Sometimes you need to the ground,dig deep etc wamasai waliobaki wanasema wanachomewa maboma lakini awasemi kwanini wanakataa kwenda Handeni. KARIBU
Vipi mgao ushapkea maana naskia juzi mlilipwa eti...Cha chinichin 🤣🤣🤣
 
Pumbavu zenu, dunia gani ijue ujinga wenu? Mnachochea vurugu Tu, mmeishiwa Sera, polisi msiwaachie kabisa hao vichaa
 
Ukiona dalili hizo, tambua kwamba hata wao (polisi) wapo tayari kabisa kutumika kama kifaa na mtu mwingine kuliko huyu anayekitumia kifaa hicho visivyo kwa sasa.

Kwa maana nyingine, ni kwamba hawana namna ya kujizuia wasitumike kama kifaa na huyo anayekimiriki kwa sasa, ila wanachoweza kufanya ni kubutusha tu makali yao, ili mradi waigize kuonyesha kwamba wanatumika kwa huyo anayewatumia.
 
Waulize kama wanamashoga,ingawa mimi najua hamna kitu cha hivyo.
SEMA JF kwasasa limekua kokolo kwakweli....mtu kama wewe ukustahili kuaishi nasi watu wenye kujenga hoja na wenye heshima zetu.
Tobaaa!!
Kuandika huwezi sembuse kujenga hoja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…