAZA MIMBA NA KUKIMBIA MATUNZO YA MTOTO .

Kutokana na Aibu hii Mahita leo hawezi kusimama popote na akaheshimiwa , hata Ule Msikiti alioujenga Morogoro Mjini , Waislam wameukataa , umebaki kuwa mazalia ya popo na mijusi .

Ushahidi umo humu humu JF , kwahiyo kumbe upolisi wako hautakusaidia chochote huko mbele , ni vema kazi ya polisi ikafanywa kwa weledi kwa vile askari hana kinga yoyote ile , hata kama anatumwa na ccm kama alivyotumwa Mahita .


 
Duh

Kikosi cha Kisasi

Njama

Kikomo

Hujuma

Hivi Vitabu viliandikwa na mzee Musiba na sterling alikuwa Willy Gamba 😂😂🔥
 
Wanaofanya siasa ndio hawa wanaopora uchaguzi kila siku? Vyama karibia vyote vina sera mbadala wa hizo za CCM, tatizo wakati wa uchaguzi wanaoamua nani atangazwe mshindi ni hao hao Makada wa CCM. Kwa kukusaidia tu, CCM haiko madarakani hadi leo kwa ubora wa sera, bali ni kwa sababu za kihistoria na katiba ya mfumo wa chama kimoja inayokibeba.
 
Kimantiki ninakubaliana na wewe.
Ila nadhani tutapishana kwenye hiyo nguvu ya umma unayoitegemea wewe.
Hakuna nchi yoyote ambako watu wote ndani ya nchi hiyo waliamka na kukataa yaliyokuwa yakifanywa na watawala wa nchi hiyo.

Kinachofanyika, ni kundi kubwa la watu wanaojizatiti na kuwa na moyo wa kufanya wanayonuia kuyafanya; hawa wengine wanafuata nyuma.

Ndiyo maana kila mara tunawasihi CHADEMA wawe na watu walio na msimamo dhahiri katika kusimamia wanayotaka kuyafanya, kuleta mabadiliko ndani ya nchi hii. CHADEMA hawawezi kusubiri umma wa waTanzania wote wawaunge mkono ndipo wafanye mageuzi hayo

Kwa hiyo, wanachotakiwa kukipa kipaumbele CHADEMA ni kuwa na mkakati maalum wa kujenga kundi hili lenye uaminifu kufuata na kutimiza adhma ya kuyaleta mabadiliko haya.

Tunasema hapa kila mara, pamoja na umuhimu wake, hizi juhudi za majukwaani na nyomi nyingi, lakini bila ya kuwa na mikakati nyuma yake ni kupoteza nguvu nyingi sana huku wakijua CCM wao kazi yao ni rahisi tu, kutumia DPLA kuwatia jambajamba hao wanaojaza nyomi zao.

Huko ndani ya CHADEMA, hasa Makao makuu, ni lazima wajipange vizuri na kuweka program za chama zinazokazia njia za kuzuia uhalifu unaofanywa na CCM kila mahali, na hasa kwenye kura nyakati za chaguzi.
 
Mnatamba hamuogopi , mkiguswa kidogo mnataka dunia ielewe- kumbe mnaogopa
 
Watoto wa 2000 kuja huku juu ambao hawakuiona filamu ya Serafina ya kwa Zulu natali watizame karatu/Ngorongoro hakuna kilicho tofauti.
Freedom is coming tomorrow!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…