G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Kasesela aliita mkutano wa machinga kaambulia zero. Imagine jana Lissu alifika usiku ila watu wakaambiwa waondoke warudi leo na wameitika vilevile.... Kasesela ziiii
U P D A T E S ..!! #Iringa muda huu kinawaka.
Iringa bado hatujamalizana, imeitwa na imeitika kweli kweli.
Lissu CHUMA Cha Mjerumani anaunguruma Iringa Nzima Imesimama.
#Eti Chadema imekufa Iringa?? We we ulisikia waaapi...???
#AWOOOOTEEH.....!!!!