Uchaguzi 2020 Tundu Lissu akiwa Tunduma leo

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu akiwa Tunduma leo

Duh..., laiti kama wote ni wapiga kura!.
Haya mambo ya mafuriko haya!.

Kulishawahi kutokea mafuriko kama haya
View attachment 1542119View attachment 1542118View attachment 1542117
Na haikusaidia kitu!, mtu alikula mwereka!.
Tusijifariji na mafuriko tuu ya watu, tujiulize jee ni wapiga kura?. Wamejiandikisha?, na siku ya kupiga kura, watajitokeza?, watapiga kura?.

Majibu ni Tarehe 28 October!.
P
Ongezea pia,mtangaza matokeo atayatoa kadiri ya kura zilivyopigwa? Naona jamaa zetu washaisahau tume yetu.
 
Duh..., laiti kama wote ni wapiga kura!.
Haya mambo ya mafuriko haya!.

Kulishawahi kutokea mafuriko kama haya
View attachment 1542119View attachment 1542118View attachment 1542117
Na haikusaidia kitu!, mtu alikula mwereka!.
Tusijifariji na mafuriko tuu ya watu, tujiulize jee ni wapiga kura?. Wamejiandikisha?, na siku ya kupiga kura, watajitokeza?, watapiga kura?.

Majibu ni Tarehe 28 October!.
P
Huwezi kukubali. Si umepigwa chini Kawe??

Kwani Tukienda ktk details uchaguzi wa mwaka 2015 magu alishinda?? Tuyaache hayo 2020 october 28.
 
Wakuu poleni na majukumu mambo YAMEBADILIKA nimeamini SIASA NI SAYANSI ....SIASA NI DAINAMIKI ...binadamu anaweza kukusikiliza lakini nivigumu kujuwa kichwani kwake anakufikiriaje ....watu na IMANI ZAO NI NGUMU KUZIBADILISHA..


View attachment 1542168

USIPIME KINA CHA MAJI KWA KIJITI INGIA MWENYEWE

View attachment 1542168
Hao hawapigi Kura. Unajiuliza Frank Mwakajoka alishinda vipi???
 
Hamasa ifanyike kwa vijana kwenda kupiga kura. Kila mtu ahakikishe kitamburisho chake kipo na anakitunza. Nyomi majukwaani peke yake haileti ushindi.
Hao wanaosema kwamba vijana hawapigi kura ni waongo. Matokeo ya 2015 ni mfano bora. Nchi hii nani hana kitambulisho cha kura?? Watu wote wanavyo na wanavitumia kusajilia simu ma kadi za simu. Mambo mbali mbali ya kijamii na kiuchumi ynahusisha utambulisha amboa awali unabase kwebmnye kitambulisho cha mpiga Kura. Toka zamani wabunge wa upinzani wanapigiwa kura na vijana na idadi ya wabunge imekuw aikiongezeka mara dufu kila uchaguzi.
 

Attachments

  • 2488880_JamiiForums-795763129.jpg
    2488880_JamiiForums-795763129.jpg
    112.7 KB · Views: 1
  • images (4).jpeg
    images (4).jpeg
    35.1 KB · Views: 1
  • images (3).jpeg
    images (3).jpeg
    30.3 KB · Views: 1
  • images (2).jpeg
    images (2).jpeg
    26.5 KB · Views: 1
Hao wanaosema kwamba vijana hawapigi kura ni waongo. Matokeo ya 2015 ni mfano bora. Nchi hii nani hana kitambulisho cha kura?? Watu wote wanavyo na wanavitumia kusajilia simu ma kadi za simu. Mambo mbali mbali ya kijamii na kiuchumi ynahusisha utambulisha amboa awali unabase kwebmnye kitambulisho cha mpiga Kura. Toka zamani wabunge wa upinzani wanapigiwa kura na vijana na idadi ya wabunge imekuw aikiongezeka mara dufu kila uchaguzi.
Kabisa Mkuu mimi ninacho nasubiri siku ifike ni mtafute KAMANDA LISSU
 
Back
Top Bottom