Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo na yale matusi ulifanya sarcism kamanda? Utafiti tayari umefanyika ndiyo maana Serikali ikafanya uamuzi wa hivyo. Population ya Masai Tz na Kenya ni tofauti,alafu Kenya wanaweza kua na njia tofauti nasio lazma tufanye kama wao.Nakubaliana na wewe kwamba Masai waliokuwepo Zamani na sasa ni tofauti na wameongezeka pia ila nimeuliza swali kuwa hiyo athari ya kimazingira inaikumba tu Twamzania na sio nchi zingine while Kenya Wamasai wao wakizidi kuwepo sehemu hizo na wakiongezeka same amount as it is Sometimes tufanye reseach sio tusubiri kuambiwa tuseme nini na waliopo juu yetu...
NB: maneno niliyokosea kuyaandika Sijakosea nimefanya Sarcasm makusudi ili maana halisi ya neno niwe nalo lisitumike against me (Law's mogul)
Mimi ni CHADEMA asili nasio nyie mliokuja kwa mafuriko basi. Falsafa yetu ni hoja nk sio vihojaUko CHADEMA kimakosa,ingia CHAMATA(CHAMA CHA MACHAWA).
Mpumbavu ni yule asie na hekima na staha katika mijadala. Hii tabia inatufanya CHADEMA kuonekanaWewe ni mpumbavu! Kama hujui historia ya ngorongoro toka enzi za mwinyi baba basi huna moral authority ya kusema lolote. Tambua kwamba kila rais akija mzanzibari anataka kuwapa waarabu ngorongoro kwanini?
Dah! Haya mambo huwa yananichanganya kabisa!Kuna tetesi kuwa Tundu Lissu amekamatwa na Polisi asubuhi hii akiwa hotelini huko Karatu.
Taarifa zaidi kukujia hapahapa jukwaani.
UPDATE:
Waliokamatwa Karatu hadi sasa ni
- Makamu Mwenyekiti CHADEMA Tundu Lissu
- Walinzi wote wa Tundu Lissu
- Katibu wa BAWACHA Catherine Ruge
- Mzee Hashim, Mwenyekiti Wa Baraza La Wazee CHADEMA Taifa
- Suzan Kiwanga na
- Mwandishi wa Jambo TV (Oscar).
Polisi wanaendelea kuwatafuta wengine walio ambatana na Tundu Lissu Wilayani Karatu
View attachment 2744826
====
Leo Septemba 10, 2023 Majira ya saa nne asubuhi Jeshi la Polisi wilaya ya Karatu lilifika Hotel ya Ngorongoro iliyopo Karatu na kuizingira, Polisi hao wakiwa na mitutu ya bunduki pamoja na mabomu. Jeshi hilo liliwaeleza wahudumu wa hotel hiyo kuwa wanataka kujua chumba alicholala Makamu Mwenyekiti wa Chama Bara Mhe. Tundu Lissu wakaelezwa na kwenda kwenye chumba hicho.
Baada ya purukushani ya Jeshi la Polisi na walinzi wa Mhe. Lissu, Jeshi hilo lilingia kwa nguvu katika chumba alichofikia Mhe. Lissu na kuondoka nae bila kueleza wanaenda nae wapi.
Baadae wengine waliokamatwa na Jeshi hilo ni Mhe. Susan Kiwanga, Mjumbe wa Kamati Kuu, Mhe. Catherine Ruge Katibu Bawacha Taifa, Mhe. Twaha Mwaipaya, walinzi wa Mhe. Lissu pamoja na watu wengine.
Tunaendelea kufuatilia kinachoendelea Karatu.
View attachment 2744848
Samwel Welwel
Sasa kama kweli, police wanatupanda kichwani, sababu za kukamatwa ni zipi, kama vipi kiwake nchi nzima
Jeshi letu hakika halina hekima ya kazi. Hivi inakuwaje unamkamata mtu ambaye anajitafutia riziki?? Hivi sisi CCM hatuwezi kupita huko kuondoa sumu??? Hivi tangu lini polisi watumike kisiasa???? Hakika Dkt Samia anayokazi kwa utendaji huu wa polisi. Na inawezekana polisi wanamhujumu Mama kwa makusudi kabisa kuharibu rekodi yake nzuri ya haki za binaadamu. Lisu mwenyewe huyo ikitokea kafa kwa sababu ya magonjwq si atakujilikana kauawa. Yaani leo polisi wametukera sana sisi wana CCM. Na kibaya zaidi Dkt Samia alishatoa onyo kuwa siasa za wazi ruksa na uhuru wa kujieleza usibinywe.Kuna tetesi kuwa Tundu Lissu amekamatwa na Polisi asubuhi hii akiwa hotelini huko Karatu.
