NitwitImbecile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NitwitImbecile
Jo sasa hivi atakuwa ameshalanduka anapenda sana pombe za mchana tena bila kula chakula.Nakala aipate bwashee johnthebaptist
Naunga mkono hoja, kama Wasira ameweza kuteuliwa akiwa 80 years, why not WariobaMY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Mzee umri umeshamtupa mkonoJaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Joseph Warioba alizaliwa tarehe 15 Mei 1940, na akiwa na umri wa miaka 84 kwa sasa (2025).Naunga mkono hoja, kama Wasira ameweza kuteuliwa akiwa 80 years, why not Warioba
P
Mbona unapick nawe jibu swali....sasa hapa mjinga si wewe ulie toka povu!Kuna mjinga mwenzio kauliza ujinga kama huu hapo juu, angalia tulichomjibu
Ahahahahaha! Yaani vijana wa ovyo wa Chadema mnachekesha kweli. Kwamba Mzee Wassira hana sifa ya kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM kisa mzee lakini Mzee Warioba anayemzidi umri Mzee Wassira eti ana sifa ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania! Mnachekesha kweli!Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024
Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.
MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Unadhani nyumbani Kwa Waziri mkuu mstaafu unajiendea tu bila kuitwa?facial expression na body language ya mwenyeji inaeleza kila kitu,
sio vizuri kulazimisha kutembelea watu makwao ndugu zangu, dah![]()
Nani amesema Warioba anagombea Urais?Ahahahahaha! Yaani vijana wa ovyo wa Chadema mnachekesha kweli. Kwamba Mzee Wassira hana sifa ya kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM kisa mzee lakini Mzee Warioba anayemzidi umri Mzee Wassira eti ana sifa ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania! Mnachekesha kweli!
Hawa vidampa walioijua CCM enzi ya uenyekiti wa Samia ni bure kabisa ndiyo sampuli za kina Lucas MwashambwaUnadhani nyumbani Kwa Waziri mkuu mstaafu unajiendea tu bila kuitwa?
Bure kabisa we CHAWA 😂
mzee warioba hawezi kukataa kukukaribisha kwake,Unadhani nyumbani Kwa Waziri mkuu mstaafu unajiendea tu bila kuitwa?
Bure kabisa we CHAWA 😂

ni historia ya aina yake ikitokea amekuwa rais. By the way anafaaMwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024
Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.
MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Mbona ameanza kumtembelea wanachama wa CCM, nilitegemea ataanza na waasisi wa chadema.
Hivi unaelewa chochote kuhusu Itifaki ya Viongozi? 😂😂mzee warioba hawezi kukataa kukukaribisha kwake,
ila kulazimisha ndio tatizo, nadhani sura ya mzee inaeleza kila kitu![]()
Joseph Warioba alizaliwa tarehe 15 Mei 1940, na akiwa na umri wa miaka 84 kwa sasa (2025).