Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika amesema wamewafuatilia Viongozi wao Waliokamatwa kwenye Vituo mbalimbali vya Polisi Bila Mafanikio

Mnyika ameliomba Jeshi la Polisi liufahamishe Umma walipo Viongozi hao

Ahsanteni
Kuna gari lisilojulikana limepinduka karibu na kundi la fisi karibu ya ngorongoro. Tatizo la fisi hawaachi hata mfupa.

Dah isijekuwa lussu kawa chakula cha fisi?
 
Serikali ipo sahihi kabisa katika Hilo suala la kuwahamisha maasai hapo ngorongoro ila chadema wanataka kutumia suala Hilo kisiasa baada ya kufeli katika ishu ya DP World na bandari
Yaani wewe kibwengo maji unaongea nini? DP World ashinde nani huyo Bibi yenu? Ngedere hawana lolote lile
 
Mwambulukusi, mdudu, slaa na askofu wao anaevaa gauni Ia pinki, mbona wapo kimya mpaka saa hizi?
 
Jeshi lindeni Mali za nchi kama wakati Magufuri.
 
Mkuu nimecopy ntakuwa naisema kila mahali
 
Tundu lisu huyu wa sasa ukimpa nchi kuongoza atamfunga tundulisu huyu.
 
Tundu lisu huyu wa sasa ukimpa nchi kuongoza atamfunga tundulisu huyu.
 
Kwa sababu huyu Tundu Lissu ni naturally kind. Hana hasira kama nyati. Halafu lengo la kumkamata limekwishatimia. Alikuwa anataka kwenda Ngorongoro kuwalaghai wale Wamasai illiterate. Lakini polisi wamemzuia.

Nitaandika zaidi,lakini sasa nataka kwenda kwenye sala ya Ishaa. No,labda niandike zaidi. Huyu Tundu Lissu afya yake siyo nzuri.

Ukimweka detention inabidi utafute muuguzi. Halafu,Tundu Lissu akipata matatizo sasa hivi mahabusu reaction ya Watanzania inaweza kuwa unpredictable.

Uzuri wa Polisi wa Tanzania ni kwamba they are very professional katika utendaji kazi. Hawawezi kukaa na mtu huko halafu wakamdhalilisha.
 
Mwanakulitafuta mwanakuligeti.
 
Wanawapaisha tu.
Chadema hairudi nyuma tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…