Tundu Lissu akamatwa na Polisi akiwa Ngorongoro hotel Wilayani Karatu
Naamini kuwa , na ninajua kuwa kabla sijafikisha miaka 50 tutakuwa tushaongozwa na jeshi ., kwangu itakuwa furaha na hakika nitaingia kwenye system kama kiongozi mkubwa .

Nimeandika leo tarehe 10/09/2023 naomba nikumbushwe siku ikifika .

Weekend hii nipo nakunywa supu baada ya purukushani za usiku , sasa wewe nichukulie serious nikung'oe meno

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Umeamdika ukiwa na umri miaka mingapi
 
Polisi ni "kifaa" tu kinachotumiwa na mtu anayekitumia.

Kuna umuhimu wa kulitambua hili. Matumaini yangu ni kwamba CHADEMA wanaelewa vizuri maana ya hili, ili waweke mikakati ya kupambana na mtu anayekitumia kifaa hiki isivyostahili.
Polisi walikuwa wanafanya mchezo wa kuzubaisha watu wasahau ya bandarini, wakadhani wakikaa na wakina Lissu ndio akili zetu zitahamia kule, hii move ya kumkamata Lissu kwangu niliiona maigizo matupu toka mwanzo, Mbowe kuwaambia aachiwe bila masharti chap wakafanya hivyo.

Polisi wetu wamegeuka kuwa kama kundi la waigizaji tu.
 
Mkuu Ndo maana Nimekusisitiza sana kusoma "Journal" mbalimbali za Kitaifa na za Kimataifa Sanasana jikite kwenye Journal za Reseaerch pamoja na Statistics Kadhaa utagundua kinachosemwa kwenye siasa hakina UHALISIA zaidi ya kuwapa moyo wananchi ila kwakuwa kaka yako nipo ni jukumu langu kufanya facts check mbalimbali kwako ili nikujengee uwezo wa kupambanua vitu...


FACTS CHECKS....
Nakubaliana na Wewe kabisa kwamba Tanzania Ni Nchi yenye Ng'ombe zaidi Katika East Africa na inakadiriwa kufikia mpaka Milion 33 na pia kwa makadirio kama 24.5 mbuzi na kondoo kama 8milion ikifuatiwa na kenya ambayo yenyewe inakadiriwa kufikia 27miliion ya Ng'ombe....

Sources ya data kutoka (statistics Africa pamoja na nbs) pia unaweza kusoma jarida la LIVESTOCK SECTOR TRANSFORMATION PLAN (LSTP) 2022/23 - 2026/27....lililotolewa na MINISTRY OF LIVESTOCK AND FISHERIES

Sasa mimi Sikuzungumzia Mifugo yote Tanzania Mainland Mkuu naona umenichangany Nilizungumzia mifugo iliyoko Ngorongoro ambayo ni only 1.5% ya mifugo yote iliyopo Tanzania bara ambayo kwa hesabu ya haraka ni kama laki tano hivi...

Differ from Tanzania (ambapo tuna makabila Zaidi ya 120 na makabila ya wafugaji Yanafika makabila zaidi ya 50) na only makabila machache sana sio wafugaji...
kenya wana makabila machache zaidi ya wafugaji na la kwanza likiwa ni kabila la wamasai...
mbali na kuwa wafugaji naendelea kusisitiza kuwa kwa mujibu wa sensa ya kenya bado wamasai wamekuwa ni kabila linalokuwa zaid huko kwao na bado hawahamishwi kwenye Hizo mbuga...
nakupa kidogo statistics ya makabila kwao....

(Wamasai 23 % ,Waluhya 14%,Wajaluo 13%,Wakikuyu 12%,Wakalenjin 12%,Wakamba 11%,Wasomali 8%,Wakisii 6%,Wameru (Meru) 6%,Waturkana 10% e.t.c)
sasa nafikiri kwa hoja hiyo nimeweka wazi na nimeionyesha....


