Tundu Lissu akamatwa na Polisi akiwa Ngorongoro hotel Wilayani Karatu
Magufuli alipomtandika Risasi huyo Chiba watu mlipiga kelele sana kuwa alimuonea,mnaona sasa shida yake? Magufuli alikuwa sahihi
 
CCM Kwa upande mwingine hii ni kama blessings in disguise Kwa kuwa inazima au kupoza mjadala wa bandari huku mambo mengine YAKIENDELEA...
 
Very right. Wanapo hisi kuwa haiba Yao mbere ya jamii imeporomoka viongozi wa kiafrika asilimi kubwa wana tabia na huruka zinazo fanana.
1693156709361.jpg
 
Nimekuliza swali rahisi hujibu..
Population inaongezeka NCA peke yake? Encroachment ya makazi ipo NCA pekee? Au mbuga zote ? Ukinijibu nitaendelea.. uache kupambania vitu vilivyo nje ya uwezo wako.
Swali lako umeishajibua vizuri tu. Population inaongezeka pote ila sasa sio at the same rate. Ata mijini inaongezeka ndiyo maana huduma zinaongezwa kama bara bara ,maji nk NCA population kuongezeka ni hatari sana kuliko DSM nk. Ndiyo maana watu hao wanapewa sehemu nyingine ili kuweka kulinda hifadhi yetu. Mwisho,nani mwenye mamlaka ya kupanga matumizi ya Ardhi nchini? Tukiacha encroachment inauofanywa na wamasai sio faida kwa Taifa
 
Aisee nahisi Lowasa alikuwa Sahihi tunahitaji ELIMU SANA...
cha kwanza sijakutukana Cha kabisa...
Cha pili kama uliweza kuleta Evidence inaonyesha hiyo Tafiti,I will be gratifull sana Maana me nakupa Facts Tu...

Kusema kwamba Population ya Masai ilin kenya na Tanzania ni Tofauti nakubaliana na wewe kabisa ila kwa mlengo upi.? Sikiliza ...

Kenya kuna eneo Dogo sana wanalokaa wamasai Tofauti ma Tanzania ambao eneo ni kubwa cha ajabu ni kwamba Pamoja ya kuwa na eneo Dogo Masai wa kenya Wako Half a milion yaani zaidi ya laki tano huku Tanzania ikiwa na wamasai kwa Takwimu waliotaja Juzi walisema zaid ya Laki mbili ikiwa ni Pungufu kwa kenya kwa Watu laki Tatu....

Ramani Ifuatayo inaonyesha Mgawanyiko wa Eneo la wamasai kwa Tanzania na Kenya
View attachment 2744973
Kama utaangalia Ramanin utagundua Sehemu kubwa ya eneo La wamasai lipo Tanzania Japo kuna idadi ndogo sana ya Masai na Kenya kuna eneo dogo ila kuna idadi kubwa sana ya masai...

Sasa ikiwa kenya eneo ni hilo Na wanaishi wamasai zaidi ya laki tano (500,000s) huku tanzania. Eneo likiwa ni kubwa na walikuwa wanaishi wamasai only 200,000..
Unafikiri Rais wa Kenya Hakuona kuna haja ya enviromental RESERVATION ...

I THINK KAMA KUNA MTU ALIYUROGA BASI NAONA SASA NI ULE MUDA AFANYE ZINGUO MAANA TUNATESEKA SANA MAANA HATA UKWELI KWETU HATUUONI....NI KAMA TUMEFUMBWA MACHO

Some sources
Hapa ndiyo mara zato unaweza kuwashangaa wasomi wetu. Hivi hapo wanapoishi wamasai nchini Kenya kuna hifadhi gani? Je,unajua kua Wamasai wa Tanzania wanayo mifugo mingi kuliko hao wa Kenya?
Tukisema ongezeko la population nadhani inabidi tusifungie kwenye watu tu....nenda zaidi mpaka kwenye livestock. Kuna wakati wamasia wa Kenya ukosa malisho na kuleta mifugo yao nchini Tz jambo ambalo ni hatari pia. Namaliza kwa kusema hivi serikali hipo sahihi sana maana hakuna ata Masai anae onewa. Wanasafirishwa,wanakwenda na mifugo yao,hati ya Ardhi na nyumba.
 