Taarifa zaidi kukujia hapahapa jukwaani.
UPDATE:
Waliokamatwa Karatu hadi sasa ni
- Makamu Mwenyekiti CHADEMA Tundu Lissu
- Walinzi wote wa Tundu Lissu
- Katibu wa BAWACHA Catherine Ruge
- Mzee Hashim, Mwenyekiti Wa Baraza La Wazee CHADEMA Taifa
- Suzan Kiwanga na
- Mwandishi wa Jambo TV (Oscar).
Polisi wanaendelea kuwatafuta wengine walio ambatana na Tundu Lissu Wilayani Karatu
View attachment 2744826
====
Leo Septemba 10, 2023 Majira ya saa nne asubuhi Jeshi la Polisi wilaya ya Karatu lilifika Hotel ya Ngorongoro iliyopo Karatu na kuizingira, Polisi hao wakiwa na mitutu ya bunduki pamoja na mabomu. Jeshi hilo liliwaeleza wahudumu wa hotel hiyo kuwa wanataka kujua chumba alicholala Makamu Mwenyekiti wa Chama Bara Mhe. Tundu Lissu wakaelezwa na kwenda kwenye chumba hicho.
Baada ya purukushani ya Jeshi la Polisi na walinzi wa Mhe. Lissu, Jeshi hilo lilingia kwa nguvu katika chumba alichofikia Mhe. Lissu na kuondoka nae bila kueleza wanaenda nae wapi.
Baadae wengine waliokamatwa na Jeshi hilo ni Mhe. Susan Kiwanga, Mjumbe wa Kamati Kuu, Mhe. Catherine Ruge Katibu Bawacha Taifa, Mhe. Twaha Mwaipaya, walinzi wa Mhe. Lissu pamoja na watu wengine.
Tunaendelea kufuatilia kinachoendelea Karatu.
View attachment 2744848
Samwel Welwel
Nimekusikia Muhifadhi uchwara.Kamanda ata kuandika ujui kabisa!!
Hapa tunaongelea facts...Wamasai waliokuwepo miaka hiyo yote idadi yao na sasa ni tofauti sana. Hivi katika akili zenu sijui mnasomea nini? Ujui kua ongezeko la watu ni hatari kwa hifadhi? Hapo Ngongoro kuna Mmasai anaemiliki ardhi au nyumba ya kisasa?
Serikali ingewaondoa bila kua na alternative ilo lingeeleweka...kila familia inayo hamishwa inapewa nyuma na hati ya ardhi.....you can even figure this out?
Kumbe Hadi wamasai wa huko wapumbavu??Kwenye nchi za watu weusi inataka moyo wa chuma kutetea raia wake ambao kimsingi hata hawaelewi haki zao na faida ya mwanaharakati kama tundu lissu, freeman Aikaeli, John pambalu, twaha mwaipaya na wengine wengi.. Itafika wakati mapinduzi yafanywe na wachache tu tukitegemea watanzania waandamane kudai haki hapo hatutaweza
Kifuatacho ni Chama kuandaa mbinu kabambe za kukabiliana na ccm pasipo nguvu ya umma maana umma wenyewe hawana meno ndio maana serikali inajitafunia nchi inavyotaka.. Tundu lissu inabidi ajuwe kuwa hao anaowatetea ndohaohao wakishapewa ardhi ya ngorongoro watamshukuru Samia Kwa kuwaacha waendelee kuishi ndani ya hifadhi kuliko lissu aliepambana kuwatetea
Natoka mwenyewe, baba hupigania familia yake ili waishi vizuriUngeanza kutoka na family yako ukiwashe sisi tuko nyuma yako.
Sisi watu wa chini tunamuelewa lissu zaidi kuliko ccm. Hata mtulazimishe vipi ccm hapana.
Alikamatwa Mbowe nchi haikuwaka. Sembuse huyu muathirika wa traumatic brain injury (TBI)?Sasa kama kweli, police wanatupanda kichwani, sababu za kukamatwa ni zipi, kama vipi kiwake nchi nzima