Yeah sina maana kwamba tuanze kufikiria kama wanafikiria wakenya au tufanye kama wanavyofanya wakenya ila nna maana ifuatayo kama Hilo swala lilikuwa lina Faida sana kufanya hivyo nafikiri kenya wangeanza kulifanya kwani wao wana Idadi kubwa ya Wamasai kuliko hata idadi tulionayo sisi....

kenya hawana mbuga zenye hadhi ya ngorongoro...
Hivi wewe ndo unasema au mtoto kachezea simu kaandika ulichoandika

Natamani Nikwambie Urudi darasani lakini Hapana wewe ni Mtu mzima mwenzangu Pale unapokosea tunarekebishana tu....

ngoja nikupe report ndogo ya Hifadhi za Taifa za Africa zenye Ubora wa kuwa mbuga bora na maeneo makubwa zaidi ....

kwa Africa inayoshika namba moja mpaka sasa Bado ni serengeti inaukubwa wa eneo la Kilometa za mraba 14,750 ikifuatiwa na Hifadhi ya kruger ya afrika kusini yenye ukubwa wa mraba kilometa 19,485 ikifuatiwa na chobe ya botswana ambayo ina ukubwa wa km za mraba 11700 halafu inafuatiwa na Masai Mara ya kenya Yenye kilomita za mraba 1510 cha ajabu mpaka utafika namba kumi bado hakuna tena Mbuga au hifadhi yoyote ya Africa mashariki.....

Na tunapozungumzia Ubora wa Mbuga au hifadhi hatuzungumzii Ukubwa wa eneo tunazungumzia idadi ya wanyama,Aina ya wanyama sanasana upatikanaji wa Big5,Wonders na baadhi ya Family Au upatikanaji wa species za wanyama mbalimbali....

na ndo maana utaona hapo Yenye ukubwa zaidi ni kruger ila haikuwHi kushika namba moja Africa...

Sasa Kwa Ubora wa Mbuga Ngorongoro haifiki hata kidogo kwa Masai mara ya Kenya....

ambapo sasa Ngorongoro eneo walilopo wanyama ni eneo dogo Tu ambalo ni eneo la crater au Eden ila eneo zima la Ngorongoro ukijumlisha Ngorongoro Crater ukiniuliza kwa ukubwa ni 8292 kilometa za mraba...

Nafikiri umenieleza And thats Why haiitwi Natinal Park inaitwa Ngorongoro Conservation Area...


Mkuu samahani kidogo.kwa hili swali inabidi nikufanyie "sarcastic" kidgo Una miaka Mingapi?????

maana Kama ni mtu mzima ulichoandika kinaenda kinyume na umri wako kama ni Mtoto jitahidi upitie historia za wakubwa waliokutangulia utajifunza mengi...

Mkuu kwanza unajua Maana Ya Ngorongoro Kutoitwa National Park na ikaitwa Conservation Area "ok then nafurahi kukupa Elimu hiyo"

NGOJA NIKUCHAPE SHULE....

Kwanza Ngorongoro Conservation Area ilikuwa established Mwaka 1959 ikiwa ni Jitihada za serikali Kutambua mchango wa Watu wenye Asili ya kutoka mwambao wa mto nile ( Au unaweza waita nilotic people) au kwa sasa wanafahamika kama Wamasai.....

Story Iko hivi Maa-speaking people au maasai walikuwa wakitoka kutoka huko Mwambao wa mto nile wakipits sudani,Ethiopia na nchi zingine kuja Afrika ya Mashariki ili kutafuta Makazi na malisho ya Mifugo yao Mnamo miaka ya 1800s Kwa bahati nzuri walifika sehemu za huko Kaskazini mwa Tanzania ndo wakavumbua Ngorongoro....
japo walipigana ili kuwaondoa watu wa kabila la mbulu ambao wao walikuwa wakulima katika eneo hilo...Wamasai wamekuwa wahifadhi wa eneo hilo Tangi miaka hiyo kwa miaka takribani 250 sasa.....

Sasa Masai wamekuwa ni kivutio katika Ngorongoro na kama kitambulisho cha Mbuga hiyo kwa miaka zaidi ya 200 halafu unakuja unauliza kabisa kwamba Eti
wakiondolewa kuna hasara gani...Wazungu hawaji kuwaona Simba ngorongoro au swala wangetaka wangeenda serengeti au manyara...Wanaenda kuona pia utamaduni wa kimasai ambal pia ni kivutio cha utalii...

Sasa Nataka UJUE kingine hiki kwamba Ngorongoro Haiko chini Ya TANAPA iko chini ya NCA Ngorongoro Conservation Area...
ngoja nikupe key za eneo kuchukua sifa hizo... Yaani kuwa na conservative property ...

kwanza huwa ni Multiple land Uses,Human settlements,Cultiral and historical significant, Geological Features na Management approach

So nakuomba please kama hujaelewa ruksa kuuliza ili usije kuongea vitu usivyovijua tena
Ndugu mbona unaandika mipasho tu.Hakuna ambaye asomi machapisho ya kitaalam.Mfano umeulizwa kua hapo Kenya wanapo kaa wamasai hadhi ya Ngorongoro?
Lakini pia ukaulizwa kua ni madhala gani nchi itapata kwa kuwaondoa wamasai ambao ni hatari za hifadhi hiyo?
Kuna jambo inabidi ulijue ,hata ujenzi wa JNHPP wanamazingira mlipinga na CHADEMA hivyo hivyo lakini mkashindwa kujua tunahitaji umeme pia. To get merits you shouldn't be scare of demerits.
 
