Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Ujinga hupofusha akili lakini upumbavu huua fikra za mtu.
#Ni yeye
#Ni yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
upande wa pili hofu imetanda Mkuu naamini unayo semaNdugu 2020 ni mwaka wa mabadiriko ya msingi Africa. Si uliona Malawi??? Si uliona Congo??? Si umeona Mali??? Sasa hapo October ni Tanzania.
Amini amini nakwambia, Tundu Antipas Lissu ndo Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020 - 2025
Duuuuuuuu. Nimebaki mdomo wazi
Ni kwl lakini ukweli wa ushindi ni pale kura zikahesabiwa vituoni na kubandikwa pale pale. Kusiwepo kupikwa kwenye center za mbele huko. Ukisema mtu ameshinda kihalari kuwepo Chek and Balance ya uwazi sio hizi danganya toto hizi!!!Duh..., laiti kama wote ni wapiga kura!.
Haya mambo ya mafuriko haya!.
Kulishawahi kutokea mafuriko kama haya
View attachment 1542119View attachment 1542118View attachment 1542117
Na haikusaidia kitu!, mtu alikula mwereka!.
Tusijifariji na mafuriko tuu ya watu, tujiulize jee ni wapiga kura?. Wamejiandikisha?, na siku ya kupiga kura, watajitokeza?, watapiga kura?.
Majibu ni Tarehe 28 October!.
P
😂😂😂Wameanza kutwangana baada kuizindua sera ya kupigana mitama siku ile uhuru stadium
View attachment 1542115
Rais wako wa awamu ya 6 ni mh Lissu View attachment 1542114
Germany
Chuma Cha Pua
Mungu anakwenda KUSEMA NENOHuu mwaka 2020 una mengi ya kidunia na kitaifa. Kunq jambo lazima litatokea tu huu mwaka amini nakuambia
Tuache utani jamani..mwanaume hasififiwi uzuri..Ila lissu mzuri jamani..bonge ya HB. Angalia hizo dimpoz jamani
Mbona hapo hayupo?#Niyeyee
Neno LISSU sasa ni mjadala wa KITAIFAKimenuka !
Habari ya Iringa Mkuu ndo vilee mambo yamebadilika LISSU MJADALA WA KITAIFAMbona hapo hayupo?