Uchaguzi 2020 Tundu Lissu akiwa Tunduma leo

Wanadamu tumeumbwa na hulka za kubadilika kifikira kutokana na mazingira.Historia haina nafasi katika maamuzi ya wakati tulionao.Uchaguzi huru na wa haki ndo utatupa viongozi sahihi
 
Kwa maneno machache, huu ni unafiki mkubwa na usaliti

Hata mate hayajakauka watu walikuwa wanakiri kwamba nchi imepata mkombozi na imenyooshwa,kila aina ya vigelegele na shukrani zikatolewa.

Leo watu haohao wamegeuka,wanajaa kwa LISSU na tayari wanamuita Rais, hivi JPM afanyeje? Mnamkatisha tamaaa. Amejitoa sana kuendeleza nchi, tumuunge mkono, kwa hali ilivyo JPM atavunjika moyo,tuwe na shukrani

Inachukiza sana kwa kweli
 
Hahahahahahahaa! Bora nicheke tu Mkuu umewaza kwa kina sana
 
Lisu habari ya mujini
 
Pia bado hawa wanaomsifu na kumuimbia nyimbo za mapambio hadi kumuita Yesu, ngoja aondoke madarakani ndipo atakapogundua kuwa watu walikuwa na shida na powers alizonazo ili awape ulaji lakini hawana mpango na yeye as a person, watamkimbia wote na wengine kuanza kumnanga!
 
Huyo jpm awe mpole amwachie Lissu miaka yake 10 . Atangaze kutokugombea tena awamu ya pili, binafsi nitamheshimu
 
Kwani sie ndo tulimwambia ampige risasi Lissu???? Malipo ni hapa hapa duniani!!

Huyo jamaa yako hapaswi hata kutetewa humu!!! We ukimuona Lissu anavyotembea na alivyosababishiwa ulemavu ule unajiskiaje?????
 
Mtanzania uwa ni mnafiki, ila unafiki wanaomfanyia magufuli naupenda zaid
Wanampamba anakubalika ila matokeo yakitoa watakuwa wa kwanza kumwambia mzee pumzika umeshindwa.

Yaani mwaka huu atapigwa kipigo kitakatifu Sana

Watu tutakula Sana pesa zake za wizi alizoiba toka 2015 na tutauza Kila mkakati unaopangwa kwa Lissu .
 
😳😳unataka kumshauri JPM afanye nn?
mbona huwa anakujaga na majibu mepesi... "nitafanya kampeni ya kistaarabu."
be patient muda utaongea, lolote linaweza kutokea la muhimu kwa sisi watanzania ni kufanya changes.
TAL ni great thinker tutamchagua kuwa rais wa jamhuri ya Tanzania.

uzi tayari
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
things fall apart the center can not hold.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…