Nimemshangaa kiongozi wangu MH.Lissu kua amefanya hivyo ili wazungu waone....Hii ni hatari sana,kwamba tunafanya mambo kuwafuraisha wazungu.
 
Ndugu mbona unaandika mipasho tu.Hakuna ambaye asomi machapisho ya kitaalam.Mfano umeulizwa kua hapo Kenya wanapo kaa wamasai hadhi ya Ngorongoro?
Lakini pia ukaulizwa kua ni madhala gani nchi itapata kwa kuwaondoa wamasai ambao ni hatari za hifadhi hiyo?
Kuna jambo inabidi ulijue ,hata ujenzi wa JNHPP wanamazingira mlipinga na CHADEMA hivyo hivyo lakini mkashindwa kujua tunahitaji umeme pia. To get merits you shouldn't be scare of demerits.
Maelezo yote nimeyajibu huenda hujasoma vizuri na Kizuri zaidi nimefurahi kuona hata aliyekuwa Waziri wa Maliasi na utalii kwa muda mrefu zaidi bwana mdogo Hon.kigwangala na yeye hatetei uovu huu kwa sababu anaujua Chanzo chake na chokochoko zake ameeleza vizuri kabisa sakati zima kuanzia linavyoanza mpaka sasa...

Ila nyinyi machawa sasa ndo mnatetea ila jibu kashawapa...
Anasema swala la Ngorongoro Na LOLIONDO ni mambo Magumu sana na Yanahitaji Akili kubwa...

Screenshot_20230911-092718_1.jpg



Baadae akatoa ufafanuzi kwanini kasema lisu hatakuweza swala hili na akasema kuwa swala hili sio la kichama ni La kitaifa kipindi akjibu mtu aliyeuliza kwani Tundu lisuu kafanya kosa Kufanya Mkutano huko

Screenshot_20230911-093253_1.jpg


Na Akaendelea kujibu hoja mbali mbali za wananchi... Hasa kupinga kutetea uonevu unaofnywa kusema neno Sijatetea uonevu means TAYARI KUNA UONEVU UPO NA ANAUFAHAMU ....WANASHERIA NADHANI MNANIELEWA

Screenshot_20230911-093109_1.jpg



Mwisho alisema Kuna waziri na Mbunge wa Ngorongoro enzi hizo Nasha Alitaka kujiuzuru Nafasi yake ya Uwaziri na ubunge endapo uonevu utaendele Ngorongoro


Cha mwisho akawazungumzia "AKINA NYINYI" MNAOENDA NA NOTE YA Wakubw wenu kuongelea jambo ambalo hamna ujuzi nalo
Screenshot_20230911-093014_1.jpg


Kigwangala peke yake anakutosha YANINI LISUU
 
Maelezo yote nimeyajibu huenda hujasoma vizuri na Kizuri zaidi nimefurahi kuona hata aliyekuwa Waziri wa Maliasi na utalii kwa muda mrefu zaidi bwana mdogo Hon.kigwangala na yeye hatetei uovu huu kwa sababu anaujua Chanzo chake na chokochoko zake ameeleza vizuri kabisa sakati zima kuanzia linavyoanza mpaka sasa...

Ila nyinyi machawa sasa ndo mnatetea ila jibu kashawapa...
Anasema swala la Ngorongoro Na LOLIONDO ni mambo Magumu sana na Yanahitaji Akili kubwa...

