Tundu Lissu akutana na kufanya mazungumzo na Jaji Joseph Warioba

Tundu Lissu akutana na kufanya mazungumzo na Jaji Joseph Warioba

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
IMG-20250210-WA0022.jpg

Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024

Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.

MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
 
*
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mhe Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara Mhe Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
Katika ziara hiyo maalumu, Mhe Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024 na ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.
Picha
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara Mhe Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
Katika ziara hiyo maalumu, Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024

Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.

MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Kama Warioba anafaa kuwa Rais basi hata Wasila anafaa kuwa waziri mkuu
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024

Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.

MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Jaji Warioba umri umeenda hawezi tena kupambana na majangili ya CCM, nadhani anafaa kuwa kaimu baba wa taifa awe mshauri na kuonya vijana wakienda kinyume. halafu Jaji Warioba analipenda hili sharti lake tangu nimfahamu 2015 sijawahi kumuona amevaa shart tofauti na hili
 
Mbowe alimleta Sumayee, lowasa, Kingunge, Masha ndani ya chadema. Lissu kwenda afisini kwa Warioba anaoneka shujaa.chawa wa Lissu kazi munayo
Kunywa maji dogo. Punguza makasiriko🤣🤣🤣
 
Mifumo miovu isiyo ya haki katika uchaguzi Huwa na mwisho mbaya sana
Hivi mnafikiri CCM wanajali au Samia anakosa usingizi kwa ajili ya mambo kama haya? Msisahau kwamba CCM hawashindi kwa sababu ya kupigiwa kura nyingi au kuonekana wana mambo yanayowapendeza wananchi.
 
Back
Top Bottom