Ni kama walichokoza.Wasiojulikana wanajuta hata kwanini walimpiga risasi huyu bwan.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kama walichokoza.Wasiojulikana wanajuta hata kwanini walimpiga risasi huyu bwan.
Hamasa ifanyike kwa vijana kwenda kupiga kura. Kila mtu ahakikishe kitamburisho chake kipo na anakitunza. Nyomi majukwaani peke yake haileti ushindi.
Hahahaha hujui ulisemaloDuh..., laiti kama wote ni wapiga kura!.
Haya mambo ya mafuriko haya!.
Kulishawahi kutokea mafuriko kama haya
View attachment 1542119View attachment 1542118View attachment 1542117
Na haikusaidia kitu!, mtu alikula mwereka!.
Tusijifariji na mafuriko tuu ya watu, tujiulize jee ni wapiga kura?. Wamejiandikisha?, na siku ya kupiga kura, watajitokeza?, watapiga kura?.
Majibu ni Tarehe 28 October!.
P
Rais wa watu huyo.Hakuna mwingine View attachment 1542112
Kwani nao wamefikia hadhi ya kupiga deki lami ili TL apite?Hawa jamaa wa Tunduma ndio wamefunika kote alikopita Lissu, yaani hawa ndio hawataki kusikia ujinga ujinga wa kijani kabisa.
nyukiNi kama walichokoza.
Kwann[emoji28][emoji28][emoji28]Tunduma kati ya sehemu ambazo Ngosha anazichukia Sana.
Wanajaa kumuona mgonjwa anayetembeaTutashitakiwa MIGA
Nikichaguliwa ushoga ruksa
Ndiyo Sera za jamaa
Labda nyumbani kwakoKuna mtanzania alishawahi jaza nyomi mpaka na kujisaidia ila aliambulia patupu. Mzoee tu kuwa rais kwa sasa Dkt Magufuli anatosha kinoma.
Endelea kujifariji binti. Huyo ndo shujaa Lissu, Raisi wako 2020 - 2025 upende usipende 😂😂Kujaza watu ndiyo kushinda urais. Chadema kweli hamjielewi
Mungu ni mungu
Yaani full tabasamu. Sio unakunja USO kama unakula ndimu? Au mchawi ana mroga mama yake?Rais wako wa awamu ya 6 ni mh Lissu View attachment 1542114
Na bado mkaiba kura, kwa sasa basiiiiiDuh..., laiti kama wote ni wapiga kura!.
Haya mambo ya mafuriko haya!.
Kulishawahi kutokea mafuriko kama haya
View attachment 1542119View attachment 1542118View attachment 1542117
Na haikusaidia kitu!, mtu alikula mwereka!.
Tusijifariji na mafuriko tuu ya watu, tujiulize jee ni wapiga kura?. Wamejiandikisha?, na siku ya kupiga kura, watajitokeza?, watapiga kura?.
Majibu ni Tarehe 28 October!.
P