View attachment 2745642


Baadae akatoa ufafanuzi kwanini kasema lisu hatakuweza swala hili na akasema kuwa swala hili sio la kichama ni La kitaifa kipindi akjibu mtu aliyeuliza kwani Tundu lisuu kafanya kosa Kufanya Mkutano huko

View attachment 2745645

Na Akaendelea kujibu hoja mbali mbali za wananchi... Hasa kupinga kutetea uonevu unaofnywa kusema neno Sijatetea uonevu means TAYARI KUNA UONEVU UPO NA ANAUFAHAMU ....WANASHERIA NADHANI MNANIELEWA

View attachment 2745646


Mwisho alisema Kuna waziri na Mbunge wa Ngorongoro enzi hizo Nasha Alitaka kujiuzuru Nafasi yake ya Uwaziri na ubunge endapo uonevu utaendele Ngorongoro


Cha mwisho akawazungumzia "AKINA NYINYI" MNAOENDA NA NOTE YA Wakubw wenu kuongelea jambo ambalo hamna ujuzi nalo
View attachment 2745649

Kigwangala peke yake anakutosha YANINI LISUU
Sasa ndugu sijui kama unakijua Kiswahili vizuri kwakweli.Ebu rudia kusoma post za Kigwañgala alafu usome ninacho kuandikia then usome wewe unayo yaandika. Tunakata kuilinda hifadhi yetu dhidi ya human encroachment .Wamasai tayari wameisha wekewa utaratibu wa makazi mapya na ardhi....Pia wamasai ambao wanaipenda Tanzania Malaigwan wote wameisha kubari kwenda Handeni
 
Sasa ndugu sijui kama unakijua Kiswahili vizuri kwakweli.Ebu rudia kusoma post za Kigwañgala alafu usome ninacho kuandikia then usome wewe unayo yaandika. Tunakata kuilinda hifadhi yetu dhidi ya human encroachment .Wamasai tayari wameisha wekewa utaratibu wa makazi mapya na ardhi....Pia wamasai ambao wanaipenda Tanzania Malaigwan wote wameisha kubari kwenda Handeni
Hawajakubali wanalazimika kufanya hivyo Jaribu kupitia Hansard za mbunge wa Ngorongoro Marehemu Nasha utagundua kwamba wamekuw wakikatiwa huduma za msingi ili wahame ilo liko wazi
 
Hamna Serikali yoyote ambayo inaweza kuruhusu kundi au mtu flani asitii sheria za nchi.Ata tungekua sisi CHADEMA ndiyo tupo Ikulu tusingeweza kuruhusu mambo ya hivyo ya hivyo.
Kwani wewe upo CHADEMA!!?
Kwani CHADEMA siku hizi imekuwa na mashoga!!?
 
Hawajakubali wanalazimika kufanya hivyo Jaribu kupitia Hansard za mbunge wa Ngorongoro Marehemu Nasha utagundua kwamba wamekuw wakikatiwa huduma za msingi ili wahame il
Mbona wapo wengine tayari Handeni na wanaishi vizuri tu.Wanashule,umeme,maji,hospitality,miliki ya Ardhi na nyumba za kisiasa.Vipi hapo Ngongoro wamekaa miaka yote,wamewaikupa hizo huduma.Sema labda wanataka wabembelezwe basi...sioni haja ya hao wachache kuendelea kungangania hapo.
Lakini pia kuna hofu ya Wamasai eti kuacha utamaduni na asili yao kama kwenda shule,kuoana na makabila tofauti au kuzika.Maana wamasai awaziki maiti so sababu za mila zisifanye zoezi ili lisiendelee
 
Kwani wewe upo CHADEMA!!?
Kwani CHADEMA siku hizi imekuwa na mashoga!!?
Waulize kama wanamashoga,ingawa mimi najua hamna kitu cha hivyo.
SEMA JF kwasasa limekua kokolo kwakweli....mtu kama wewe ukustahili kuaishi nasi watu wenye kujenga hoja na wenye heshima zetu.
 
Mbona wapo wengine tayari Handeni na wanaishi vizuri tu.Wanashule,umeme,maji,hospitality,miliki ya Ardhi na nyumba za kisiasa.Vipi hapo Ngongoro wamekaa miaka yote,wamewaikupa hizo huduma.Sema labda wanataka wabembelezwe basi...sioni haja ya hao wachache kuendelea kungangania hapo.
Lakini pia kuna hofu ya Wamasai eti kuacha utamaduni na asili yao kama kwenda shule,kuoana na makabila tofauti au kuzika.Maana wamasai awaziki maiti so sababu za mila zisifanye zoezi ili lisiendelee
Nahisi nahitaj nahitaji kurest case kama huu ndo mtizamo wako
 
Nahisi nahitaj nahitaji kurest case kama huu ndo mtizamo wako
Sometimes you need to the ground,dig deep etc wamasai waliobaki wanasema wanachomewa maboma lakini awasemi kwanini wanakataa kwenda Handeni. KARIBU
 
Back
Top Bottom