kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Mbowe anaendeleaje huko!Na bado mtakuja na ngonjera nyingi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe anaendeleaje huko!Na bado mtakuja na ngonjera nyingi tu
Mimi sina dini hiki ulichoandika hapa hakina uhusiano na mada.Danieli 2:21, inasema:
"Yeye hubadili majira na nyakati, huwaondoa wafalme na kuwaweka wafalme, huwapa wenye hekima hekima, na wenye ufahamu huwapa maarifa."
Kuna mjinga mwenzio kauliza ujinga kama huu hapo juu, angalia tulichomjibuMbowe anaendeleaje huko!
Anatafuta pesa
Siku zote anatafuta hela yule ni mfanya biashara na ameongeza mtaji wake kwa b12 toka kwa maza.Anatafuta pesa
facial expression na body language ya mwenyeji inaeleza kila kitu,Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024
Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.
MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania

Kwani wewe kwenye uhai wako hadi leo umefanya nini la maana la kujivunia?Lissu msanii tu, itapita miaka yake 4 hajafanya kitu
Siasa kwamachia lissu ahangaike ofisini kwa wancccm akina WariobaSiku zote anatafuta hela yule ni mfanya biashara na ameongeza mtaji wake kwa b12 toka kwa maza.
Nimejiunga jfKwani wewe kwenye uhai wako hadi leo umefanya nini la maana la kujivunia?
Baadae msije kumiuta Lisu msaliti,maana samaki anaanza kuvuliwa kwa njia mbalimbali na akanaswaMwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024
Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.
MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Warioba huyu huyu au kuna mwengineMwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024
Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.
MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Unawezaje kumfananisha na yule Kigagula?Kizeee hicho?
ImbecileNimejiunga jf
Akili ya Warioba haihitaji chama ili kuwaza kwa usahihi. Inahitaji space tu, ili kuongea au kushauri kuhusu mambo yenye faida kwa mTanzania yeyote bila itikadi yake kisiasa.Mbowe alimleta Sumayee, lowasa, Kingunge, Masha ndani ya chadema. Lissu kwenda afisini kwa Warioba anaoneka shujaa.chawa wa Lissu kazi munayo
Jitahidi watu wasijue kuwa huna akiliSiasa kwamachia lissu ahangaike ofisini kwa wancccm akina Warioba
Jaji Joseph Sinde Warioba alikuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kutoka Novemba 5, 1985, hadi Novemba 9, 1990 chini ya Rais Ali Hassan Mwinyi. Warioba babu akalee wajukuu
Kwa Nyerere kisikiKazi imeanza.
Akitoka hapo akamtembelee Mzee Butiku, halafu aende kwa Mama Maria Nyerere na kumalizia kwa Mama/Bibi yake Soka.