Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,771
- 14,129
Utakuwa mgonjwa kichwani na umelogwa na mchawi kufifisha akili zakoRais wako wa awamu ya 6 ni mh Lissu View attachment 1542114
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa mgonjwa kichwani na umelogwa na mchawi kufifisha akili zakoRais wako wa awamu ya 6 ni mh Lissu View attachment 1542114
Machoko kama huyo ndiyo wanapendwa n ccmMpumbavu na mjinga wa kiwango cha kimataifa!
Hizi shule za kata zimezalisha wajinga badala ya werevu,
Sera? Unajua sera ww?
Kampeni zimeanza?
Hizo sera zimenadiwa wapi?
Jaribu kuwa na akili hata ya kuvukia barabara pumbavu ww
Huwezi kuzuia mafuriko kwa mikono
Tutaigawa Tunduma iwe Zambia kwa muda.Hawa jamaa wa Tunduma ndio wamefunika kote alikopita Lissu, yaani hawa ndio hawataki kusikia ujinga ujinga wa kijani kabisa.
Ataipendaje kwa mfano.Tunduma kati ya sehemu ambazo Ngosha anazichukia Sana.
Anapendeza sana akiwa kwenye kuta za ofsi za ummaLissu ndiye rais wako wa awamu ya 6.View attachment 1542255
Ongezea pia,mtangaza matokeo atayatoa kadiri ya kura zilivyopigwa? Naona jamaa zetu washaisahau tume yetu.Duh..., laiti kama wote ni wapiga kura!.
Haya mambo ya mafuriko haya!.
Kulishawahi kutokea mafuriko kama haya
View attachment 1542119View attachment 1542118View attachment 1542117
Na haikusaidia kitu!, mtu alikula mwereka!.
Tusijifariji na mafuriko tuu ya watu, tujiulize jee ni wapiga kura?. Wamejiandikisha?, na siku ya kupiga kura, watajitokeza?, watapiga kura?.
Majibu ni Tarehe 28 October!.
P
Huu utitiri wamewezaje kupata oxygen kama kwa mwamposa watu walikufa hapo wameponaje?
Huwezi kukubali. Si umepigwa chini Kawe??Duh..., laiti kama wote ni wapiga kura!.
Haya mambo ya mafuriko haya!.
Kulishawahi kutokea mafuriko kama haya
View attachment 1542119View attachment 1542118View attachment 1542117
Na haikusaidia kitu!, mtu alikula mwereka!.
Tusijifariji na mafuriko tuu ya watu, tujiulize jee ni wapiga kura?. Wamejiandikisha?, na siku ya kupiga kura, watajitokeza?, watapiga kura?.
Majibu ni Tarehe 28 October!.
P
Hao hawapigi Kura. Unajiuliza Frank Mwakajoka alishinda vipi???Wakuu poleni na majukumu mambo YAMEBADILIKA nimeamini SIASA NI SAYANSI ....SIASA NI DAINAMIKI ...binadamu anaweza kukusikiliza lakini nivigumu kujuwa kichwani kwake anakufikiriaje ....watu na IMANI ZAO NI NGUMU KUZIBADILISHA..
View attachment 1542168
USIPIME KINA CHA MAJI KWA KIJITI INGIA MWENYEWE
View attachment 1542168
Amina.Mungu anakwenda KUSEMA NENO
Hao wanaosema kwamba vijana hawapigi kura ni waongo. Matokeo ya 2015 ni mfano bora. Nchi hii nani hana kitambulisho cha kura?? Watu wote wanavyo na wanavitumia kusajilia simu ma kadi za simu. Mambo mbali mbali ya kijamii na kiuchumi ynahusisha utambulisha amboa awali unabase kwebmnye kitambulisho cha mpiga Kura. Toka zamani wabunge wa upinzani wanapigiwa kura na vijana na idadi ya wabunge imekuw aikiongezeka mara dufu kila uchaguzi.Hamasa ifanyike kwa vijana kwenda kupiga kura. Kila mtu ahakikishe kitamburisho chake kipo na anakitunza. Nyomi majukwaani peke yake haileti ushindi.
Bado sana wanapinga kila kitu. Wamekuwa wapinzani sasa.ccm hawaamini kama upepo umebadilika kabisa!
Kweli kabisaTutashitakiwa MIGA
Nikichaguliwa ushoga ruksa
Ndiyo Sera za jamaa
Kabisa Mkuu mimi ninacho nasubiri siku ifike ni mtafute KAMANDA LISSUHao wanaosema kwamba vijana hawapigi kura ni waongo. Matokeo ya 2015 ni mfano bora. Nchi hii nani hana kitambulisho cha kura?? Watu wote wanavyo na wanavitumia kusajilia simu ma kadi za simu. Mambo mbali mbali ya kijamii na kiuchumi ynahusisha utambulisha amboa awali unabase kwebmnye kitambulisho cha mpiga Kura. Toka zamani wabunge wa upinzani wanapigiwa kura na vijana na idadi ya wabunge imekuw aikiongezeka mara dufu kila uchaguzi.