Serikali ipo sahihi kabisa katika Hilo,chadema wanataka kujitafutia umaarufu wa kisiasa kupitia sakata la ngorongoro baada ya kufeli katika ishu ya DP World na bandari
 
Swali lako umeishajibua vizuri tu. Population inaongezeka pote ila sasa sio at the same rate. Ata mijini inaongezeka ndiyo maana huduma zinaongezwa kama bara bara ,maji nk NCA population kuongezeka ni hatari sana kuliko DSM nk. Ndiyo maana watu hao wanapewa sehemu nyingine ili kuweka kulinda hifadhi yetu. Mwisho,nani mwenye mamlaka ya kupanga matumizi ya Ardhi nchini? Tukiacha encroachment inauofanywa na wamasai sio faida kwa Taifa
Kuna muda mnatetea ujinga na upumbavu hata bila kujishtukia, umeulizwa population inaongezeka Ngorongoro na Loliondo pekee!?, Kwanini hizi kelele ziliibuka kipindi Cha Mwinyi na waarabu na kipindi hiki Cha Samia na waarabu!?,pupolation ya maasai inaongezeka Tanzania tu!?,mbona Kenya hakuna huu upuuzi?,wakati mwingine ni busara kuficha upumbavu wako kuliko kutetea mambo yaliyo nje ya uwezo wako wa kufikiri.
 
Serikali ipo sahihi kabisa katika Hilo,chadema wanataka kujitafutia umaarufu wa kisiasa kupitia sakata la ngorongoro baada ya kufeli katika ishu ya DP World na bandari
Umaarufu wa kisiasa sijakuelewa maana Chadema Chama cha Zamani sana Vyama vilivyoanza navyo leo hii havipo tena na nafikiri Ina miaka zaidi ya 30 na imedumu kama chama kikuu cha upinzani kwa mima zaidi ya 20
 
Kuna muda mnatetea ujinga na upumbavu hata bila kujishtukia, umeulizwa population inaongezeka Ngorongoro na Loliondo pekee!?, Kwanini hizi kelele ziliibuka kipindi Cha Mwinyi na waarabu na kipindi hiki Cha Samia na waarabu!?,pupolation ya maasai inaongezeka Tanzania tu!?,mbona Kenya hakuna huu upuuzi?,wakati mwingine ni busara kuficha upumbavu wako kuliko kutetea mambo yaliyo nje ya uwezo wako wa kufikiri.

Umeshawahi kufika ngorongoro ukajionea mwingiliano wa Maisha ya wamasai na wanyama wa mbugani?

Huko sehemu zingine walipo maasai wanaishi mbugani?hujiulizi kwanin serikali isiende kuwaondoa wahadzabe wakawaondoe wamasai?
 
As population keep on growing mazingira ya mbugani ambalo wamasai wanaishi na mifugo Yao watagharim future ya mbuga zetu na wanyama,labda kama hujafika maeneo hayo basi huwezi jua uhalisia uliopo
Siku hizi New members wengi mnajiunga JamiiForums kimkakati baada ya kugundua ni moja ya Media iliyosheheni habari na taarifa za uhakika ,lengo kubwa likiwa kuharibu mijadala ya msingi .
 
Umaarufu wa kisiasa sijakuelewa maana Chadema Chama cha Zamani sana Vyama vilivyoanza navyo leo hii havipo tena na nafikiri Ina miaka zaidi ya 30 na imedumu kama chama kikuu cha upinzani kwa mima zaidi ya 20

Siasa bila hoja ya kutembea nayo maana yake umeshindwa kuwa mbadala wa alie madarakani,sasa lazima utafute hoja ya kuzungumza ili wananchi wajue kuwa upo active, ndicho wanachofanya chadema,ila ukweli wanaujua vizur kuwa CCM wako sahihi katika Hilo
 
Back
Top Bottom