Kasesela aliita mkutano wa machinga kaambulia zero. Imagine jana Lissu alifika usiku ila watu wakaambiwa waondoke warudi leo na wameitika vilevile.... Kasesela ziiii
U P D A T E S ..!! #Iringa muda huu kinawaka.
Iringa bado hatujamalizana, imeitwa na imeitika kweli kweli.
Lissu CHUMA Cha Mjerumani anaunguruma Iringa Nzima Imesimama.
#Eti Chadema imekufa Iringa?? We we ulisikia waaapi...???
#AWOOOOTEEH.....!!!!
Wanaweza kupanga foleni na kukusanyika mahali flani kumsubiria kwa hamu huyo kichaa afike huku wakiacha shughuli zao?????????tumia medula mda mwingine.Hata kichaa huwa anazungukwa na watu wengi kumshangaa
Kasesels anatekeleza maagizo kutoka juu.Kasesela aliita mkutano wa machinga kaambulia zero. Imagine jana Lissu alifika usiku ila watu wakaambiwa waondoke warudi leo na wameitika vilevile.... Kasesela ziiii
View attachment 1541042
Ila wewe ndiye mjinga.....Lowassa ni past story !Sasa hivi LISSU ndiyo habari ya mujiniKwahiyo kwa akili yako unadhani hao walikusanyika apo watampigia kura? Mbona hata theluthi ya lowasa hajawahi fikia na hatofikia kamwe. Watanzania sio wajingaaa.
Maumivu kwa huyooo jamaa yenuuu anayehangaikaa. Upepo wenyewee umemkaukia maemaaaa. Akifikisha kura laki moja, wamtangazee atakua ameshindaa.
[/QUOTE
usilie ndo SIASA
Watu wanamfuata MKOBOZIKampeni zimeanza? Mbona analeta mikusanyiko??
Zile Milioni 50 zimekuja kijijini kwenu nenda kachukuweWatu wapi hao anao waongelea Lissu? Watu ambao pale serikali inapofanya juhudi kuimarisha maisha na ustawi wao, wewe hupinga huku ukipayuka kukejeli juhudi hizo.
Watu ambao unazunguka sehemu mbalimbali ulaya na USA ukichafua taifa lao, ukiwadalalia ushoga. A fool can never be a president of this country.
Nakubaliana na wewe waTz sio wajinga ila wewe ni mjingaKwahiyo kwa akili yako unadhani hao walikusanyika apo watampigia kura? Mbona hata theluthi ya lowasa hajawahi fikia na hatofikia kamwe. Watanzania sio wajingaaa.
Yule ni Lowassa huyu ni lissuKwahiyo kwa akili yako unadhani hao walikusanyika apo watampigia kura? Mbona hata theluthi ya lowasa hajawahi fikia na hatofikia kamwe. Watanzania sio wajingaaa.
Zile Milioni 50 zimekuja kijijini kwenu nenda kachukuwe
Sasa huku ni kutafuta wazamini au ni kufanya mikutano ya hazara mi mbona sielewi elewi